Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Blowjob na punyeto vyote havina madhara.
mababa zetu nao wamepiga.
 
KonoNaomba kujua kuna tofauti gani kati ya vitendo hivyo viwili?

Tofauti.. Hand job... ni kazi za mikono which includes punyeto..na kazi nyingine zoote za mikono... Lakini punyeto will always be punyeeeeto! :eyebrows:
 
Wadada/ wakaka wa jf, tuelimishane kuhusu hili jambo.

Je, kama h/job nayo ni sawa tu na punyeto ni njia gani salama ya mwanamke kuchezea sehemu nyeti za mwanamume?
 
Zamani tulipokuwa tunatongoza mademu kwa miezi sita na hujampata, tulikuwa tunatumia barua na siyo sms za simu kama sasa!! Demu ukimbamba kichochoroni wakati unaimbisha alikuwa anag'oa majani eneo zima kama kala mbuzi vile!! Ndiyo hivi vitu vilikuwa na umuhimu, siyo siku hizi ukipita pale Kinondoni kwa MaTX unawabeba wa mafungu!! Moshi pale Malindi, unawakusanya hata kumi at per....!!

Punyeto ya nini sasa?? Handjob enzi hizo ndiyo ilikuwa na maana, demu akiugusa uuume tu kwa mkono raha yake haipimiki na bao unaachia hapo!! Ndiyo umuhimu wa handjob ulikuwepo, kwanza ilikuwa ukipata hata hiyo nafasi ya kuguswa sehemu za kiume na mwanamke ilikuwa ni kama umeshamtungua maana utajisifu balaa!!

Siku hizi k... zipo lukuki mpaka hakuna umuhimu wa handjob maana ananyonya mb.o anaikamua wee mpaka anachoka hata kusimama haisimami...!!

Achana na hayo makitu bana, siku hizi yana madhara kwa kuwa kupata wanawake kumekuwa rahisi sana tofauti na zamani ambapo umuhimu wake ulikuwepo mana unakaa miaka miwili hujapata mwanamke!!
 
Zamani tulipokuwa tunatongoza mademu kwa miezi sita na hujampata, tulikuwa tunatumia barua na siyo sms za simu kama sasa!! Demu ukimbamba kichochoroni wakati unaimbisha alikuwa anag'oa majani eneo zima kama kala mbuzi vile!! Ndiyo hivi vitu vilikuwa na umuhimu, siyo siku hizi ukipita pale Kinondoni kwa MaTX unawabeba wa mafungu!! Moshi pale Malindi, unawakusanya hata kumi at per....!!

Punyeto ya nini sasa?? Handjob enzi hizo ndiyo ilikuwa na maana, demu akiugusa uuume tu kwa mkono raha yake haipimiki na bao unaachia hapo!! Ndiyo umuhimu wa handjob ulikuwepo, kwanza ilikuwa ukipata hata hiyo nafasi ya kuguswa sehemu za kiume na mwanamke ilikuwa ni kama umeshamtungua maana utajisifu balaa!!

Siku hizi k... zipo lukuki mpaka hakuna umuhimu wa handjob maana ananyonya mb.o anaikamua wee mpaka anachoka hata kusimama haisimami...!!

Achana na hayo makitu bana, siku hizi yana madhara kwa kuwa kupata wanawake kumekuwa rahisi sana tofauti na zamani ambapo umuhimu wake ulikuwepo mana unakaa miaka miwili hujapata mwanamke!!

Kijana juzi unaonekana uko serious na hizi mambo.
 
ni kweli hata mimi nimewasikia wataalam mbalimbali wa afya wakisema madhara yake ni makubwa sana likiwemo la kupungua nguvu,na kuishiwa nguvu kabsa pia na pre mature ejaculation pamoja na kushindwa kurudia tendo.na matatizo ya kisaikolojia pia hujtokeza.
 
Haina madhara makubwa sana zaidi ya kupizi bila kukatikiwa viuno..dhara ni hilo moja tu
 
Nimemshauri kaka yang aache hiyo kitu lakini ananambia ni ngumu sana kuacha yan anaweza akaacha wiki alafu anaendelea tena yani anashindwa kujizuia na pia kwanini inakuwa ni ngumu kuacha so kwa anayejua dawa yake au hata sababu inayofanya kuwa ngumu kuacha anijuze tafadhali.

NATANGULIZA SHUKRANI
 
Punyeto ina raha zake aisee na dawa yake ni kuoa au kuwa na utitiri wa mademu ova. Ili siku ukiwaza puling unajipoza tofauti na hapo sahau
 
Punyeto ina raha zake aisee na dawa yake ni kuoa au kuwa na utitiri wa mademu ova. Ili siku ukiwaza puling unajipoza tofauti na hapo sahau

Haha Mkuu kweli ina raha yake sababu unajipimia size na unachagua ke yeyote, style zote,miguno aina zote..nk..😀 Ila Mkuu kuna watu wameoa lakini bado wanaendelea .. Ni kuamua tu.Lakini kuoa hakuondoi tatizo akiingia bafu kama kawa 😉
 
Hii kitu ni ngumu kuacha asikwambie mtu, ni balaa. Kuna vitu vinashawishi,mpiga punyeto lazima apige nyeto wakati ananyoa huko ponden kwani kule kujishkashka kunaleta ashiki..mwenzenu nimejitahidi angalau naweza kaa hata miezi miwil sijapiga kitu pia kwangu inategemea supply ya papuchi, zikiwepo tuu muda wote naacha kabisa, hapo soln ni kuoa tuu, ingawa akiwa mbali na mke bado atarudia hako kamchezo
 
Back
Top Bottom