let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Ukumbuke Ukraine ni mbuzi wa kafara tu....target hapo ni uliowataja. Target ni maduhu ila unaanza na mayalla ambaye ni rafiki yake maduhu ili maduhu akireact unampelekea moto.
Ni mbinu za kivita ngosha....hakikisha huishiwi bando.
Kwani Yeye ni nani asipigwe?. Ukraine wakimtanguliza MUNGU Putin atapigwa km mtoto mdogo niamini Mimi,Kwa MUNGU hakuna lisilowezekana.Kumbuka jinsi Goliath alivyomdharau Daudi lkn mwisho wa siku akapata kichapo kizito hadi akafa.Ukitaka vichekesho hivyo tuma neno 'VUNJAMBAVU' kwenda 1552
Inawezekana wewe wamjua Mungu zaidi kuliko waliotuletea hizo dini, ambao wanaamini vita ni pamoja na kuwa na mijisilaha madhubuti. Sio kuishia kusema tu Mungu akusaidie.Kwani Yeye ni nani asipigwe?. Ukraine wakimtanguliza MUNGU Putin atapigwa km mtoto mdogo niamini Mimi,Kwa MUNGU hakuna lisilowezekana.Kumbuka jinsi Goliath alivyomdharau Daudi lkn mwisho wa siku akapata kichapo kizito hadi akafa.
Russia ni muovu hata kama anaukosha mtima wako, Rais gani ambaye hataki wengine watawale ni yeye tuu hadi anabadili katiba ya nchi kisa matakwa yake, ila afanye yote siku ya hesabu ikifika hawezi kumkimbia Mungu na hataweza kuongoza watu akiwa mfu.The US still gets oil and gas from Russia
Pamoja na hayo yote lkn Uwezo wa Mungu ni mkubwa Sana,labda Ukraine hawajataka kumuomba tu.Inawezekana wewe wamjua Mungu zaidi kuliko waliotuletea hizo dini, ambao wanaamini vita ni pamoja na kuwa na mijisilaha madhubuti. Sio kuishia kusema tu Mungu akusaidie.
BTW, Rais wa Ukrain keshaomba Poo kwa Putin
View attachment 2130575
[emoji23][emoji23]Hata akiwa serious vipi tutahisi yupo kuigiza ze orijino comedKumbukeni kuwa huyo ni Comedian aliyebahatika kuupata Urais . yaani ni kama Tz msanii kama Mkojani au Masanja agombee halafu ashinde. Fikiria tu nchi iwe Kwenye hali ya hatari halafu rais ni MASANJA
Baada ya kuonesha ubabe wake kwa Ukraine kwa kutangaza uhuru wa majimbo mawili ya mashariki mwa Ukraine na kisha kuingia kijeshi na kuchakaza miundombinu ya jeshi la Ukraine huku Ukraine ikiachwa kwenye mataa na wale iliyodhani watamsaidia (Marekani na NATO), Putin katoa ofa kwa serikali ya Ukraine kuwa yupo tayari kwa mazungumzo na Ukraine.
Akasisitiza kuwa kama viongozi wa Ukraine wanataka kuzungumza. Putin yeye ataka mambo mawili tu, Ukraine isijiunge na NATO, na wasiweke silaha za US na NATO kwenye ardhi ya Ukraine.
Ikumbukwe kuwa mapema leo, rais wa Ukraine alilalamika kuwa alijitahidi kumtafuta ktk simu Putin ili waongee lakini Putin hakupokea simu yake. Pengine Putin aliona kwanza atembeze mkono, ili hata wakiingia kwenye mazungumzo awe na mkono wa juu ktk mazungumzo hayo.
======
A Kremlin spokesman said on Thursday Russian President Vladimir Putin was ready to negotiate a settlement with Kyiv over Ukraine’s “neutrality,” amid an unfolding Russian invasion of its neighbor.Kremlin: Putin ready to negotiate deal over Ukraine’s neutrality, demilitarization
Moscow has previously refused to negotiate directly with Ukraine’s leaders.www.politico.eu
Kremlin press secretary Dmitry Peskov said Putin was prepared to talk with Ukrainian leaders about both neutrality and demilitarization.
“The president formulated his vision of what we would expect from Ukraine in order for the conceptual ‘red lines’,” he told reporters at a Kremlin press briefing, “if the leadership of Ukraine is ready to talk about it.”
Mkuu....utachekwa. Jisitiri kwa kukaa kimya maana aibu naona Mimi.target ni Ukraine mwenyewe sio Nato. think beyond of the lines.
Mkuu hali ni mbaya sana Ukraine.Na mikujuze rais wa ukraine amesema wanajeahi wasiopungua 170, wameuwawa ma majeruhi kibao jeshi la urusi mpaka sasa halijapoteza raia wala askari
Maandishi hayasomeki.
Hao UK wajisalikishe tuu,hakuna kitu kimewasaidia silaha hawana visaidizi vimeharibiwa kifuatacho ni kuvua uniform na kujifanya raia.Mkuu hali ni mbaya sana Ukraine.
Kwa mujibu wa chombo cha habari cha wamarekani, New York Times, ni kwamba facilities za kivita 118 za Ukraine, base 11 za manege ya kivita na mifumo 13 ya kutungulia ndege imeharibiwa na majeshi ya Russia
Pia Russia kadungua ndegevita 5 za Ukraine, helicopter 1 na drones 5, huku wanajeshi 150 wa Ukraine wakisalimu amri kwa kuweka silaha Chini.
View attachment 2130667
Napenda wazungu wakaze vikwazo japo sioni wakifanya hivyoPutin kaanza kutapatapa majid yako shingoni
Kuna watu ni hamnazo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Afisa mstaafu wa USA kakiri kuwa Russia iko sahihi maana ni zaidi ya miaka 25 ilikuwa ikiiomba USA isiweke hapo hizo silaha zake na Kambi ya NATO.
Pia kasisitiza USA haiwezi ikamzuia Russia kuvipiga vita kwa Ukraine, afu Mmarekani wa Mwabepande anajitutumua kujiona yuko sahihi kuliko Afisa jeshi na mzawa wa USA [emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inawezekana wewe wamjua Mungu zaidi kuliko waliotuletea hizo dini, ambao wanaamini vita ni pamoja na kuwa na mijisilaha madhubuti. Sio kuishia kusema tu Mungu akusaidie.
BTW, Rais wa Ukrain keshaomba Poo kwa Putin
View attachment 2130575
[emoji706][emoji706][emoji706] garbageRussia ni muovu hata kama anaukosha mtima wako, Rais gani ambaye hataki wengine watawale ni yeye tuu hadi anabadili katiba ya nchi kisa matakwa yake, ila afanye yote siku ya hesabu ikifika hawezi kumkimbia Mungu na hataweza kuongoza watu akiwa mfu.
Eti Nini !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Pamoja na hayo yote lkn Uwezo wa Mungu ni mkubwa Sana,labda Ukraine hawajataka kumuomba tu.
Sio critical huyo achana naeMkuu....utachekwa. Jisitiri kwa kukaa kimya maana aibu naona Mimi.