Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Ile kitu haiachwi utarud tu kundini
122593451_2740797049471953_1777710575627596097_n.jpg


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
watu wana miaka 80 wanapiga hiyo kitu sembuse wewe!! Juzi juzi tu kuna mtangazaji wa CNN nimemsahau baada ya kumaliza kipindi kumbe bado hajazima camera akaonekana anajilipua..
Kijana bado unasafari ndefu sana..watu wameoa na kila siku wanajilipua..Dont mention the power of Punyeto
 
Mkuu nakushauri uache kumtaja Mungu kwenye mambo ya hovyo kama haya ili asije akaishusha hasira yake juu yako.

Halafu ukitaja nendo "Mungu" uanze na herufi kubwa 'M'.

Nyeto n pepo bila Mungu (kusali) kumtoa uyo pepo Ni ngumu kuacha..tafuta Uzi wa Nyerere utaelewa vzr..
 
Ndugu mhanga, kuacha punyeto ni kuwaa na demu na umshirikishe tatizo laako demu ndio ana weza kumsaidia mwanaume kuacha pull, tena awe willing kukusaidia yaan awe anakupa mikao mara kwa mara au kwa kizungu often hapo ndio utanusurika na pull.

Asantii
Blowjob ni puli, handjob ni puli haliepukiki mkuu labda muwe mnakulana km kuku... 0ver
 
Back
Top Bottom