Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Mziki wa Putin huko ni mzito sana kuhimiliwa na Ukraine.

Maafisa wenyewe wa Ukraine wakiri kuwa Ukraine haina uwezo wa kuvirejesha nyuma vikosi vya Russia.

Halafu wamarekani wa Tandale huku wakila chapati na maharage ya kukata ya nazi kwa chai ya maziwa, wanataka kumpa kichwa Ukraine aendelee kula kichapo.
 
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fake news from fake jf member.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…