Punyeto ni nini na nini madhara yake?
itumie nafasi hii kuuliza maswali ya msingi na yakusaidia.
ukila mchanga mdomo unajuaje kwamba huu ni mchanga ?
be serious.
Lilishawahi ulizwa humu humu na mdau kama ww na akalijibu vizuri tu wala hakuleta majibu yako ya kudharau watu..nilitegemea kupata jibu la tofaut na kitaalamu toka kwako hatimae naambiwa nna maswali yaso msingi.
 
Kuna msela wa huko Bukoba ameona isiwe inshu Bora atombeh zake mbuzi tu,mpk amekamatwa na mwenye mbuzi.
Mwanangu nimeisikia asee naomba unioe msaada wa huko niwasiliane na wanakijijibwa huko nataka kuchukua maoni
 
Ndugu mleta uzi umeshakuwa kama Dr. Ndodi ambaye anasema moja ya madhara ya nyeto ni kufuaywa na mapepo na majini, wakati jini halitaki kitu inaitwa janaba.

Anyway, nyeto haina madhara yanayosemwa ni udhaifu tu wa wapigaji. Asa unapiga nyeto huku hauli unategemeaje?
 
Ndugu mleta uzi umeshakuwa kama Dr. Ndodi ambaye anasema moja ya madhara ya nyeto ni kufuaywa na mapepo na majini, wakati jini halitaki kitu inaitwa janaba.

Anyway, nyeto haina madhara yanayosemwa ni udhaifu tu wa wapigaji. Asa unapiga nyeto huku hauli unategemeaje?
Mh! Mkuu hayo ya majini umesema wewe
 
Lilishawahi ulizwa humu humu na mdau kama ww na akalijibu vizuri tu wala hakuleta majibu yako ya kudharau watu..nilitegemea kupata jibu la tofaut na kitaalamu toka kwako hatimae naambiwa nna maswali yaso msingi.
swali lenye masihara, linahitaji jibu lenye masihara. and by the way mimi ni mwalimu pia, ila sihitaji approve yako kujiaminisha kwamba mimi ni mwalimu mzuri au lah !
 
[emoji1787][emoji1787]nchi ngumu sana hii kwakweli[emoji116]

"mfano wale wanaoutumia punyeto ya nzi,hii haiathiri sana misuli ya kiungo husika hivyo hata kuona madhara si rahisi".
 
[emoji1787][emoji1787]nchi ngumu sana hii kwakweli[emoji116]

"mfano wale wanaoutumia punyeto ya nzi,hii haiathiri sana misuli ya kiungo husika hivyo hata kuona madhara si rahisi".
🤣🤣 Hii nchi ishashindikana mkuu Kuna watu wana mbinu hujapata kuona..😅
 
Punyeto huleta madhara pale inapokuwa excessively....kama mjuavyo kila kitu kikizidi inakuwa hatari. Hata too much sex is harmful. Inashauriwa mtu upige nyeto atleast 3 times a week(3 orgasms per week)
 
Punyeto huleta madhara pale inapokuwa excessively....kama mjuavyo kila kitu kikizidi inakuwa hatari. Hata too much sex is harmful. Inashauriwa mtu upige nyeto atleast 3 times a week(3 orgasms per week)
Nyeto inaua pale unapogeuza msosi mtu jtatu had jpili mara tatu kwa siku anapiga nyeto lazma majibu uyapate...

Imagine uwe una sex mara tatu kwa siku jumatatu had jpili unafikiri itakuaje..?
 
[emoji1787][emoji1787] Hii nchi ishashindikana mkuu Kuna watu wana mbinu hujapata kuona..[emoji28]
Aisee,
Nmecheka hapa mpaka basi.

Najaribu kuimagine iyo ya nzi mtu anaipigaje sipati majibu[emoji1787][emoji1787]
IMG_20210914_111155.jpg
 
Back
Top Bottom