Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Rais Putin asaini waraka wa kuamuru majeshi ya Russia kuingia Ukraine kulinda amani ktk majimbo-yenye-uasi ya Luhansk na Donetsk

Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia amesaini tamko rasmi/ decree kuamrisha majeshi ya Russia kuingia nchi Ukraine katika majimbo Luhansk na Donetsk, ambayo Russia inadai ni majimbo asili kwa karne nyingi ingawa yapo nchini Ukraine lakini yanayoiunga mkono Russia, hati hiyo aliyosaini rais Vladimir Putin ni ili kulinda amani toka tishio la majeshi ya Ukraine ambayo bado ni tiifu kwa utawala wa rais wa Ukraine ktk mji mkuu wa Ukraine Kiev / Kyiv .

Rais Putin ametoa tamko hili mubashara ktk televisheni na kusema hatua hiyo ni muhimu ili kulinda majimbo hayo mawili yaliyoamua kujitenga toka Ukraine.

Rais Vladimir Putin ameyatambua majimbo hayo ya Ukraine kuwa ni Jamhuri ya Luhansk na Jamhuri Donetsk ikimaanisha siyo tena majimbo ya Ukraine na hivyo kupeleka msaada wa majeshi ya Russia kutekeleza majukumu aliyoyaita kulinda amani.

Ikulu ya White House Marekani imetangaza kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Luhansk na Jamhuri Donetsk ya nchini Ukraine huko Umoja wa Ulaya / EU nayo imeitisha kikao cha dharura kufuatia hali hiyo mpya huku nchi zingine za Ulaya zikitoa matamko ya kulaani ubeberu wa Russia dhidi ya Ukraine.

Toka mji wake mkuu wa Kyiv, Ukraine imetaka Umoja wa Mataifa / UN kuitisha kikao cha dharura kufuatia hali hiyo.

Source: Russia MoD

Kwa wiki kadhaa majeshi ya Russia yalionekana kujikusanya karibu ya mipaka ya Ukraine pande za nchi za Russia yenyewe, Belarus, Crimea na bahari ya Black Sea kwa kile Russia ilichosema ni mazoezi ya kawaida ya utayari ya majeshi yake. Lakini majeshi ya utambuzi / intelligence ya nchi za umoja wa majeshi ya Ulaya Magharibi na Marekani wa NATO yalitia shaka hicho kilichoitwa mazoezi ya utayari ya Russia kwa wingi wa majeshi, vifaa vya kivita vya ulinzi wa anga, manowari za kivita, ndege za kijeshi, askari wa miguu, logistics, propaganda kupitia media mbalimbali za habari na mpangilio wa formation ilionesha wazi ni mpangilio wa kuweza kufanya uvamizi wa spidi kubwa na kuwapiga butwaa nchi marafiki za Ukraine.


Source : PBS Newshour

Ikumbukwe nchi ya Russia pia inaikalia asilimia 20% ya nchi ya Georgia toka mwaka 2008 na pia iligema eneo la Ukraine la Crimea mwaka 2014 katika bahari ya Black Sea toka Ukraine kupitia pia kuvamia maeneo ya nchi hizo kijeshi kwa sababu hizo hizo za kulinda amani na kuleta amani. Nchi za magharibi hazikuchukua hatua zozote za kijeshi zaidi ya kulaani hatua hizo za miaka iliyopita ktk nchi za Georgia na Ukraine.

Putin orders Russian troops into Ukraine separatist regions | DW News


Russian President Vladimir Putin has signed a decree to send what he is describing as "peacekeeping troops" into the separatist regions of Luhansk and Donetsk. The decision comes after Putin recognized both regions as independent states and described Ukraine as ancient Russian territory. The move could mark a significant escalation amid fears Russia could soon launch a full-scale invasion of Ukraine.

Source : DW News


Updates:

24 February 2022
Kharkiv, Ukraine

Mji maarufu wa kimkakati wa viwanda vikubwa wa Kharkiv Ukraine kama matrekta maarufu XTZ-243 yenye nguvu n.k ulioanzishwa na utawala ya Stalin wa USSR 1930-31 umeamka huku wakisikia milio mikubwa ya milipuko. Jimbo la Mji huu wa kimkatati wa viwanda upo mpakani na Russia

War in Ukraine: Explosions in Kyiv, Kharkiv as Russia launches invasion • FRANCE 24 English



People in Kyiv awoke to the sound of explosions and air-raid sirens this morning as Russia launched a military offensive into Ukraine, with similar scenes in major cities across the country as Russian artillery struck airports and infrastructure.
Source : France24
 
Kitakachofuata ni hayo majimbo kuitisha kura ya Maoni wataamua wawe sehemu ya Urusi na ndio mchezo umeisha .....Nadhani kwasasa tukubali ipo siku zitawaka kati ya US na Hao jamaa zake na Urusi kwa upande mwingine.

Lakini pia Upande Mwingine simlaumu Mrusi nalaumu Ukraine kutokujitambua wao wanaambiwa usijiunge na hao NATO watakuja Kutusumbua hapa Jirani wanangangania. Hii ni Vita Ya Wababe kila mmoja ana Maslahi yake unadhani EU inaweza kukataa Gas ya Urusi wakati ndio wanatumia kwa kujihami na baridi??

Mtu mwenyewe wanahangaika nae Putin ambae hajali kitisho kabisaaa. . .Putin Hajali na mpaka anachukua hatua Hii hakua na namna kwasababu Ukraine ikijiunga NATO ni hatari zaidi kwao or so waanzishe Ile Cuba Crisis ya Mwaka 1962 nae Russia atege silaha zake kule Venezuela au Cuba....

Ukraine ndio watakaoumia hapa wala hamna kingine..Issue ya vikwazo ni kelele tu....
 
21 February 2022

PBS NewsHour full episode, Feb. 21, 2022



Russia's leader Vladimir Putin orders troops to eastern Ukraine after recognizing two separatist regions as independent, prompting Western nations to impose sanctions. Also, as airlines grapple with pandemic disruptions their workers contend with unruly passengers, and a journalist delves into new public documents to craft a comprehensive history of the Watergate scandal.

Source : PBS NewsHour
 
21 February 2022
Moscow, Russia

Putin orders Russian military to Donbass Republics as peacekeepers​


The president has signed a decree pledging cooperation between Russia and the two breakaway regions
Putin orders Russian military to Donbass Republics as peacekeepers

From right, Russian President Vladimir Putin, Heads of the Donetsk and Lugansk People’s Republics, Denis Pushilin and Leonid Pasechnik sign decree to recognise Ukrainian regions as independent entities, in Moscow, Russia. © Sputnik / Aleksey Nikolsky

President Vladimir Putin has ordered the Russian military to “secure the peace” in the newly recognized Donetsk and Lugansk republics, which were formerly considered to be part of Ukraine.
Moscow officially recognized the independence of the two breakaway regions on Monday.

Putin has instructed the Defense Ministry to send peacekeepers into the Donbass, while telling the Ministry of Foreign Affairs to establish diplomatic relations with the states.

The Kremlin’s official move comes shortly after Putin’s lengthy address to the nation on Monday evening. In it, he explaiened the step as a long overdue response to what he described as the “brotherly” Ukrainian nation becoming a “colony” of the West and falling under the rule of a “russophobic” government both hostile to Moscow and denying ethnic Russians and Russian-speakers basic human rights.


Donetsk and Lugansk declared independence from Kiev in 2014, after US-backed nationalists overthrew the democratically elected government in the Maidan coup.

However, Moscow has refused to recognize them until now, saying the problem is an internal affair of Ukraine and needs to be resolved according to the Minsk agreements, which established an uneasy armistice in 2015.

Earlier on Monday, however, the Donetsk leader Denis Pushilin and Lugansk leader Leonid Pasechnik formally requested recognition from Moscow once again, as both Donbass regions and Ukraine claimed intensive artillery exchanges along the armistice line.

In his speech, Putin said that the Minsk process had failed and that Ukraine is “not interested in peaceful solutions – they want to start a Blitzkrieg.”

Source : Putin orders Russian military to Donbass Republics as peacekeepers
 
labda hio vita ipiganwe humo humo ndani ya UKRAINE maana hamna ataeweza rusha hata jiwe ndani ya mipaka ya RUSSIA nasema tena.hakuna
NATO wamemuingiza chakike UKRAINE wakamvimbisha kichwa halaf wanamacha
Sema Suu
 
Mabeberu wamefanikiwa kumwingiza CHOO CHA KIKE rais wa UKRAINE. Walimdanganya kuwa watamlinda dhidi ya Urusi, wakampatia mabilioni ya misaada ya kijeshi, akavimba kichwa na akagoma kufanya maongezi na majimbo yaliyojitenga ili kutafuta muafaka chini ya makubaliano yaliyodhaminiwa na Ukraine yenyewe, Urusi, Ufaransa na Ujerumani.

Unaitwa ni mkataba wa Minsk. Matokeo yake Urusi kaamua kuwalinda raia wake walioko majimbo hayo na amewatambua kama mataifa huru, na NATO hawatafanya chochote kuizuia Urusi kuingia huko!! Sana sana shida yao ilikuwa ni kupata kisingizio cha kuiwekea vikwazo vya uchumi urusi, na urusi ikasema "we are immune to sunctions".

Rais wa Ukraine keshalihutubia taifa lake tayari na HAKUTHUBUTU kuagiza majeshi yake kuyazuia majeshi ya URUSI kutimiza AMRI ya PUTIN. Muda huu anashangaa alivyoingizwa choo cha KIKE!
 
Mabeberu wamefanikiwa kumwingiza CHOO CHA KIKE rais wa UKRAINE. Walimdanganya kuwa watamlinda dhidi ya Urusi, wakampatia mabilioni ya misaada ya kijeshi...
Ok tumeshaiona hii. Ndivyo dunia ilivyo ingawa mambo haya yasipoangaliwa yatakuja kuupata ulimwengu wote miaka ijayo. Ukiona mwenzio ananyolewa wewe anza kutia maji. Ndiyo matokeo ya ukoloni mambo leo yanavyokuwa siku zote.
 
Back
Top Bottom