Punyeto ni nini na nini madhara yake?
You are right bro!

Dawa ya kuacha nyeto ni kuwa na demu ambaye anakupa mbunye kila ukihitaji😅!!! Kinyume na hapo uwe huli chakula unaishi kwa kunywa maji tu ila kama unakula misosi genye lazma zitaambatana na wewe tu hasa ukiwa ni kidume rijali😅
😂😂 Eti wanadai epuka kukaa mwenyewe na kujidistract ukipata hisia utafanya hivyo hadi lini.
 
me nikipigaga nyeto nakaa na mashine yangu ya kunyolea! mke wangu akiingia ghafla najifanya nanyoa!😂 kuna siku kaingia ghafla nikajikuta nimeshika mafuta baada ya mashine ya kunyolea..! 🤣🤣 ila me nshaacha jaman! kuacha ni kuamua tu mengine yte tunaongopeana! njia nyngne ya kuacha, kma unaishi nyumba yakupanga penda sana kupiga nyeto kwenye corridol ili wakikufuma uone aibu uache..
 
Kweli kabisa, tulipewa bure na mwenye dunia kwanini tubaniane jamani wakati ni jambo la burudani😅 ukizidiwa unasema tu mi sina hiyana!
Ile kitu Ni noma,unachagua demu unayemtaka ukiona mshindo unachelewa unaongezea mate kidogo,unajichagulia speed unayotaka kulingana na mood yako.

Nyie wakuda endeleeni tu kupanda mnazi kwa mkono mmoja 😄😄😄😄.
 
Ile kitu Ni noma,unachagua demu unayemtaka ukiona mshindo unachelewa unaongezea mate kidogo,unajichagulia speed unayotaka kulingana na mood yako.

Nyie wakuda endeleeni tu kupanda mnazi kwa mkono mmoja 😄😄😄😄.
Hahahahah ile kitu ni Adjustable 😅 yani unaweza ukamla Rihanna asubuhi jioni ukapiga Beyonce
 
😂😂 Eti wanadai epuka kukaa mwenyewe na kujidistract ukipata hisia utafanya hivyo hadi lini.
Wanadanganya tu hao,wakongwe hua mpk Wana suruali zao unakuta imetobolewa mfuko mmoja mjuba Yuko anatembea zake barabarani peke takes huku ameingiza mkono mfukoni kumbe hapo ameshaji connect kwny mkonga wa taifa speed Ni 15Mbps.Imeisha hio.
 
Ni janga zito haswaa, na sikuhizi sio ajabu mtu anaweza akawa ana mke au girlfriend ambae wala hana shida lakini bado mwanaume akaendeleza uraibu wake wa kujipiga nyama, haijalishi mtu ana cheo gani, hali ya uchumi, rika, elimu, n.k hili tatizo limemeza wengi sana ila ni jambo linalofanywa kwa usiri mno...
Mkuu hayo maagano naweka bado napiga😅
 
Tutake radhi weweee,
Hujui inavyotusaidia hasa sisi wa kusafiri safiri kuliko kuanzisha msululu wa michepuko si bora ununue kilainishi chako afu safiii tu, Huku ukisindikizwa na miguno ya Baby Mama kwa simu 😋
 
Nilijua umeandika hoja ya maana.

Nikuambie jambo moja ambalo nadhani wengi hawalijui.

Mungu hawezi kumpa adhabu mtu kwakuwa ameshindwa kutimiza kiapo cha kuacha dhambi.

Kwa kukosa maarifa watu huangamizwa, hivyo shetani ndiye atakuangamiza pindi utakapotenda tena ile dhambi uliyojiapiza kuwa hutaitenda.

Watu humfungulia Shetani milango ya maangamizi wao wenyewe kwa ujinga wao. Mungu akinipa neema nitaelezea jinsi neema inavyoweza kumuokoa mtu katika vifungo vya uovu wa ulevi, uchafu(punyeto), wizi n.k.

Kwa ufupi: Usiruhusu hatia ikuangamize.

Don't allow guilty to perish your entire life.
 
Back
Top Bottom