Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'

Rais wa Ukraine amesema dirisha la diplomasia limefungwa.
Mkuu nilikueleza kuwa mnyonge katu hawezi kuwa na option mbele ya mwenye nguvu.

Rais wa Ukraine kaomba kuzungumza na Putin juu ya Ukraine kutojiunga NATO na kutoweka silaha za US na NATO kwenye ardhi yake.

Msemaji wa ikulu ya Russia kasema hawezi kukomenti chochote kama itawezekana mazungumzo hayo kufanyika moja kwa moja kati ya Rais wa Ukraine na Putin.

Kremlin notes Kyiv's willingness to talk, won't comment on possible contacts

Screenshot_20220225-143357_Chrome.jpg
 
neno

toka neno propaganda lianze tumika katika media na magazetini limefunga akili za watu kufikiri bila kurusu ubongo kupokwa na upande wowote. propaganda zipo na zinatumika na kila upande, so ni wewe kusikiliza propaganda hizo za kila upande kwa logic.
Poland etc ni wanachama wa Nato na wameizunguka Urusi, ikiwa Dhumni la US ni kutumia Nato kui attack Russia why asizitumie hizo nchi kufanya hivyo badala yake atumie Ukraine ambayo si mwanachama?.
na kwanini putin asiende Poland kufanya hayo anayoyafanya badala yake anakwenda Ukraine ambayo anajua Nato haina ties nae.
yaan kwa mfano, unamjua Maduhu anamtongoza Mkeo na ushahidi unao ila unashindwa kwenda kumkabili Maduhu badala yake kumpiga Mayala kisa uwa anamtazama mkeo kwa jicho la mahaba,does it make sense?.
Urusi inazionea nchi ambazo hazipo KUNDINI-NATO. anatumia hiyo advantage kufanikisha interest zake.
Mh,
kwani expansion imefanyika kwa awamu Moja.
Hizo awamu nyingine Russia hakufanya kitu
Wakati Poland inajiunga Russia halikuwa na Hali Gani kiuchumi na Kijeshi.
Georgia walipotaka kujiunga kiliwapata nini
NATO walikuwa na advantage miaka ya 90 ndio maana walizichukua Latvia, Slovenia, Lithuania na Poland ila sio kipindi hiki.

Halafu ukisema uonevu ujue USA ni baba la uonevu duniani Sina haja ya kutaja Mataifa yaliyoonewa
 
Kwani Yeye ni nani asipigwe?. Ukraine wakimtanguliza MUNGU Putin atapigwa km mtoto mdogo niamini Mimi,Kwa MUNGU hakuna lisilowezekana.Kumbuka jinsi Goliath alivyomdharau Daudi lkn mwisho wa siku akapata kichapo kizito hadi akafa.
MUNGU USA au Mungu yule anyehubiriwa na vitabu vitakatifu.

Mbona maafa yapo mengi duniani na Hana msaada
 
Russia ni muovu hata kama anaukosha mtima wako, Rais gani ambaye hataki wengine watawale ni yeye tuu hadi anabadili katiba ya nchi kisa matakwa yake, ila afanye yote siku ya hesabu ikifika hawezi kumkimbia Mungu na hataweza kuongoza watu akiwa mfu.
Mbona husemi Uingereza inatawaliwa na mtu mmoja tu bibi kizee kwa miaka dahari
 
Russia kasema atazungumza tu na Ukraine baada ya wanajeshi wa Ukraine kuweka silaha chini.

Mtu mwenye nguvu siku zote ndio mwenye mkono wa juu ktk mazungumzo


SmartSelect_20220225-154712_Chrome.jpg
 
MUNGU USA au Mungu yule anyehubiriwa na vitabu vitakatifu.

Mbona maafa yapo mengi duniani na Hana msaada
MUNGU anayeishi milele, MUNGU wa Ibrahimu,Isaka na Yakobo,Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.Kuhusu maafa kutokea duniani hiyo haiondoi ukweli kuwa MUNGU wetu yu hai na ana uwezo.Maafa yanatokea kwasababu mbalimbali mojawapo ikiwa ni uovu wetu sisi binadamu,lkn pia Mungu Anataka kutupa onyo,au wakati mwingine Anataka tupitie njia ya mateso ili kifikia Uzima wa milele km ambavyo mwaae mpendwa Yesu Kristo alipitia, kufanya hivyo haimaanishi kuwa hatupendi bali anatupenda.
 
hakuna cha majadiliano, yeye aendelee kuua tu.
God bless Ukraine and it's people, the entire world has witnessed Russia's evil. only wicked and immorality folks are the ones who supporting Russia oppression.

supporting##@@@@@@ Ukraine from Dutwa Bariadi###@❤️❤️❤️☺️☺️
My friend from Dutwa am your neighbour from Nyakabindula its too late to catch the bus, if such triumphatic statements were to be stated before Russian invasion it would be helpful but not now.

Russia has no compromise and cant hasitate to punish any one crossing the red line of its ďefence bounderies my lets continue consuming Michembe while waiting the donated mosquito nets from USA
 
President wa ukraine ni mfano wa kuigwa hajakimbia nchi na ukraine wana fight back .Putin alifikiri itakuwa kama Crimea .Putin will be a man with no country.Watu wana cell phone image zinatisha Putin this is not 1945 hitlers time
 
Mtu siku mbili tuu Russia washaingia mji mkuu unamwita kidume. Analia lia Viongozi wa Ulaya hawapokei cm zake...
Halafu kikao ni Minsk kwa Belarus [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpaka Sasa mji mkuu umeshazungukwa usiku huu unachukuliwa.

Air superiority wametawala Russia na hawatumii advance weapons zao

Yaani Soviet equipment zinawatosha

Sasa ataenda kufuata matwakwa ya Urusi Bora angekubali mwanzoni ingekuwa ni win win situation.
 
Back
Top Bottom