Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Wel said mkuu[emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376]
 
Kifuatacho ni marekani baada kuona anapoteza point 3 katika huu mtanange, ninaamini anaweza kufanya moja kati ya haya mawili halafu akamsingizia urusi.

1>> Matumizi ya silaha za kibailojia
2>> Kupiga Bomo la nyuklia

Katika uhalisia Urusi hawezi kushinda vita dhidi ya Nchi za Magharibi hii ni kwa Sababu mifumo yote ya uchumi ni ya kwao,kama Kuna mtu anabisha basi asubili alone kifuatacho.
Mark my words.
 
Tupo pamoja [emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Unaandika maneno mengi.. Nimesema kwa sasa.. ye kesho hatujui.. sasa hivi.. Russia economy is trashed..
 
Leo kahamia kwa India kwa kununua silaha kwa Urusi anataka kumwekea vikwazo India pia.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Acha uongo western Europe + Canada + Japan +south Korea+Australia hawa wote wanamsupport marekani 100 kwa hiyo hawako stable kiuchumi hii comment ni ya kijinga sana
 
Karibu msosi wa mpishi Biden utaiva[emoji28][emoji28][emoji28]
Leo kahamia kwa India kwa kununua silaha kwa Urusi anataka kumwekea vikwazo India pia.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwakuwa baba yako kafilisika basi unadhani na urusi
Mjinga ww. Nimesema.. sasa hivi.. Ya kesho hatuyajui.. economy ya Russia inaweza kuinuka tena.. ila kwa sasa hivi Russia economy is trashed.. watu mnapinga tu hoja.. kumbe wajinga tu. PS.. Huyo uliemtukana.. manake Baba yangu... aliniacha nikiwa na miaka 7. Kwa hio simtambui.. na mafanikio yangu hajachangia kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…