Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Kwani Yeye ni nani asipigwe?. Ukraine wakimtanguliza MUNGU Putin atapigwa km mtoto mdogo niamini Mimi,Kwa MUNGU hakuna lisilowezekana.Kumbuka jinsi Goliath alivyomdharau Daudi lkn mwisho wa siku akapata kichapo kizito hadi akafa.
Inawezekana wewe wamjua Mungu zaidi kuliko waliotuletea hizo dini, ambao wanaamini vita ni pamoja na kuwa na mijisilaha madhubuti. Sio kuishia kusema tu Mungu akusaidie.

BTW, Rais wa Ukrain keshaomba Poo kwa Putin

Screenshot_20220225-101811_Chrome.jpg
 
Inawezekana wewe wamjua Mungu zaidi kuliko waliotuletea hizo dini, ambao wanaamini vita ni pamoja na kuwa na mijisilaha madhubuti. Sio kuishia kusema tu Mungu akusaidie.

BTW, Rais wa Ukrain keshaomba Poo kwa Putin

View attachment 2130575
Pamoja na hayo yote lkn Uwezo wa Mungu ni mkubwa Sana,labda Ukraine hawajataka kumuomba tu.
 
Nimewaza tu kwenye Defence expenditures.
Sisi tuna ulinzi wa kutosha
inCollage_20220225_114305700.jpg
 
Putin who don’t care about sanctions just got pissed and reacted to sanctions
 
Kumbukeni kuwa huyo ni Comedian aliyebahatika kuupata Urais . yaani ni kama Tz msanii kama Mkojani au Masanja agombee halafu ashinde. Fikiria tu nchi iwe Kwenye hali ya hatari halafu rais ni MASANJA
[emoji23][emoji23]Hata akiwa serious vipi tutahisi yupo kuigiza ze orijino comed
 
Baada ya kuonesha ubabe wake kwa Ukraine kwa kutangaza uhuru wa majimbo mawili ya mashariki mwa Ukraine na kisha kuingia kijeshi na kuchakaza miundombinu ya jeshi la Ukraine huku Ukraine ikiachwa kwenye mataa na wale iliyodhani watamsaidia (Marekani na NATO), Putin katoa ofa kwa serikali ya Ukraine kuwa yupo tayari kwa mazungumzo na Ukraine.

Akasisitiza kuwa kama viongozi wa Ukraine wanataka kuzungumza. Putin yeye ataka mambo mawili tu, Ukraine isijiunge na NATO, na wasiweke silaha za US na NATO kwenye ardhi ya Ukraine.

Ikumbukwe kuwa mapema leo, rais wa Ukraine alilalamika kuwa alijitahidi kumtafuta ktk simu Putin ili waongee lakini Putin hakupokea simu yake. Pengine Putin aliona kwanza atembeze mkono, ili hata wakiingia kwenye mazungumzo awe na mkono wa juu ktk mazungumzo hayo.
======


A Kremlin spokesman said on Thursday Russian President Vladimir Putin was ready to negotiate a settlement with Kyiv over Ukraine’s “neutrality,” amid an unfolding Russian invasion of its neighbor.

Kremlin press secretary Dmitry Peskov said Putin was prepared to talk with Ukrainian leaders about both neutrality and demilitarization.

“The president formulated his vision of what we would expect from Ukraine in order for the conceptual ‘red lines’,” he told reporters at a Kremlin press briefing, “if the leadership of Ukraine is ready to talk about it.”

Marekani na Ulaya ndo chanzo cha instability ya hii dunia, Urusi lazima aiingie uoga kama watakuwa wanauweka silaha zao huko na kuacha kuwa wamoja na ndugu zao
 
Na mikujuze rais wa ukraine amesema wanajeahi wasiopungua 170, wameuwawa ma majeruhi kibao jeshi la urusi mpaka sasa halijapoteza raia wala askari
Mkuu hali ni mbaya sana Ukraine.
Kwa mujibu wa chombo cha habari cha wamarekani, New York Times, ni kwamba facilities za kivita 118 za Ukraine, base 11 za manege ya kivita na mifumo 13 ya kutungulia ndege imeharibiwa na majeshi ya Russia

Pia Russia kadungua ndegevita 5 za Ukraine, helicopter 1 na drones 5, huku wanajeshi 150 wa Ukraine wakisalimu amri kwa kuweka silaha Chini.

Screenshot_20220225-122820_Chrome.jpg
 
Mkuu hali ni mbaya sana Ukraine.
Kwa mujibu wa chombo cha habari cha wamarekani, New York Times, ni kwamba facilities za kivita 118 za Ukraine, base 11 za manege ya kivita na mifumo 13 ya kutungulia ndege imeharibiwa na majeshi ya Russia

Pia Russia kadungua ndegevita 5 za Ukraine, helicopter 1 na drones 5, huku wanajeshi 150 wa Ukraine wakisalimu amri kwa kuweka silaha Chini.

View attachment 2130667
Hao UK wajisalikishe tuu,hakuna kitu kimewasaidia silaha hawana visaidizi vimeharibiwa kifuatacho ni kuvua uniform na kujifanya raia.
 
Afisa mstaafu wa USA kakiri kuwa Russia iko sahihi maana ni zaidi ya miaka 25 ilikuwa ikiiomba USA isiweke hapo hizo silaha zake na Kambi ya NATO.

Pia kasisitiza USA haiwezi ikamzuia Russia kuvipiga vita kwa Ukraine, afu Mmarekani wa Mwabepande anajitutumua kujiona yuko sahihi kuliko Afisa jeshi na mzawa wa USA [emoji1787]
Kuna watu ni hamnazo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Russia ni muovu hata kama anaukosha mtima wako, Rais gani ambaye hataki wengine watawale ni yeye tuu hadi anabadili katiba ya nchi kisa matakwa yake, ila afanye yote siku ya hesabu ikifika hawezi kumkimbia Mungu na hataweza kuongoza watu akiwa mfu.
[emoji706][emoji706][emoji706] garbage
 
Back
Top Bottom