Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Habari wandugu?

Hivi unakumbuka ulianzajeanzaje kupiga punyeto? Ulifunzwa au ulijikuta tu umeanza automatically?

Hii ni kwa wote sasa yaan me na ke maana nyeto halibagui jinsi.

NB: Ambaye hujawahi usithubutu kufanya ivo....hasa mwanaume please.
wengi wana-anzia kwa kuchungulia mapaja ya dada wa kazi akifua, anaenda chumbani anapiga moja, anarudi anapiga, akikubuhu ndio utaona anapenda kuangalia tamdhilia za kifilipino, usiku akilala anaanza kukumbukia wanawake wa tamthilia anapiga nyeto
 
wengi wana-anzia kwa kuchungulia mapaja ya dada wa kazi akifua, anaenda chumbani anapiga moja, anarudi anapiga, akikubuhu ndio utaona anapenda kuangalia tamdhilia za kifilipino, usiku akilala anaanza kukumbukia wanawake wa tamthilia anapiga nyeto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui ilikuwaje,nahisi nilianza tu.Ila nakumbuka ni baada ya kutendwa na baba wa mtoto nilikaa sana bila mpenz kwa miaka kadhaa.Nadhani ule upweke ndo chanzo
huwa unaangalia picha za wanaume then unanza ku-imagine ndio unajisugua na tango?
 
Nyeto ni mbaya!!

Nyeto ina madhara.

Jitafakari kisha chukua atua.

Za kuambiwa changanya na zako.

Nyeto ni usenge.

Yani kama ni mwanaume unakuwa unajigonga mwenyewe na kujilidhisha mwenyewe.

Kumamake ,me naongea hivi madhara yake nayajua ,

Ata humu madhara wanayajua ndo maana wakimaliza kusimulia wanakimbilia kusema mimi nimehacha.

Endelea kupiga nyeto mgongewe mademu zenu *****! .


Kama umeathirika na nyeto zingatia haya.
1.KULA VIZURI,

2. KULA MATUNDA SANA.

3. KUNYWA MAJI YA KUTOSHA KULINGANA NA UZITO WAKO.

4, FANYA MAZOEZI.

5, PATA MDA WA KUPUMZIKA.

6 , HACHA NYETO.

Narudia , HACHA NYETO, Fanya mazoezi

Nb:: Hakuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume ,
Utaibiwa Pesa yako tu.
zingatia hayo hapo
juu utachelewa kuona matokeo but ukiwa
Mvumilivu utarudi kwenye hali ya uanaume
wako kama zamani.

Mtanishambulia lakini huu ndio ukweli[emoji419][emoji375]
Madhara yake hayapo kwenye nguvu za kiume..yapo kwenye ubongo.

Ushawahi muona mpiga nyeto dushe limegoma kusimama?
 
Madhara yake hayapo kwenye nguvu za kiume..yapo kwenye ubongo.

Ushawahi muona mpiga nyeto dushe limegoma kusimama?
kwahiyo Mr, kupiga puli na kupiga mashine laiv kipi ni raha zaidi?
kwa uzoefu wako wa tangu sekondar.
 
sijawahi kupiga nyeto toka nimezaliwa
Usijaribu, sisi wanawake siku hizi yani mtu unamuona anapaki gari sokoni ananunua tango moja tu, yani anajitolea hamu yake hukoo, sasa akija kupata ya mwanaume sijui kama ataskia kitu.
 
Back
Top Bottom