Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

Safi Sana! Unakataa kununua mahindi kwangu kunikomoa alafu watoto wako wanalala njaa Kwa kukosa ugali alafu unawaambia eti mimi mbaya wanilaumu nakunilaani!
Kweli wanaongoza vipofu!
 
hum ndani watu wanatweza sana utu. [emoji23]
 
Unahisi una akili kuliko warussia, bongo bahati mbaya ni kupanua Domo na kuropoka
 
Mwanaume Russia anaunguruma Tumbiri weusi wanasema eti, Russia imekwisha hivi mnajua Russia alishacalculate risk, profit ,loss na akaja na jibu la Vita.
1.hivi mnajua Russia ndiye anayetegemewa na hao mashoga wa Ulaya na USA ktk mafuta na gesi
2. Hivi mnajua OPEC wameshasena pengo la oil ya Russia halina replacement
3.Hivi mnajua ya kwamba kuanzia Sasa Russia anaweza kudaka NATO member yoyote na kutoa kifinyo bila yoyote kuingilia au kughasi
4. Hivi mnajua Russia angeamua kutumia siku so chini ya mbili kugeuza Ukraine yote kifusi bali ana huruma ya kuuwa watu.
5. Hivi mnajua bila ya kuwa na wababe Kama Russia hao mashoga Ulaya na America wangetulazimisha Africa yote tuwe mashoga kwa kutishiwa vikwazo
6. Hivi mnajua Russia pekee ndiye hajawahi kutufanya watumwa Wala biashara ya utumwa Bali hao mashoga ndio walitununua Kama watumwa.
Mwisho wa yote Mwenyezi Mungu alituumba tuishi kwa muda hapa duniani kwa lengo la kumuabudu na kupendana sisi site, so mwisho mashoga na uchafu wote wa hao NATO na America wataangamia ,
 
mchin na mkolea ndio nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…