Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Urusi mpaka Sasa imeashaua raia 68 wa Ukraine. Sasa si Yale Yale ya Israel? Urusi inaua raia huku Ukraine akitungua wajeda.

Pia,ndege 3 za Jeshi la Ukraine Aina ya Sukho-24 zimeanguka Chini mitaa ya Kiev. Hizi ni ndege zilizotengenezwa Urusi,kwahiyo naona Urusi anazidondosha kwa kutumia Electronic Cyber hacking.

Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia kitengo Cha CYBER SECURITY kimeomba idhini kwa Rais wa Marekani kushambulia Mifumo ya Ndege za Jeshi la Urusi kwa kutumia Jamming and Hacking. Biden anasubiri maoni ya kikao Cha wakuu wa NATO Kesho Asubuhi kwa njia ya Video.
Rusia wejiamdaa na mashambulizi ya kimtamdao na hapo usa itaumizwa before haijachukua hatua yake

Moja uwezekano wa kuzimwa satelite yao antime
 
Urusi mpaka Sasa imeashaua raia 68 wa Ukraine. Sasa si Yale Yale ya Israel? Urusi inaua raia huku Ukraine akitungua wajeda.

Pia,ndege 3 za Jeshi la Ukraine Aina ya Sukho-24 zimeanguka Chini mitaa ya Kiev. Hizi ni ndege zilizotengenezwa Urusi,kwahiyo naona Urusi anazidondosha kwa kutumia Electronic Cyber hacking.

Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia kitengo Cha CYBER SECURITY kimeomba idhini kwa Rais wa Marekani kushambulia Mifumo ya Ndege za Jeshi la Urusi kwa kutumia Jamming and Hacking. Biden anasubiri maoni ya kikao Cha wakuu wa NATO Kesho Asubuhi kwa njia ya Video.
Na mikujuze rais wa ukraine amesema wanajeahi wasiopungua 170, wameuwawa ma majeruhi kibao jeshi la urusi mpaka sasa halijapoteza raia wala askari
 
Kama hiyo ndo sababu ya mgogoro, nimegundua kuwa ni Russia ndiye anayeiogopa NATO na USA na siyo kinyume chake.

Kama anajiamini kwanini atishwe na uwepo wa silaha za NATO na US pale Ukraine? Mbona Cuba ana missiles kali jirani na USA na bado wana co-exist kwa kuheshimiana? Mbona Israel imezungukwa na majirani watata wenye silaha (nyingi zinatoka Urusi) lakini haijasema waondoe silaha zao, zaidi ya kujibu tu pale inapochokozwa?

Urusi ndo waoga mbele ya NATO.
Unaijua historia ya 1960-1999s kuhusu cold war au unadhani hapo ni simba na yanga....itafute elimu kwanza usijiingize kichwa kichwa kwenye mada kama hizi
 
Linafunguliwa tuu Jamaa kaomba kwa siri mpaka ikabidi atamke hadharani.
Uktaine hana kiburi tena
NBC - Raisi wa Ukraine "Nimetafuta viongozi 27 wa Europe nijue Ukraine inawezajiunga na NATO lakini kimya, kila mmoja anaogopa, sisi hatuogopi na hatutaogopa"

RUSSIA ni Taifa kubwa kiuchumi, kimaendeleo, kivita, kiteknolojia, kijasusi, kibiashara na hata kiubabe.
 
Kama hiyo ndo sababu ya mgogoro, nimegundua kuwa ni Russia ndiye anayeiogopa NATO na USA na siyo kinyume chake.

Kama anajiamini kwanini atishwe na uwepo wa silaha za NATO na US pale Ukraine? Mbona Cuba ana missiles kali jirani na USA na bado wana co-exist kwa kuheshimiana? Mbona Israel imezungukwa na majirani watata wenye silaha (nyingi zinatoka Urusi) lakini haijasema waondoe silaha zao, zaidi ya kujibu tu pale inapochokozwa?

Urusi ndo waoga mbele ya NATO.
Kihistoria kwenye miaka ya 1960 huko Cuba walishawahi kuomba msaada wa jeshi la Russia kuondoa hizo silaha za NATO na Kambi ilivyokuwa inataka kupigwa hapo Cuba.

Russia waliitikia na kwenda kuvizunguka vikosi vyote vya jeshi la NATO na Kambi ilivyokuwa imewekwa huko Cuba na jeshi la Russia lilifanikiwa kuwaondoa NATO.

Inamaana huyo NATO aliliogopa jeshi la Russia hadi kuondolewa Cuba?
 
Colonel Douglas Macgregor, afisa mstaafu wa jeshi la Marekani kasema kuwa Marekani ina nafasi ya kuepusha vita na Putin (Russia). Jambo la kwanza wanalopaswa kufanya Wamarekani ni kukiri na kukubaliana na nukta ya msingi ya Putin (Russia), ambayo serekali ya Russia imeiweka wazi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nukta yenyewe ni kuwa Russia hawataki majeshi ya Marekani, mizinga ya Marekani, na majeshi ya NATO kwenye mpaka wake na Ukraine (Mashariki ya Ukraine kwenye majimbo yaliyotangazwa huru na Putin).

Colonel Douglas akaendelea kusema: Kiukweli kabisa hata sisi Wamarekani hatukuyataka majeshi ya Russia na mizinga yake ndani ya Cuba, Putin naye hataki mambo hayo mashariki mwa Ukraine. Lazima tukubali madai hayo. Tuache kujifanyisha kuwa madai hayo hayana maana (ni ya kipuuzi).

Zaidi ya hapo Colonel huyo kasema Marekani haina uwezo wa kumfanya chochote Putin dhidi ya uvamizi wake.
Afisa mstaafu wa USA kakiri kuwa Russia iko sahihi maana ni zaidi ya miaka 25 ilikuwa ikiiomba USA isiweke hapo hizo silaha zake na Kambi ya NATO.

Pia kasisitiza USA haiwezi ikamzuia Russia kuvipiga vita kwa Ukraine, afu Mmarekani wa Mwabepande anajitutumua kujiona yuko sahihi kuliko Afisa jeshi na mzawa wa USA [emoji1787]
 
Baada ya kuonesha ubabe wake kwa Ukraine kwa kutangaza uhuru wa majimbo mawili ya mashariki mwa Ukraine na kisha kuingia kijeshi na kuchakaza miundombinu ya jeshi la Ukraine huku Ukraine ikiachwa kwenye mataa na wale iliyodhani watamsaidia (Marekani na NATO), Putin katoa ofa kwa serikali ya Ukraine kuwa yupo tayari kwa mazungumzo na Ukraine.

Akasisitiza kuwa kama viongozi wa Ukraine wanataka kuzungumza. Putin yeye ataka mambo mawili tu, Ukraine isijiunge na NATO, na wasiweke silaha za US na NATO kwenye ardhi ya Ukraine.

Ikumbukwe kuwa mapema leo, rais wa Ukraine alilalamika kuwa alijitahidi kumtafuta ktk simu Putin ili waongee lakini Putin hakupokea simu yake. Pengine Putin aliona kwanza atembeze mkono, ili hata wakiingia kwenye mazungumzo awe na mkono wa juu ktk mazungumzo hayo.
======


A Kremlin spokesman said on Thursday Russian President Vladimir Putin was ready to negotiate a settlement with Kyiv over Ukraine’s “neutrality,” amid an unfolding Russian invasion of its neighbor.

Kremlin press secretary Dmitry Peskov said Putin was prepared to talk with Ukrainian leaders about both neutrality and demilitarization.

“The president formulated his vision of what we would expect from Ukraine in order for the conceptual ‘red lines’,” he told reporters at a Kremlin press briefing, “if the leadership of Ukraine is ready to talk about it.”
He need to be murdered Yaani my goodness ameogopa wamepiga bomu hospital ya watoto wenye cancer imagine that no he need to die
 
Urusi mpaka Sasa imeashaua raia 68 wa Ukraine. Sasa si Yale Yale ya Israel? Urusi inaua raia huku Ukraine akitungua wajeda.

Pia,ndege 3 za Jeshi la Ukraine Aina ya Sukho-24 zimeanguka Chini mitaa ya Kiev. Hizi ni ndege zilizotengenezwa Urusi,kwahiyo naona Urusi anazidondosha kwa kutumia Electronic Cyber hacking.

Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia kitengo Cha CYBER SECURITY kimeomba idhini kwa Rais wa Marekani kushambulia Mifumo ya Ndege za Jeshi la Urusi kwa kutumia Jamming and Hacking. Biden anasubiri maoni ya kikao Cha wakuu wa NATO Kesho Asubuhi kwa njia ya Video.
Kama unasikiliza hivyo vyanzo vya habari vya nchi za Ulaya magharibi imekula kwako, kamwe hawawezi kukueleza ukweli halisi ilihali wao wako upande wa Ukraine na hawamkubali Urusi hata punje [emoji847]
 
Kama hiyo ndo sababu ya mgogoro, nimegundua kuwa ni Russia ndiye anayeiogopa NATO na USA na siyo kinyume chake.

Kama anajiamini kwanini atishwe na uwepo wa silaha za NATO na US pale Ukraine? Mbona Cuba ana missiles kali jirani na USA na bado wana co-exist kwa kuheshimiana? Mbona Israel imezungukwa na majirani watata wenye silaha (nyingi zinatoka Urusi) lakini haijasema waondoe silaha zao, zaidi ya kujibu tu pale inapochokozwa?

Urusi ndo waoga mbele ya NATO.
Defence your territory by any means ndicho anachofanya urusi na ichoicho ndyo anachofanya marekani vita vikiaanza nchi zao zichelewe kupata madhara kukubali Ukrein awe mwanachwma WA NATO ni kuifanya vita ikitokea ipigiwe sebleni Kwa urusi kitu ambacho hataki kufanya makosa kma ya Poland kumwacha huru Bora maumivu ya vikwazo kuliko maumivu ya vita maana urusi anajua vizuri vile aliumia kwenye vita ya pili ya dunia
 
Hatulifungui tu. Labda kwa njia ya mkanyagano
Putin anachofanya ni kuwapumbaza watu , sio Kama anaogopa .ivi uliona wapi anaepigwa ndio aombe mazungumzo? Hapo lazima mpigaji ndio anajifanya kujishusha kutaka mazungumzo huku ikiwa mishen yake imekamilika ya kupeleka message kua akisema jambo atanii kwahiyo hata maadui zake inabidi wakakae chini wapige hesabu upya .jamaa mjanja mjanja sana ndio sifa la jasusi kung'ata na kupuliza.
 
neno
Wewe mnyantuzu....wewe. Kaa kwa kutulia maana huzijui siasa za kimataifa. Propaganda tu unahama mtaroni. Putin anajilinda kwa gharama ya Ukraine. Mfedhuli hapo ni USA and her allies
toka neno propaganda lianze tumika katika media na magazetini limefunga akili za watu kufikiri bila kurusu ubongo kupokwa na upande wowote. propaganda zipo na zinatumika na kila upande, so ni wewe kusikiliza propaganda hizo za kila upande kwa logic.
Poland etc ni wanachama wa Nato na wameizunguka Urusi, ikiwa Dhumni la US ni kutumia Nato kui attack Russia why asizitumie hizo nchi kufanya hivyo badala yake atumie Ukraine ambayo si mwanachama?.
na kwanini putin asiende Poland kufanya hayo anayoyafanya badala yake anakwenda Ukraine ambayo anajua Nato haina ties nae.
yaan kwa mfano, unamjua Maduhu anamtongoza Mkeo na ushahidi unao ila unashindwa kwenda kumkabili Maduhu badala yake kumpiga Mayala kisa uwa anamtazama mkeo kwa jicho la mahaba,does it make sense?.
Urusi inazionea nchi ambazo hazipo KUNDINI-NATO. anatumia hiyo advantage kufanikisha interest zake.
 
RUSSIAN ENVOY TO JAPAN: THERE WILL BE SERIOUS RUSSIAN RESPONSE TO JAPANESE SANCTIONS AGAINST RUSSIA
 
Ndege 6 za kijeshi za Urusi Zimedunguliwa na Wanajeshi 50 wa Urusi wamekwenda na maji.View attachment 2130086
Mkuu hebu kuwa siriaz kidogo.

Hiyo stori waandishi wenyewe wa habari wanasema ni madai ambayo hayajatolewa ufafanuzi wala uthibitisho.

Tujaalie hivyo, mbona sasa Rais wa Ukraine amemuomba poo Putin eti asitishe mapigano.
Screenshot_20220225-101811_Chrome.jpg


 
neno

toka neno propaganda lianze tumika katika media na magazetini limefunga akili za watu kufikiri bila kurusu ubongo kupokwa na upande wowote. propaganda zipo na zinatumika na kila upande, so ni wewe kusikiliza propaganda hizo za kila upande kwa logic.
Poland etc ni wanachama wa Nato na wameizunguka Urusi, ikiwa Dhumni la US ni kutumia Nato kui attack Russia why asizitumie hizo nchi kufanya hivyo badala yake atumie Ukraine ambayo si mwanachama?.
na kwanini putin asiende Poland kufanya hayo anayoyafanya badala yake anakwenda Ukraine ambayo anajua Nato haina ties nae.
yaan kwa mfano, unamjua Maduhu anamtongoza Mkeo na ushahidi unao ila unashindwa kwenda kumkabili Maduhu badala yake kumpiga Mayala kisa uwa anamtazama mkeo kwa jicho la mahaba,does it make sense?.
Urusi inazionea nchi ambazo hazipo KUNDINI-NATO. anatumia hiyo advantage kufanikisha interest zake.
Ukumbuke Ukraine ni mbuzi wa kafara tu....target hapo ni uliowataja. Target ni maduhu ila unaanza na mayalla ambaye ni rafiki yake maduhu ili maduhu akireact unampelekea moto.
Ni mbinu za kivita ngosha....hakikisha huishiwi bando.
 
Back
Top Bottom