Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Ngoja tuone response ya mabeberu mkuu kwani bado wapo kimya mpaka sasa.
 
Hakuna KIKARAGOSI wa NATO atakayethubutu kujaribu kuyazuia majeshi ya URUSI yasiingie kwenye majimbo ya ukraine yaliyojitenga na kujitangazia uhuru, na sasa yametambuliwa rasmi na URUSI.

Putin amesema "They are not interested in peaceful solutions, they want to start Blitzkreig" yaani Ukraine hawana mpango na suluhisho kwa njia ya amani ila wanataka kuanzisha Blitzkreig".

Maana ya Blitzkreig ni: Kuhitaji kupata ushindi kwa njia ya vita, kwa hiyo amewapa fursa wafanye hiyo Blitzkreig kama ubavu huo wanao!! Marekani nduki tayari na keshaamuru watumishi wake wa ubalozi waondoke ukraine!
 
Baada ya vita ya pili ya dunia mataifa yenye nguvu yaliapa kutoingia vitani kupigana bila sababu ndo maana ya kuanzishwa umoja wa mataifa.

Urusi kwa wakati huu inatawaliwa na mbabe ambaye hajali taifa lolote kama alivyokuwa Hitler. Hao wanaoitwa mabeberu ndo wametuwezesha nchi maskini kifikia tulipo. Huwezi kutegemea kutembeza kikombe bila masharti.

Putin Jeuri yake kubwa ni Gas anayoisambazia nchi jirani na ikumbukwe kuwa bomba la gas linapitia Ukraine hivyo basi wale ni mateka wa kiuchumi wa Putin. Ugermani nao wanategemea gas hiyo hiyo ya Putin.

Namtaja Putin sababu kipindi cha Stalin tuliona nchi zote alizozikomboa baada ya Vita ya pili, alizihodhi zote na ndicho chanzo cha Genocide iliyotokea Serbia na Ugoslavia.

Dictator yeyote anachotaka ni kulazimisha kuchuka kwa nguvu. Haya majimbo mawili aliyoyachukua, yalishajitenga na kama tunakumbuka ndege iliyodunguliwa kwenye anga la jimbo lililojitenga, hakuna mtu aliruhusiwa kwenda kutambua maiti au kutafuta chanzo mpaka Putin alipowaruhusu wale waliojitenga kuruhusu wakaguzi na waokoaji kuingia.

Kama mtoa mada anamsifia Putin ajikumbushe hii big donor tulikokuwa tumeishafikia. Time would have been the right thing to mention. Nyerere angekuwa dikteta kama wengi wanavyofikiria, angeamua kuchukua sehemu ya Uganda kuwa chini ya TZ kama Stalin na Putin walivyofanya.
 
Baada ya vita ya pili ya dunia mataifa yenye nguvu yaliapa kutoingia vitani kupigana bila sababu ndo maana ya kuanzishwa umoja wa mataifa.
Urusi kwa wakati huu inatawaliwa na mbabe ambaye hajali taifa lolote kama alivyokuwa Hitler.
Hao wanaoitwa mabeberu ndo wametuwezesha nchi maskini kifikia tulipo. Huwezi kutegemea kutembeza kikombe bila masharti.

Putin Jeuri yake kubwa ni Gas anayoisambazia nchi jirani na ikumbukwe kuwa bomba la gas linapitia Ukraine hivyo basi wale ni mateka wa kiuchumi wa Putin. Ugermani nao wanategemea gas hiyo hiyo ya Putin.

Namtaja Putin sababu kipindi cha Stalin tuliona nchi zote alizozikomboa baada ya Vita ya pili, alizihodhi zote na ndicho chanzo cha Genocide iliyotokea Serbia na Ugoslavia.

Dictator yeyote anachotaka ni kulazimisha kuchuka kwa nguvu. Haya majimbo mawili aliyoyachukua, yalishajitenga na kama tunakumbuka ndege iliyodunguliwa kwenye anga la jimbo lililojitenga, hakuna mtu aliruhusiwa kwenda kutambua maiti au kutafuta chanzo mpaka Putin alipowaruhusu wale waliojitenga kuruhusu wakaguzi na waokoaji kuingia.
Kama mtoa mada anamsifia Putin ajikumbushe hii big donor tulikokuwa tumeishafikia.
Time would have been the right thing to mention. Nyerere angekuwa dikteta kama wengi wanavyofikiria, angeamua kuchukua sehemu ya Uganda kuwa chini ya TZ kama Stalin na Putin walivyofanya.
Mabeberu wakafie mbele tu kila mtu apambane na hali yake
 
Ok tumeshaiona hii. Ndivyo dunia ilivyo ingawa mambo haya yasipoangaliwa yatakuja kuupata ulimwengu wote miaka ijayo. Ukiona mwenzio ananyolewa wewe anza kutia maji. Ndiyo matokeo ya ukoloni mambo leo yanavyokuwa siku zote.

Nasisi kuna vinchi hapa naona kama ni mikoayetu tu, tuangalie ramani ja mjerumani alafu tufanye yetu.
 
Baada ya vita ya pili ya dunia mataifa yenye nguvu yaliapa kutoingia vitani kupigana bila sababu ndo maana ya kuanzishwa umoja wa mataifa.
Urusi kwa wakati huu inatawaliwa na mbabe ambaye hajali taifa lolote kama alivyokuwa Hitler...
[emoji23][emoji2][emoji12]
 
Back
Top Bottom