green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakuna cha majadiliano, yeye aendelee kuua tu.
God bless Ukraine and it's people, the entire world has witnessed Russia's evil. only wicked and immorality folks are the ones who supporting Russia oppression.
supporting##@@@@@@ Ukraine from Dutwa Bariadi###@[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3526][emoji3526]
Rais wa Ukraine amesema dirisha la diplomasia limefungwa.
Nafikiri kafunga dirisha ila mlango wa kidiplomasia bado upo waziRais wa Ukraine amesema dirisha la diplomasia limefungwa.
Wanaompa kiburi hakuna hata mmoja anaemsaidia, alisahau kuwa vita atapigwa ndani ya nyumba yake.Linafunguliwa tuu Jamaa kaomba kwa siri mpaka ikabidi atamke hadharani.
Uktaine hana kiburi tena
,[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbukeni kuwa huyo ni Comedian aliyebahatika kuupata Urais . yaani ni kama Tz msanii kama Mkojani au Masanja agombee halafu ashinde. Fikiria tu nchi iwe Kwenye hali ya hatari halafu rais ni MASANJABaba jeuri hiyo. Anashinda akiomba misaada alafu anasema hakuna uwanja wa majadiliano?!
Labda putin wa chato.Putin lazima apigwe
[emoji23][emoji23][emoji23]Labda putin wa chato.
WamsogàLabda putin wa chato.
Fake news from fake jf member.Baada ya kuonesha ubabe wake kwa Ukraine kwa kutangaza uhuru wa majimbo mawili ya mashariki mwa Ukraine na kisha kuingia kijeshi na kuchakaza miundombinu ya jeshi la Ukraine huku Ukraine ikiachwa kwenye mataa na wale iliyodhani watamsaidia (Marekani na NATO), Putin katoa ofa kwa serikali ya Ukraine kuwa yupo tayari kwa mazungumzo na Ukraine.
Akasisitiza kuwa kama viongozi wa Ukraine wanataka kuzungumza. Putin yeye ataka mambo mawili tu, Ukraine isijiunge na NATO, na wasiweke silaha za US na NATO kwenye ardhi ya Ukraine.
Ikumbukwe kuwa mapema leo, rais wa Ukraine alilalamika kuwa alijitahidi kumtafuta ktk simu Putin ili waongee lakini Putin hakupokea simu yake. Pengine Putin aliona kwanza atembeze mkono, ili hata wakiingia kwenye mazungumzo awe na mkono wa juu ktk mazungumzo hayo.
======
A Kremlin spokesman said on Thursday Russian President Vladimir Putin was ready to negotiate a settlement with Kyiv over Ukraine’s “neutrality,” amid an unfolding Russian invasion of its neighbor.![]()
Kremlin: Putin ready to negotiate deal over Ukraine’s neutrality, demilitarization
Moscow has previously refused to negotiate directly with Ukraine’s leaders.www.politico.eu
Kremlin press secretary Dmitry Peskov said Putin was prepared to talk with Ukrainian leaders about both neutrality and demilitarization.
“The president formulated his vision of what we would expect from Ukraine in order for the conceptual ‘red lines’,” he told reporters at a Kremlin press briefing, “if the leadership of Ukraine is ready to talk about it.”