Putin atahadharisha ataingamiza NATO kwa WWIII au Nyuklia

Putin atahadharisha ataingamiza NATO kwa WWIII au Nyuklia

Taratibu basi mkongwe!
Mbona povu tena!?
Okay, nijibu maswali yangu vizuri, acha ubinafsi!
Kwahiyo Ukraine wameanza kushambulia ndani ya Urusi lakini bado hawajafanikiwa kurudisha hata heka moja ya eneo lao?
Vipaumbele vyao ni nini hawa Ukraine? Mbona wanatuchanganya!
Nimekujibu kuwa walilipiza shambulio la hospitali ya watoto kwa kushambuliana ndani ya Russia hukuelewa nini? Malengo sio kuchukua eneo ni kujibu shambulio maana walikuwa bado hawajaruhusiwa na washirika wao kushambuliana sasa kikao cha miaka 75 ya NATO wameruhusiwa kushambuliana ndani ya Russia

USSR
 
Shida ya Putin ndo hiyo , akipiga nyuklia na yeye ameisha. Warusi wako tayari wateketee kisa wanataka mikoa 4 ya Ukraine? Hiyo ni sababu ndogo ya kusababisha vita ya 3 ya dunia. Pia siku nyingine atavamia nchi yoyote jirani halafu atishie nyuklia. USA, UK, France, wana nyukilia. Huwezi tishia nyuklia na wakati na wao wanazo nyuklia, anaona wazungu wa NATO ni waoga wa vita ndo maana anajaribu kutishia, mwenzake China hawezi kujiingiza kwenye vita vya nyuklia. Uzuri vita vya nyuklia havina mshindi atalipwa na wao watalipua, makombora yatakuwa yanapishana angani na baharini. Mwenye air defence system nzuri ndo atapona.Ila kuna uwezekano mkubwa wa Rusia kuwahi kuteketea kabla ya nchi zote za NATO, Africa tujiandae kupokea wakimbizi toka Rusia na Nchi za NATO
unaona mbali sana pongezi.
 
Advancing sio kizembe kama kukaanga chips acha ujinga nimekuambia juzi wameshambulia ndani ya urusi wewe unasema maeneo kumbe majadili na kiazi sasa

USSR
Wanamgambo wa Ukraine mpo bize kutangaza LGBT
 

Attachments

  • IMG_20240712_134524.jpg
    IMG_20240712_134524.jpg
    97.8 KB · Views: 1
BREAKING NEWS

Putin amesema NATO inafanya makosa makubwa kushambulia ndani ya Russia, Jibu la Russia itakua na sehemu mbili kuanzisha Vita vya tatu vya Dunia na kuiangamiza NATO au kuwatwanga Nyuklia.

NATO is making big mistake to strike inside Russia, we will destroy NATO either by fighting world war III or by nuclear weapons.

View attachment 3040010View attachment 3040011
Mikwala Tu hiyo NATO imeanza kuizunguka Russia Leo?...mbona hajapiga Hilo nuke....
 
⚠️BREAKING NEWS⚠️

Putin:

If Ukraine joins NATO , we will not wait a second to remove Ukraine and NATO from the map of the world.

Russia and china started preparing their armies to combat NATO. China supports Russia against Ukraine and West.
Unafikir ni rahisi kama unavyookoteza hiv vihabar vyako vya uongo....nuke pia NATO wanazo...akijalibu Tu ndo utakuwa mwisho wa Putin na yeye anajua ndio maana toka huko nyuma anatishiatishia Tu...kama unakumbuka Russia alisema yoyote atakaye saidia Ukraine atakutana na Moto lakini tumeona usa anatoa mpaka missile za kushambulia Russia na hakuna Moto
 
Malengo sio kuchukua eneo ni kujibu shambulio
Aaaah!
Kwahiyo hawana mpango wa kurudisha maeneo yao!?
Duuuh!!!
walikuwa bado hawajaruhusiwa na washirika wao kushambuliana sasa kikao cha miaka 75 ya NATO wameruhusiwa kushambuliana ndani ya Russia
Aaaah, kumbe walikuwa wanasubiri ruhusa!?
Kweli Ukraine ni wanoma!!!
 
Huyo ni wale walio potea njia walikiwa wakienda kanisani, akajivisha kanzu.

Kuna wakristo wamehifadhi Qur'an kuliko waislam ili wapate kazi ya kusomesha Qur'an, ukiwa umehifadhi juzu ama hapo mitani na ujidai muislam na uvae kanzu, watu watasema wewe mwalimu.

Kuna mkristo mmoja kule Egypt anaitwa John, alienda nchi za Gulf akajidai mwislam na alikuwa akitwa Abdilqadir badala ya jina lake khalisi John.

Huyo John akisoma Qur'an MashaAllah kuliko waislam wenyewe.
 
Unafikir ni rahisi kama unavyookoteza hiv vihabar vyako vya uongo....nuke pia NATO wanazo...akijalibu Tu ndo utakuwa mwisho wa Putin na yeye anajua ndio maana toka huko nyuma anatishiatishia Tu...kama unakumbuka Russia alisema yoyote atakaye saidia Ukraine atakutana na Moto lakini tumeona usa anatoa mpaka missile za kushambulia Russia na hakuna Moto
Russian Foreign Minister:

If Ukraine joins NATO, either Ukraine will disappear or NATO will.
 

Attachments

  • IMG_20240712_211021.jpg
    IMG_20240712_211021.jpg
    182.5 KB · Views: 1
piga nuclear baba tuheshimiane...
Uingereza kabadili gia angani baada ya onyo la Putin

UPDATE🗞️🚨


🇬🇧 The UK has changed its mind and now does not allow strikes on Russian territory with their missiles.

British MoD now says Great Britain did not give Ukraine permission to fire Storm Shadow missiles deep into the territory of the Russian Federation.

The British government allowed missiles to be launched at targets in Crimea and mainland Ukraine, but not to hit targets in the Russian Federation.

Officials fear the escalation of the war and the involvement of Great Britain in the conflict with Russia.

#Russia #UK #Ukraine
 

Attachments

  • IMG_20240712_212605.jpg
    IMG_20240712_212605.jpg
    134.3 KB · Views: 1
Huo ni ujanja wa vita ashambulie mara ngapi ndani ya Russia, mbona mnakuwa waoga kama ukrane amevumilia kushambuliwa ndani ya ardhi yake kwanini Russia awe muoga na anajifanya ana mbinu na uwezo,yanamkuta tu

USSR
Uingereza kabadili gia angani baada ya onyo la Putin

UPDATE🗞️🚨


🇬🇧 The UK has changed its mind and now does not allow strikes on Russian territory with their missiles.

British MoD now says Great Britain did not give Ukraine permission to fire Storm Shadow missiles deep into the territory of the Russian Federation.

The British government allowed missiles to be launched at targets in Crimea and mainland Ukraine, but not to hit targets in the Russian Federation.

Officials fear the escalation of the war and the involvement of Great Britain in the conflict with Russia.

#Russia #UK #Ukraine
N
 
Si mara ya kwanza kusema hivyo.
Kwamba hataki kupigwa ndani ndani si ndiyo?, ila yeye pekee ndo apige popote atakapo.
Kama huna mwendo au mbiousichokoze nyuki. Kisha baadae ukaanza kusema sikujua nyuki wanaweza kung'ata.

Uliwahi kujiuliza NATO Ina wanachama 32 wanaoungana kijeshi kupigana na nani ambapo Hadi sasa mmojammpja hawawezi kumpiga?

Huyo unaeona Bado wanaona hawana uwezo wa kupigana na nae hivyo lazima waongeze wanachama zaidi ni URUSI.

Tambua Urusi si taifa dogo kwa Kila kitu,
 
Uingereza kabadili gia angani baada ya onyo la Putin

UPDATE🗞️🚨


🇬🇧 The UK has changed its mind and now does not allow strikes on Russian territory with their missiles.

British MoD now says Great Britain did not give Ukraine permission to fire Storm Shadow missiles deep into the territory of the Russian Federation.

The British government allowed missiles to be launched at targets in Crimea and mainland Ukraine, but not to hit targets in the Russian Federation.

Officials fear the escalation of the war and the involvement of Great Britain in the conflict with Russia.

#Russia #UK #Ukraine
Ni kweli Ukraine hajatumia haya makombora ya Uingereza ndani ya Urusi tokea awali.
 
Kama huna mwendo au mbiousichokoze nyuki. Kisha baadae ukaanza kusema sikujua nyuki wanaweza kung'ata.

Uliwahi kujiuliza NATO Ina wanachama 32 wanaoungana kijeshi kupigana na nani ambapo Hadi sasa mmojammpja hawawezi kumpiga?

Huyo unaeona Bado wanaona hawana uwezo wa kupigana na nae hivyo lazima waongeze wanachama zaidi ni URUSI.

Tambua Urusi si taifa dogo kwa Kila kitu,
Unajua Urusi aliwahi kuomba kuungana na NATO na alikataliwa?
 
Back
Top Bottom