Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Umesema unamuda wa kutosha hili swali ilibidi ulijibu kwa maelezo na nini watu wafanye..
owky...ipo hivi

kuathirika kwa punyeto kupo katika aina kuu zifuatazo.

1. kuna PUNYETO zinafanyika kwa kuvuta hisia za kufanya mapenzi na mtu ambaye unamtamani. hivyo unafanya mwenyewe kwa kuvuta hisia mpaka unakojoa

2. kuna PUNYETO zinafanyika kwa kuangalia video za ngono au picha za wakaa uchi. maanake huyu mtu hawezi piga NYETO mpaka a download video za ngono au picha chafu.

3. kufanyishwa mapenzi na mtu ambaye yupo mbali, labda ni kpenzi au mtu anayetoa huduma za kukojolesha kwa video call au text na wewe uko mbali.
hii inataka kufanana na hiyo ya pili ila tofauti kidogo.


so, kwa maana hiyo uponaji wake na kutibu kwke itategemea uko kundi gani kati ya hayo.

NB.. adiction ya PUNYETO mara nyingi huwa inafanyika kama routine activity.
kama ambavyo mtu unaamka asubuhi na kupiga mswaki. Haupigi mswaki eti coz ni kitu unachopenda, hapana. unapiga mswaki kwa sababu ni shughuli ya kila siku inayofanya siku ziende.
 
owky...ipo hivi

kuathirika kwa punyeto kupo katika aina kuu zifuatazo.

1. kuna PUNYETO zinafanyika kwa kuvuta hisia za kufanya mapenzi na mtu ambaye unamtamani. hivyo unafanya mwenyewe kwa kuvuta hisia mpaka unakojoa

2. kuna PUNYETO zinafanyika kwa kuangalia video za ngono au picha za wakaa uchi. maanake huyu mtu hawezi piga NYETO mpaka a download video za ngono au picha chafu.

3. kufanyishwa mapenzi na mtu ambaye yupo mbali, labda ni kpenzi au mtu anayetoa huduma za kukojolesha kwa video call au text na wewe uko mbali.
hii inataka kufanana na hiyo ya pili ila tofauti kidogo.


so, kwa maana hiyo uponaji wake na kutibu kwke itategemea uko kundi gani kati ya hayo.

NB.. adiction ya PUNYETO mara nyingi huwa inafanyika kama routine activity.
kama ambavyo mtu unaamka asubuhi na kupiga mswaki. Haupigi mswaki eti coz ni kitu unachopenda, hapana. unapiga mswaki kwa sababu ni shughuli ya kila siku inayofanya siku ziende.
😃 Mkuu sio Mimi nilieliza mi nimemsaidia tu ilitakiwa huyo ndo uumjibu hivi na hujareply kwake! Buy anyway sawa.
 
Kama unatatizo lolote kati ya hayo niulize.

Leo ni weekend na kuna muda mwingi wa kusaidiana baada ya kumaliza shift. Nitakuwepo hapa kutwa nzima kujaribu kukusaidia kwenye janga lolote kati ya hayo.

Karibuni wenye uhitaji.
Mm naweza nyanduana na manzi hata masaa manne ila nikimaliza lazima nipige nyeto ndo nifikie mshindo halisi je tatizo ni nn?
 
IMG_0952.jpg

Wa kuitwa MASANABI SATO huyu ndio anaijua nyento wengine wote michosho tu!!!
 
Mm naweza nyanduana na manzi hata masaa manne ila nikimaliza lazima nipige nyeto ndo nifikie mshindo halisi je tatizo ni nn?
tatizo ni saikolojia yako mkuu...inawezekana unafanya nae sex kuonesha uanaume tu, ili akuone kama na wewe unajiweza. Tengeneza hisia na huyo mwanamke wako, tengeneza hisia na huyo mwanamke, tena ikiwezekana awe anakuandaa na wewe. Wanawake ni watundu sana kuna vitu vyao huwa wanafanya wakati wa tendo vinaweza vikakufanya ukakojoa mapema sana bila hata wewe kutaka.
 
tatizo ni saikolojia yako mkuu...inawezekana unafanya nae sex kuonesha uanaume tu, ili akuone kama na wewe unajiweza. Tengeneza hisia na huyo mwanamke wako, tengeneza hisia na huyo mwanamke, tena ikiwezekana awe anakuandaa na wewe. Wanawake ni watundu sana kuna vitu vyao huwa wanafanya wakati wa tendo vinaweza vikakufanya ukakojoa mapema sana bila hata wewe kutaka.
Pia PUNYETO acha,,itazidi kukuleteq utegemezi,,akili yako itajijenga kuamini kuwa raha pekee ya kukojoa ipo kwenye PUNYETO.
 
Punyeto haina madhara, bali kufanya punyeto uku unaangalia picha za porn ndo kuna madhara,
Nilkuwa napenda kufanya hvyo kabla cjaenda kwa dem mpya, iliniserv kupunguza idadi ya madem wa ajabajab na maamuz mabaya yatokanayo ya nyege,
Mhh kuna tofaut gani kupiga kawaida na kupiga huku unaangalia porn
 
owky...ipo hivi

kuathirika kwa punyeto kupo katika aina kuu zifuatazo.

1. kuna PUNYETO zinafanyika kwa kuvuta hisia za kufanya mapenzi na mtu ambaye unamtamani. hivyo unafanya mwenyewe kwa kuvuta hisia mpaka unakojoa

2. kuna PUNYETO zinafanyika kwa kuangalia video za ngono au picha za wakaa uchi. maanake huyu mtu hawezi piga NYETO mpaka a download video za ngono au picha chafu.

3. kufanyishwa mapenzi na mtu ambaye yupo mbali, labda ni kpenzi au mtu anayetoa huduma za kukojolesha kwa video call au text na wewe uko mbali.
hii inataka kufanana na hiyo ya pili ila tofauti kidogo.


so, kwa maana hiyo uponaji wake na kutibu kwke itategemea uko kundi gani kati ya hayo.

NB.. adiction ya PUNYETO mara nyingi huwa inafanyika kama routine activity.
kama ambavyo mtu unaamka asubuhi na kupiga mswaki. Haupigi mswaki eti coz ni kitu unachopenda, hapana. unapiga mswaki kwa sababu ni shughuli ya kila siku inayofanya siku ziende.
Me nilikuw natumia iyo namba mbili mkuu
 
Back
Top Bottom