Punyeto ni nini na nini madhara yake?
tuna mashoga wengi mitaani kuliko unavyofikiri, kama ingekuwa si kuona aibu wangejitangza kibao,.halafu si mashoga wote wenye tabia za kishoga, wengi ni maofisa kabisa wanaoheshimika, ukiwakuta wameulamba utasema du brazamen si ndo huyu

Hizo dhahania tu.unamjua hata mmoja aliyepata hilo tatizo? Vijana wa kiume hasa wa mashuleni ESP. Boys schools wametest hii kitu either kwa kufuata mkumbo au kwa sababu binafsi.wangapi wamesoma shule hizo?? Hakuna ukweli hapo.hata kama kuna watu wanaisema maybe ni threatening technique ila sio kweli....kisayansi haijathibitishwa maana haibadili vichocheo mwilini.ungeniambia kuhusu kiepe yai labda at least point zake nzito ila kwa hili hakuna uthibitisho
 
ndio kabisa , mm ni daktali hapa london uingereza, ni hakika kabisa inaleta utasa, na kama unabisha endelea kupiga puri dogo, utaona chamoto!!!!
 
ndio kabisa , mm ni daktali hapa london uingereza, ni hakika kabisa inaleta utasa, na kama unabisha endelea kupiga puri dogo, utaona chamoto!!!!

Hata ungesema daktar uko peponi bila uthibitisho wewe ni mvujaji tu.kwahiyo huko kwenu mmefanya utafiti?
 
wengi wamekuja hapa kwa hosptal,na tunawapima then hawawezi kuzaa, na ukiuliza historia yake atasema alipiga puri mara 600 kwa mwaka, sa unategemea nn? si majanga tuu!:smile-big:
 
hapana, punyeto ina madhara mengi ila utasa sio mojawapo kati ya hayo.... pia punyeto ina faida ila faida ni chache kuliko madhara..
 
Hujakosea. Inasababisha utasa wewe kijana.
Kama huamini endelea kupiga halafu uje kulia hapa miaka ya usoni.
Kwanza ni bonge la dhambi.
Balaa kabisa
 
Ahahahaaaaa...naamini kwa kuchekelea kwangu nao ni mchango kwenye mjadala huu mzito ila ulio"bakwa" na wachangiaji na kisha kuuondolea uzito wake stahiki.
 
Back
Top Bottom