Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Daaah.bwana weee.
Kuna jamaa alikuwa anaitwa zaria.
Tupo mtoni tunaoga naona jamaa anapaka sabuni nyingi Kwa Mzee abdala.nikamuuliza nini hicho.
Akaniambia jaribu na wewe.
Daaah
 
Naomba nijitambulishe kuwa Mimi ni mwanachama ambaye nimedumu chamani zaid ya miaka kumi bila longolongo. Sasa katika harakati zetu za kukuza chama kuna jambo linanikumba sielewi nini shida. Wiki tatu na kurudi nyuma toka nlivyojiunga kila nikijilipua ndan ya dakika mbili wazungu waleeeeeeeee miguu inachechemea.

Sasa Wiki ya pili ya mwezi mei mpaka sasa kila nikipga puchu wazeee wazungu hawatoki eti kama wakitoka basi nmechukua muda mrefu zaid ya dakika kumi hadi mkono unawasha muda mwingine inabid nicheat nibadilishe mkono lakini wapi wazungu hawatoki

Sasa wataalam wa haya mambo walionizid ujuz heb naomba mnisaidie kwa hili.
 
Back
Top Bottom