How many EU Wana hiyo 90% gas dependency kwa Russia?Overall 40%, within EU kuna member states zina 90% dependence ya gas toka Russia. Msikilize Germany chancellor akuambie wao wanihitaji au hawaihitaji, go educate yourself uliyejaza viazi tumboni.
Go educate yourself man!How many EU Wana hiyo 90% gas dependency kwa Russia?
Bro jiulize..kwanini wajeruman wakomae na gas ya Russia... pale tayari kuna miundo mbinu ya mabillion ya dollar ilishajengwa inapeleka gas ulaya. Pia gas ya mrusi ni affordable na nyingi mno. Imagine Qatar aliombwa asaidie kusupply gas bara europe kama mbadala wa russia kawaambia hawezi hilo. Ana mikataba na nchi nyingine pia gas yake haitatosheleza kama ile ya Urusi. Tafakari bro.As if gas ipo Russia tu
unafikiri urusi ni tanzania ee,tatizo unalishwa habari za upande mmoja.Putin ameshachanganyikiwa baada ya uvamizi kupambana na resistance kali. Leo kuna habari kuwa wanajeshi wa Urusi wameanza kurudishwa nyuma na kupoteza baadhi ya maeneo waliyokuwa wameyatwaa. Ukraine wamepewa silaha nyingi sana na nchi za Magharibi na wanapata usaidizi wa utaalam. Kiufupi Urusi wanakutana na silaha ambazo hawakuzitarajia. Vifaru na magari ya dereya aliyokuwaanategemea kama maim weapons kuingia Ukraine yanabomolewa kama yametengenezwa na karatasi.
unaongea usichokijua..Atamuuzia mke wake sasa. Ruble ulikwishaiona wapi maishani mwako?
unaongea usichokijua..Atamuuzia mke wake sasa. Ruble ulikwishaiona wapi maishani mwako?
Huyu atakuwa nahofia green cards isichukuliwe!unaongea usichokijua..
Mean while huko USA mafuta yamepanda bei kinyama tofauti na miaka yote hasa pale wao wanapoanzisha VITA, usisaha na gas pia imepanda huko huko kwa waweka vikwazo kwa wenzao.Hahahaha
Putin anataka kufa huku akiwa na historia ya Mwanzilishi Vita vya 3 vya dunia
Keep my words
unaongea usichokijua..
Kama wewe hujaitumia usilazimishe kwa wengine. Sasa EU atainunua rubble ndio anunie gas, au unadhani ulaya gas ikiisha wanatuma watoto wakanunue mkaa kama hapo Yombo?Atamuuzia mke wake sasa. Ruble ulikwishaiona wapi maishani mwako?
sio kwamba alinyongwa? Sio kwamba NATO waliishambulia Iraq? Why wasiishambulie Russia like they did in Iraq and Libya? (thats my interest)?Maneno haya haya nakumbuka yalikuwa yanasemwa kipindi cha Saddam Hussain!! Mbabe, atwanyoosha Marekani, mwisho wa siku akazimika kama mshumaa!
Kwy ugomvi wa bunduki ivyo uwezi tumia judo zakoPutin Rais anaemiliki mkanda mweusi wa Judo mchezo wa kuvunja viungo vya mwili na kuchomoa moyo,mbavu,bandama na ini la mwanadamu chini ya sekunde tatu kwa mikono.
Wala hawajaachana, wanafanana tuuuMkuu Saddam na Putin unawafananishal?
Sawa na kumfananisha Mwajuma Ndalandefu na Ummy Mwalimu! Wameachana mbali Sana!
Leo pia Uk itatangaza msaada mpya wa mitambo 6,000 na pesa ya kumwaga kuwalipa wanajeshi na wapiganaji wa UkrainePutin ameshachanganyikiwa baada ya uvamizi kupambana na resistance kali. Leo kuna habari kuwa wanajeshi wa Urusi wameanza kurudishwa nyuma na kupoteza baadhi ya maeneo waliyokuwa wameyatwaa. Ukraine wamepewa silaha nyingi sana na nchi za Magharibi na wanapata usaidizi wa utaalam. Kiufupi Urusi wanakutana na silaha ambazo hawakuzitarajia. Vifaru na magari ya dereya aliyokuwaanategemea kama maim weapons kuingia Ukraine yanabomolewa kama yametengenezwa na karatasi.