2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kubalehe mimi nimechelewa pia makuzi niliyokulia hayakuwa na uhuni sana...nilianza kuwapelekea 🔥 mademu nikiwa na miaka 19 sikuwahi kupiga nyeto. 2010 nikasikia stori za nyeto sokoni kijiweni....ooh ni tamu ooh ni nzuri,nikauliza inatakiwa uwe na nini? Wakasema angalia video za X afu nenda bafuni na sabuni.
Niliporudi tu geto nikatest bila hata kuangalia video wazungu hao... nilisikia raha lakini sikuendelea sababu nilipanga kwenye nyumba za watu wengi afu nilikua Bize.
2011 niliachiwa chumba na jamaa flan alikua amesafiri na familia yake,sa kule ndani katika macd yake nikakuta huko ya x tena ndefu ya masaa 6. Tulikuwa wawili tuliangalia ile cd mpaka kunakucha asubuhi tunashangaa jogoo anawika. Nishapiga sana kama mabao ma3 usiku huo na jamaa nae hivyo hivyo ikawa ndio gari imewaka rasmi...nikaja kusikia madhara yake nikapunguza mwezi naweza piga mara 1.
Nikuja kuacha 2017 baada ya kuwa na shughuli nyingi na kupata mbinu ya kuacha.. ila sikuacha siku moja nilazma ukomae sana.
Niliporudi tu geto nikatest bila hata kuangalia video wazungu hao... nilisikia raha lakini sikuendelea sababu nilipanga kwenye nyumba za watu wengi afu nilikua Bize.
2011 niliachiwa chumba na jamaa flan alikua amesafiri na familia yake,sa kule ndani katika macd yake nikakuta huko ya x tena ndefu ya masaa 6. Tulikuwa wawili tuliangalia ile cd mpaka kunakucha asubuhi tunashangaa jogoo anawika. Nishapiga sana kama mabao ma3 usiku huo na jamaa nae hivyo hivyo ikawa ndio gari imewaka rasmi...nikaja kusikia madhara yake nikapunguza mwezi naweza piga mara 1.
Nikuja kuacha 2017 baada ya kuwa na shughuli nyingi na kupata mbinu ya kuacha.. ila sikuacha siku moja nilazma ukomae sana.