Nimekujibu kuwa walilipiza shambulio la hospitali ya watoto kwa kushambuliana ndani ya Russia hukuelewa nini? Malengo sio kuchukua eneo ni kujibu shambulio maana walikuwa bado hawajaruhusiwa na washirika wao kushambuliana sasa kikao cha miaka 75 ya NATO wameruhusiwa kushambuliana ndani ya RussiaTaratibu basi mkongwe!
Mbona povu tena!?
Okay, nijibu maswali yangu vizuri, acha ubinafsi!
Kwahiyo Ukraine wameanza kushambulia ndani ya Urusi lakini bado hawajafanikiwa kurudisha hata heka moja ya eneo lao?
Vipaumbele vyao ni nini hawa Ukraine? Mbona wanatuchanganya!
unaona mbali sana pongezi.Shida ya Putin ndo hiyo , akipiga nyuklia na yeye ameisha. Warusi wako tayari wateketee kisa wanataka mikoa 4 ya Ukraine? Hiyo ni sababu ndogo ya kusababisha vita ya 3 ya dunia. Pia siku nyingine atavamia nchi yoyote jirani halafu atishie nyuklia. USA, UK, France, wana nyukilia. Huwezi tishia nyuklia na wakati na wao wanazo nyuklia, anaona wazungu wa NATO ni waoga wa vita ndo maana anajaribu kutishia, mwenzake China hawezi kujiingiza kwenye vita vya nyuklia. Uzuri vita vya nyuklia havina mshindi atalipwa na wao watalipua, makombora yatakuwa yanapishana angani na baharini. Mwenye air defence system nzuri ndo atapona.Ila kuna uwezekano mkubwa wa Rusia kuwahi kuteketea kabla ya nchi zote za NATO, Africa tujiandae kupokea wakimbizi toka Rusia na Nchi za NATO
Wanamgambo wa Ukraine mpo bize kutangaza LGBTAdvancing sio kizembe kama kukaanga chips acha ujinga nimekuambia juzi wameshambulia ndani ya urusi wewe unasema maeneo kumbe majadili na kiazi sasa
USSR
Mikwala Tu hiyo NATO imeanza kuizunguka Russia Leo?...mbona hajapiga Hilo nuke....BREAKING NEWS
Putin amesema NATO inafanya makosa makubwa kushambulia ndani ya Russia, Jibu la Russia itakua na sehemu mbili kuanzisha Vita vya tatu vya Dunia na kuiangamiza NATO au kuwatwanga Nyuklia.
NATO is making big mistake to strike inside Russia, we will destroy NATO either by fighting world war III or by nuclear weapons.
View attachment 3040010View attachment 3040011
Unafikir ni rahisi kama unavyookoteza hiv vihabar vyako vya uongo....nuke pia NATO wanazo...akijalibu Tu ndo utakuwa mwisho wa Putin na yeye anajua ndio maana toka huko nyuma anatishiatishia Tu...kama unakumbuka Russia alisema yoyote atakaye saidia Ukraine atakutana na Moto lakini tumeona usa anatoa mpaka missile za kushambulia Russia na hakuna Moto⚠️BREAKING NEWS⚠️
Putin:
If Ukraine joins NATO , we will not wait a second to remove Ukraine and NATO from the map of the world.
Russia and china started preparing their armies to combat NATO. China supports Russia against Ukraine and West.
Kwani mimi wa kanisani mpaa nikaolewe na mwanaume mwenzangu 😄Wewe bila kuingiza topic za mabwana zako wa kiarabu husikii raha kabisa?!
Nenda basi ukaolewe a Sinwar maana naona unamuhusudu sana uyo gaidi
Aaaah!Malengo sio kuchukua eneo ni kujibu shambulio
Aaaah, kumbe walikuwa wanasubiri ruhusa!?walikuwa bado hawajaruhusiwa na washirika wao kushambuliana sasa kikao cha miaka 75 ya NATO wameruhusiwa kushambuliana ndani ya Russia
Huyu pia ni wa kanisani sio?Kwani mimi wa kanisani mpaa nikaolewe na mwanaume mwenzangu 😄
Huyo ni wale walio potea njia walikiwa wakienda kanisani, akajivisha kanzu.
Russian Foreign Minister:Unafikir ni rahisi kama unavyookoteza hiv vihabar vyako vya uongo....nuke pia NATO wanazo...akijalibu Tu ndo utakuwa mwisho wa Putin na yeye anajua ndio maana toka huko nyuma anatishiatishia Tu...kama unakumbuka Russia alisema yoyote atakaye saidia Ukraine atakutana na Moto lakini tumeona usa anatoa mpaka missile za kushambulia Russia na hakuna Moto
Yale mapipa ya Mrusi kuanzia S500 si ndio yanapigwa na drones za kienyeji huko Ukraine !!!Mifumo ya NATO ndio hii inayobondwa kila siku huko Ukraine na Israel...Kinzal na Hypersonic haizuiliki na Mfumo wowote ulinzi uliopo kwasasa
Uingereza kabadili gia angani baada ya onyo la Putinpiga nuclear baba tuheshimiane...
US ndio alimaliza vita, hata Urusi kuishinda Ujerumani ilitokana na usaidizi kutoka US.Thubutu USA NDIYO YUPO KWENYE RISK KUBWA ...kipigo kibaya kuliko vyote kitatua marekani ...pitia vita vya 2 vya dunia kuhusu urusi dhidi ya Germany na japani ....siku zote mrusi upiga kichwa cha JOKA SIYO MKIA
NUingereza kabadili gia angani baada ya onyo la Putin
UPDATE🗞️🚨
🇬🇧 The UK has changed its mind and now does not allow strikes on Russian territory with their missiles.
British MoD now says Great Britain did not give Ukraine permission to fire Storm Shadow missiles deep into the territory of the Russian Federation.
The British government allowed missiles to be launched at targets in Crimea and mainland Ukraine, but not to hit targets in the Russian Federation.
Officials fear the escalation of the war and the involvement of Great Britain in the conflict with Russia.
#Russia #UK #Ukraine
Sawa mke wa putinMshauri wa Putin
Putina ana taarifa kuliko na zaidi na ziada ya hizo ulizonazo ww
Kama huna mwendo au mbiousichokoze nyuki. Kisha baadae ukaanza kusema sikujua nyuki wanaweza kung'ata.Si mara ya kwanza kusema hivyo.
Kwamba hataki kupigwa ndani ndani si ndiyo?, ila yeye pekee ndo apige popote atakapo.
Ni kweli Ukraine hajatumia haya makombora ya Uingereza ndani ya Urusi tokea awali.Uingereza kabadili gia angani baada ya onyo la Putin
UPDATE🗞️🚨
🇬🇧 The UK has changed its mind and now does not allow strikes on Russian territory with their missiles.
British MoD now says Great Britain did not give Ukraine permission to fire Storm Shadow missiles deep into the territory of the Russian Federation.
The British government allowed missiles to be launched at targets in Crimea and mainland Ukraine, but not to hit targets in the Russian Federation.
Officials fear the escalation of the war and the involvement of Great Britain in the conflict with Russia.
#Russia #UK #Ukraine
Unajua Urusi aliwahi kuomba kuungana na NATO na alikataliwa?Kama huna mwendo au mbiousichokoze nyuki. Kisha baadae ukaanza kusema sikujua nyuki wanaweza kung'ata.
Uliwahi kujiuliza NATO Ina wanachama 32 wanaoungana kijeshi kupigana na nani ambapo Hadi sasa mmojammpja hawawezi kumpiga?
Huyo unaeona Bado wanaona hawana uwezo wa kupigana na nae hivyo lazima waongeze wanachama zaidi ni URUSI.
Tambua Urusi si taifa dogo kwa Kila kitu,