Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Kilichokusibu ni hamaki kwamba hauamini kama leo mtoto ndo katimba ghetto, pili ukaingiza miss kwamba je nitamuweza kweli? Presha ikapanda joto la mwili nalo likapanda kuupimia mpini hofu imetawala ngoma ikaenda arijojo. Ukapaniki zaidi na haiwezi kuamka tena, ilikuhitaji ulale usingizi kabisa ili ubongo ufanye cancelling ndipo iweze kuamka tena.

Sasa Siku nyingine akija awe huyo au mwingine yeyote kwanza akishaingia gheto nenda kaoge kwanza kushusha joto la mwili ikiwezekana jipake colgate kwenye kichwa cha mbo robo saa kabla ya kuoga, baada ya kuoga kama una tangawizi tafuna kipande kidogo kusaidia mfumo wa damu kuzunguka vizuri isikupungukie kwenye kichwa cha chini. Halafu kunywa maji kiasi baada ya hapo anza safari ya kumfikisha kileleni. Utakuja kunishukuru. Ataomba mapumziko.
 
Mkuu unayopitia hayo sio ya pekeyako nawengine tupo tunakomaa nayo.

Kama umefikia hiyo Hatua, nadhani huitaji ushauri we mwenyewe wajua lakufanya.

Anza punguza mdogo mdogo mwishowe utakuwa fit, fanya mazoezi, kula tangawizi, vitunguu swaumu, matunda, mboga mboga na maji ya kutosha LAMWISHO kuwa na confidence.
 
Kilichokusibu ni hamaki kwamba hauamini kama leo mtoto ndo katimba ghetto, pili ukaingiza miss kwamba je nitamuweza kweli? Presha ikapanda joto la mwili nalo likapanda kuupimia mpini hofu imetawala ngoma ikaenda arijojo. Ukapaniki zaidi na haiwezi kuamka tena, ilikuhitaji ulale usingizi kabisa ili ubongo ufanye cancelling ndipo iweze kuamka tena.

Sasa Siku nyingine akija awe huyo au mwingine yeyote kwanza akishaingia gheto nenda kaoge kwanza kushusha joto la mwili ikiwezekana jipake colgate kwenye kichwa cha mbo robo saa kabla ya kuoga, baada ya kuoga kama una tangawizi tafuna kipande kidogo kusaidia mfumo wa damu kuzunguka vizuri isikupungukie kwenye kichwa cha chini. Halafu kunywa maji kiasi baada ya hapo anza safari ya kumfikisha kileleni. Utakuja kunishukuru. Ataomba mapumziko.
Mkuu Colgate kwenye kichwa cha chini ina kazi gani ??
 
Msongo wa mawazo tu ulikukabili nw kimuhemuhe cha new bae,punyeto haina uhusiano na hicho kilichokutokea,tena wengine ili kwenye show aombe poo unaanza na goli la mkono kwanza,ukirudi kwenye realgame anakasirika anaona humalizi haraka wakati yeye kasharudi zaidi ya mara 3
 
nakushauri.
1.tumia simu ya kitochi. achana na smartphone, achana na laptop.
2. futa video zote za ngono ulizodownload.
3.epuka kukaa mwenyewe kila wakati.
4. fanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni yasiwe chini ya saa moja.
5. kula vyakula vyenye afya na maji ya kutosha.
 
Inazuia kichwa kupata moto kwa haraka wakati wa tendo hivyo inakusaidia kuchelewa kumwaga.
Kwasababu ili umwage ni kichwa kipate moto wa kutosha kuruhusu manii kutoka.
Hivii hiii Colgate ni kweliii au tunazinguana????
 
Inazuia kichwa kupata moto kwa haraka wakati wa tendo hivyo inakusaidia kuchelewa kumwaga.
Kwasababu ili umwage ni kichwa kipate moto wa kutosha kuruhusu manii kutoka.
Asante mkuu, sikuwahi kufahamu hili.
 
Wakuu leo naweza sema ni siku mbaya saana kwangu aisee

Kuna demu nilimpangaga mda mrefu bana leo akanikubalia kidume nikajipanga kupiga shoo.

Daaah tumeingia kunako sita kwa sita daaah jamaa kaamka ila hana hata nguvu amenyongonyea naingiza nikiitoa inalala dorooo. Napambana inaamka ila haina hata nguvu.

Demu akamind akaniomba taulo akaenda bafuni akavaa akasepa akagoma hata nimsindikize kasema ataenda mwenyewee hapa nilipo nawaza sana hyu demu mempoteza hivi hvi na ni mzuri sana.

Amechukia akawa anaongea na mm kwa hasiraa yaani ata sijui kama atarudi tena kwangu maana nimefelii kabisaa.

Mimi napiga saana punyeto naomba msaada niache hii hali meabika saana yaaani.
Pole asee, ila hilo n swala la psychologia. Mchezon relax

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wakuu leo naweza sema ni siku mbaya saana kwangu aisee

Kuna demu nilimpangaga mda mrefu bana leo akanikubalia kidume nikajipanga kupiga shoo.

Daaah tumeingia kunako sita kwa sita daaah jamaa kaamka ila hana hata nguvu amenyongonyea naingiza nikiitoa inalala dorooo. Napambana inaamka ila haina hata nguvu.

Demu akamind akaniomba taulo akaenda bafuni akavaa akasepa akagoma hata nimsindikize kasema ataenda mwenyewee hapa nilipo nawaza sana hyu demu mempoteza hivi hvi na ni mzuri sana.

Amechukia akawa anaongea na mm kwa hasiraa yaani ata sijui kama atarudi tena kwangu maana nimefelii kabisaa.

Mimi napiga saana punyeto naomba msaada niache hii hali meabika saana yaaani.
Yaaani uache punyeto? si Bora ufe asa
 
Aka kamchezo kakishetan sana mm ninamiez 5 cjagusa kbs Ila Jana nimekaa kimasihara nikaw naangalia wanawake wa insta wakikata mauno na vyupi vyao nikajikuta nimepiga tatu chap chap mungu anisaidie kijana wa watu tu Leo nisije piga maana kuna kitu kinanishaur piga mbili za mwisho Leo usiku

[emoji23][emoji23][emoji23] hatar sana
 
Back
Top Bottom