Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Ndugu elvis richard dadavua hapo tafadhali!
mwanaume ndo unaamua kumwaga au lah ! ukiamua umwage baada ya dakika 2 au 20 unaweza kufanya hivyo.
maana yangu ni kwamba kumwaga mbegu kupo kichwani kwako, akili yako ikiwaza sana ule utamu wa sehemu za mwanamke utajikuta unawahi kumwaga.

ndo maana utakuta wanaume wengi huwa tukitaka tusimwage haraka huwa ikifikia wakati wa kumwaga tunahamisha akili na kuwaza labda mpira, kodi, bosi mtata na vingine ambavyo vitaifanya akili isiwaze utamu wa lile tendo kwa kufanya hivyo unajikuta humwagi. so please kama unataka kumwaga mapema (baada ya mwanamke kumwaga kwanza ) inakubidi akili yako uiweke kwenye utamu wa mwanamke. utazame mwili wake, angalia titi zake, sikiliza sauti yake ilivyotamu...utamwaga. !!

mwanamke pia awe ana play part yake kuhamasisha wewe kumwaga. Akunyonye chuchu za kifua na sehemu zingine zinazokuongezea hamu. So kama mwanamke wako ni zubaifu kitandani, kazi yake kulala tu ...mchane live !

sex ni kitu cha pamoja, sio cha mtu mmoja.
 
mwanaume ndo unaamua kumwaga au lah ! ukiamua umwage baada ya dakika 2 au 20 unaweza kufanya hivyo.
maana yangu ni kwamba kumwaga mbegu kupo kichwani kwako, akili yako ikiwaza sana ule utamu wa sehemu za mwanamke utajikuta unawahi kumwaga.

ndo maana utakuta wanaume wengi huwa tukitaka tusimwage haraka huwa ikifikia wakati wa kumwaga tunahamisha akili na kuwaza labda mpira, kodi, bosi mtata na vingine ambavyo vitaifanya akili isiwaze utamu wa lile tendo kwa kufanya hivyo unajikuta humwagi. so please kama unataka kumwaga mapema (baada ya mwanamke kumwaga kwanza ) inakubidi akili yako uiweke kwenye utamu wa mwanamke. utazame mwili wake, angalia titi zake, sikiliza sauti yake ilivyotamu...utamwaga. !!

mwanamke pia awe ana play part yake kuhamasisha wewe kumwaga. Akunyonye chuchu za kifua na sehemu zingine zinazokuongezea hamu. So kama mwanamke wako ni zubaifu kitandani, kazi yake kulala tu ...mchane live !

sex ni kitu cha pamoja, sio cha mtu mmoja.
Sasa mkuu ukiamisha mawazo c mkuyenge utalala
 
Leo asubuhi nimepiga nadhani cha mwisho ...nataka niache Sasa.

Uraibu wangu huwa kwenye porno Yani bila kuangalia porno siwezi jichua

Juzi nimeenda kwa mwanamke sikudindisha kabisa nikasingizia naumwa
Mkuu hiyo kitu inatesa sana na kuiacha ni ngumu
 
misuli ya uume huwa inasinyaa, hata ukisimama unakuwa hautanuki sana...so huwa unapungua
Misuri au mirija...?elezea kama mtaalamu.

Mfano anepiga push up kila sku asubuh misuli ya mikono yake huwa inatanuka au sinyaa?

Kitendo cha kujichua kiungo chochote cha mwili upelekea misuli na mirija kutanuka...
 
misuli ya uume ni hiyo inaitwa corpora cavernosa pamoja na corpus spongiosum
hii ukiwa unafanya PUNYETO inalegea kadri siku zinavyozidi kwenda. sio mirija jamani dah [emoji4][emoji4]
EP_SG_Different-views-of-the-penis_1_mz.jpg
 
Misuri au mirija...?elezea kama mtaalamu.

Mfano anepiga push up kila sku asubuh misuli ya mikono yake huwa inatanuka au sinyaa?

Kitendo cha kujichua kiungo chochote cha mwili upelekea misuli na mirija kutanuka...
misuli ya uume ndiyo inayozungumziwa na si misuli mingine ya mwili bosi.
 
Sasa mkuu ukiamisha mawazo c mkuyenge utalala
hapana kama ni uume ambao uko imara hauwezi kulala labda hayo mauume yaliyochoka na PUNYETO za kila siku...wanaume wengi huwa tunaitumia hii mbinu ya kuhamisha mawazo ili usimwage haraka. na ndo njia rahisi ya kwanza ya kujifunza kwa mwanaume yeyote yule hata awe ndo anaanza mapenzi lazima atumie njia hii kuchelewesha kumwaga.

njia nyingine ni kuuchomoa uume ukiwa unakaribia kumwaga. hii itakusaidia kupooza ule utamu utakaokufanya uwahi kupizi.

njia nyingine ni kubadilisha style. usipende kwenda na staili moja mpaka mwisho..badilisha angalau.
tena kama unasumbuliwa na tatizo la kumwaga haraka basi tumia zile staili ambazo mwanamke anakuwa habani sana mapaja..maana staili za kubana mapaja huwa zinafanya uke unabana sana, uke ukibana sana unakufanya hisia zinakuwa kali sana kwenye uume na utajikuta unamwaga haraka.

over.
 
jamani niwaambie kuacha PUNYETO kuna raha sana .Mimi mwenyewe ni mtaalmu wa masuala ya afya lakini hii kitu nilisumbuka nayo. Si kitu rahisi lakini inawezekana ukiweka nia na ukiwa na msimamizi.

ukiacha PUNYETO unakuwa na confidence ya hali ya juu sana. unaweza ukafanya chochote kile. tangu nimeacha PUNYETO naelekea mwaka wa pili sasa. hali ya uume wangu imeimarika sana yaani nahisi kama nimezaliwa upya. kuna nyakati wife huwa ananiomba kabisa mechi aisee [emoji23][emoji23] na analinda kweli yaani, hapa home kuna mdogo wake kaja kutusalimu, basi huwa anatuchunga sana. (lakini mimi sina mpango nae)

moja kati ya vitu nilivyovishuhudia baada ya kuacha PUNYETO na video za ngono ni kuongezeka kwa confidence yangu. zamani nilikuwa sina kabisa mazoea na wanawake. nilikuwa nahisi kama vile wanafahamu nini nilichokuwa nafanya nyuma ya pazia. lakini baada tu ya kuacha na kuanza kutibu uume wangu. Baraka zilifunguka. nikapata mwanamke ambaye sikutegemea kama nitakuja kumpata na sasa hivi ni mke wangu w ndoa.

Sasa hivi nimekuwa mtu wa kujichunga sana na wanawake. maana naona wengi kama wanajileta sana na sitaki kuharibu ndoa yangu ni changa sana ,ndo kwanza mwaka na nusu.

ACHENI PUNYETO NDUGU ZANGU, INAWAWEKA MBALI NA USO WA MUNGU.

...MWENYE SIKIO NA ASIKIE, NIKO TAYARI KUWASAIDIA KWA YEYOTE ATAKAEHITAJI MSAADA WA KARIBU AHSANTENI
 
Misuli ya uume inatofautiana nn na misuli mingine ya mwili..?
inatofautiana..misuli ya uume ipo kama sponji
ina uwezo wa kutanuka na kusinyaa kwa haraka. ukiwa na hisia za kufanya mapenzi damu husafirishwa mpaka kwenye uume na uume hutanuka kutokana na uwingi wa damu iliyopelekwa hapo. hisia zikishaisha damu hurudishwa na uume unasinyaa
 
jamani niwaambie kuacha PUNYETO kuna raha sana .Mimi mwenyewe ni mtaalmu wa masuala ya afya lakini hii kitu nilisumbuka nayo. Si kitu rahisi lakini inawezekana ukiweka nia na ukiwa na msimamizi.

ukiacha PUNYETO unakuwa na confidence ya hali ya juu sana. unaweza ukafanya chochote kile. tangu nimeacha PUNYETO naelekea mwaka wa pili sasa. hali ya uume wangu imeimarika sana yaani nahisi kama nimezaliwa upya. kuna nyakati wife huwa ananiomba kabisa mechi aisee [emoji23][emoji23] na analinda kweli yaani, hapa home kuna mdogo wake kaja kutusalimu, basi huwa anatuchunga sana. (lakini mimi sina mpango nae)

moja kati ya vitu nilivyovishuhudia baada ya kuacha PUNYETO na video za ngono ni kuongezeka kwa confidence yangu. zamani nilikuwa sina kabisa mazoea na wanawake. nilikuwa nahisi kama vile wanafahamu nini nilichokuwa nafanya nyuma ya pazia. lakini baada tu ya kuacha na kuanza kutibu uume wangu. Baraka zilifunguka. nikapata mwanamke ambaye sikutegemea kama nitakuja kumpata na sasa hivi ni mke wangu w ndoa.

Sasa hivi nimekuwa mtu wa kujichunga sana na wanawake. maana naona wengi kama wanajileta sana na sitaki kuharibu ndoa yangu ni changa sana ,ndo kwanza mwaka na nusu.

ACHENI PUNYETO NDUGU ZANGU, INAWAWEKA MBALI NA USO WA MUNGU.

...MWENYE SIKIO NA ASIKIE, NIKO TAYARI KUWASAIDIA KWA YEYOTE ATAKAEHITAJI MSAADA WA KARIBU AHSANTENI
Ebu kaka mimi naomba unisaidie kuachana na hili jambo maana limenitesa muda mrefu na mpaka sasa nahisi kama nyota yangu ishachafuka maana hata nikitongoza mwanamke atanikubali ila baada ya siku mbili ananikataa sasa mpaka nashindwa kuelewa tatzo nini
 
Back
Top Bottom