Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Tafadhali usiache,wewe endelea lakini ukiona nguvu zina pungua tafuta mwaname(Basha) awe anakuchezea huku unapiga pull siyo akuingilie hapana awe anakutekenya.

Duh! we wa wapi wewe?
 
Hakuna haja ya kuacha kijana unless unajilipua sana. Watu tunapiga toka primarry hadi Phd mwendio mdundo!!
 
mbona mimi napiga mpaka chuo na nikipata demu mziki mnene mpaka mwenyewe anaomba sub,siku nyingne kwa siku mara tatu,ni kama dozi..wewe endelea tu
 
kuacha mara moja si rahisi...... muhimu ni kuwa bize na shughuli nyingine za kazi au shule... epuka kujipaka povu jingi ukiwa bafuni na hasa kujishika sana sehemu za siri, ukiwa unaoga fanya kam vile hauzioni sehemu zako za siri.. uoge fastafasta.., usiwaze sana wanawake akili yako iwaze mambo mengine ya maisha.........
 
Habari wana jamii,kama ni kweli punyeto linapungaz nguvu za kiume, sasa kutokana na ugumu wa maisha na shule vijana wengi tunaoa tukiwa na miaka 30+ kwa kijana aliyebalehe akiwa na miaka 14 or 15 na akaamua kujitunza fimbo yake akakataa asiichezee pooltable hadi atakapooa ndio anze kuingiza kete kwenye pooltable atafanyaje kama si puny..to ili nye..g zisimsumbue hadi hapo atakapoanza kucheza pool na mkwewe ndani. naomba kuelimishwa kwa hilo
 
Sitetei nyeto ila hadi sasa hakuna scientific proved impacts za nyeto kwa mwanaume, labda impacts zisababishwazo na kirainishi utumiacho kwa ajili ya nyeto eg, kuna watu wanapigia nyeto mafuta ya kupikia, wengine ya taa, wengine wakibanwa sana wanatumia hata carolite(mkorogo) hapo ndo mtu unaanza kujiharibu.
 
Habari wana jamii,kama ni kweli punyeto linapungaz nguvu za kiume, sasa kutokana na ugumu wa maisha na shule vijana wengi tunaoa tukiwa na miaka 30 kwa kijana aliyebalehe akiwa na miaka 14 or 15 na akaamua kujitunza fimbo yake akakataa asiichezee pooltable hadi atakapooa ndio anze kuingiza kete kwenye pooltable atafanyaje kama si puny..to ili nye..g zisimsumbue hadi hapo atakapoanza kucheza pool na mkwewe ndani. naomba kuelimishwa kwa hilo
kuwa mtu wa ibada sana na kumcha mungu....funga mara kwa mara angalau mara tatu kwa wiki maana funga huondoa matamanio....usipende kukaa idle..fanya sana mzoezi .....usile vyakula vinavyoamsha matamanio kama asali na mdalasini....mwisho tafuta mmoja uoe kwa sababu nyeto haiwezi kusabsitute sex...sawa?...sawa....haya
 
Anything blatant is harmfull,the more used the strong become,safe sex,kula mkono mwaya
 
wengine hawapigi nyeto ila wakilala wanamvutia hisia mwanamke anaempenda then wanatoa manii/shahawa sasa na hawa sijui tuweke kundi gani manake wanakua km vile wanasex na bed na wanaridhika
 
Habari wana jamii,kama ni kweli punyeto linapungaz nguvu za kiume, sasa kutokana na ugumu wa maisha na shule vijana wengi tunaoa tukiwa na miaka 30+ kwa kijana aliyebalehe akiwa na miaka 14 or 15 na akaamua kujitunza fimbo yake akakataa asiichezee pooltable hadi atakapooa ndio anze kuingiza kete kwenye pooltable atafanyaje kama si puny..to ili nye..g zisimsumbue hadi hapo atakapoanza kucheza pool na mkwewe ndani. naomba kuelimishwa kwa hilo
punyeto haina madhara kwa afya....kama huwezi kujizuia ni bora upige punyeto kuliko kwenda kula kiboga bila condom...ukipiga punyeto hufi...lakini ukitia bila condom utakufa....punyeto hufanywa na watu wote...wanawake kwa wanaume..sema wengi hawasemi...cha kuzingatia...too much of anything is harmful....hata kula chakula kwa wingi kuna madhara yake...nashangaa umeuliza swali kwa wanaume tu...wanawake nao hupiga punyeto tena sana..Ukitaka kumkomesha demu(kwa wale wasiotaka kukojoa upesi)..piga punyeto alafu mpate demu..hutokojoa mapema..na demu wako utamridhisha...wale stads mnaowaona kwenye kwenye movie za xxx wanapigaga punyeto kabla ya kufanya zile picha mnazoangaliaga...
 
Loh! Tena wanawake these days kwa punyeto ni balaa, ndio maana kumezuka kundi kubwa sana la lesbians humu mjini.
 
Madhara yapo.
1. Hulegeza mishipa ya uume
2.Huathiri kisaikolojia, hii ina maana kuwa huenda ukashindwa kushiriki tendo kwa ufasaha kwakuwa unakuwa umezea mkono ambao kwa kawaida unakuwa mgumu zaidi.
 
kuwa mtu wa ibada sana na kumcha mungu....funga mara kwa mara angalau mara tatu kwa wiki maana funga huondoa matamanio....usipende kukaa idle..fanya sana mzoezi .....usile vyakula vinavyoamsha matamanio kama asali na mdalasini....mwisho tafuta mmoja uoe kwa sababu nyeto haiwezi kusabsitute sex...sawa?...sawa....haya

Twayeb!!!!!!


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
kuna jamaa yangu mmoja hata akilala na wanawake wanne ana uwezo wa kuwatosheleza, kisha yeye anaenda kumaliza ngwe kwa kupiga scratch
Habari wana jamii,kama ni kweli punyeto linapungaz nguvu za kiume, sasa kutokana na ugumu wa maisha na shule vijana wengi tunaoa tukiwa na miaka 30+ kwa kijana aliyebalehe akiwa na miaka 14 or 15 na akaamua kujitunza fimbo yake akakataa asiichezee pooltable hadi atakapooa ndio anze kuingiza kete kwenye pooltable atafanyaje kama si puny..to ili nye..g zisimsumbue hadi hapo atakapoanza kucheza pool na mkwewe ndani. naomba kuelimishwa kwa hilo
 
Sitetei nyeto ila hadi sasa hakuna scientific proved impacts za nyeto kwa mwanaume, labda impacts zisababishwazo na kirainishi utumiacho kwa ajili ya nyeto eg, kuna watu wanapigia nyeto mafuta ya kupikia, wengine ya taa, wengine wakibanwa sana wanatumia hata carolite(mkorogo) hapo ndo mtu unaanza kujiharibu.

Aisifiae mvua???


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
punyeto haina madhara kwa afya....kama huwezi kujizuia ni bora upige punyeto kuliko kwenda kula kiboga bila condom...ukipiga punyeto hufi...lakini ukitia bila condom utakufa....punyeto hufanywa na watu wote...wanawake kwa wanaume..sema wengi hawasemi...cha kuzingatia...too much of anything is harmful....hata kula chakula kwa wingi kuna madhara yake...nashangaa umeuliza swali kwa wanaume tu...wanawake nao hupiga punyeto tena sana..Ukitaka kumkomesha demu(kwa wale wasiotaka kukojoa upesi)..piga punyeto alafu mpate demu..hutokojoa mapema..na demu wako utamridhisha...wale stads mnaowaona kwenye kwenye movie za xxx wanapigaga punyeto kabla ya kufanya zile picha mnazoangaliaga...

Aisifiae mvua??


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu kujisaga, jambo hili huwafanya waharibu mishipa ya fahamu inayounganisha uume na mfumo uliopo kwenye ubongo.

Uharibifu huu humfanya mwanaume apoteze msisimko wa kujamiiana au hata akiupata humfanya ashidwe kufikisha hisia zake kisawasawa khasa akikutana na mwenza wake ambaye sehemu zake nyeti ni laini sana tofauti na mikono alozoea kujichua nayo.

Jambo jingine hatari linalo mkabili mpiga Punyeto ni upotevu wa hisia wakati wa kujichua kwa mfano ili afike kwenye kilele lazima akuze hisia zake kwa kiwango cha juu, pengine kupita ukweli halisi ataokutana nao pindi atakapokuwa na mwanamke faraghani.

Mpiga Punyeto hajitoshelezi mpaka amlete kwenye hisia mrembo kama Miss World kisha amvike utundu wa kimahaba ampe manjonjo hadi mwenyewe atosheke, kwa namna hii mwanaume mwenye kufanya mazoea ya kufanya hisia za wanawake warembo ambao hawezi kuwapata kwa hali halisi anapokutana na kina Mwafulani wa mtaani tena sio mtundu kimapenzi, hapo kamwe hawezi kusisimka mwili na hivyo kujikuta Uume wake husimama kwa kiwango cha chini sana.

Madhara mengine yanayopatikana ndani ya kitendo hiki ni kuumwa sana na kichwa, mgongo, kupoteza nguvu za mwili na macho, madhara mengine makubwa khasa mwanamme anaejichua mara mbili au tatu kwa siku ni kushidwa kuzalisha, hii inatokana na kukosekana kwa mbegu komavu za kiume kwenye mfuko wa uzazi.
 
Back
Top Bottom