Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Sio kweli., baada ya kumkabili osama bin laden hawakuwa tena na issue ya kufanya zaidi ya kuikalia ile nchi kijeshi lakini lengo lake likiwa limetimia kitamboo ndio mana biden kaona bora warudishe majeshi yao Afghan wajitawale wenyewe kwenye nchi yao tofauti na malengo ya russia Ukraine
Uko sahihi mkuu,

waswahili ni wajinga sana na story za vijiweni zitatuua, us aliwatoa hao Taliban within a few weeks baada ya op.. na objectives zake alitimiza ndani ya miezi km miwili tu
 
Vita ni noma ndugu yangu tumuombe MUNGU aviepushe! Kuna kila aina ya ukatili na uovu na machungu ya ajabu!
Tufikirie watoto wetu kabla yakufanya maamuzi ya kibinafsi!
Bahati mbaya sisi huku Africa hatuna tunachoweza kufanya zaidi ya kusubiri tu wakubwa waamue wanapigana au la.
 
Eneo la Ukraine lilishikiliwa na Russia hadi muda huu inathibitisha kabisa Ukraine mashambulizi yameulemea licha ya kua anapewa msaada inaonekana hata huo msaada wenyewe anaopewa hawezi kuutumia kujikomboa hii vita imemuelemea anyooshe mikono juu au aendlee kuwa mkaidi asubiri nchi yote iwe chini ya Russia
Mpk Sasa wameshachukua eneo lenye ukubwa wa kmsq 125,000
 
Eneo la Ukraine lilishikiliwa na Russia hadi muda huu inathibitisha kabisa Ukraine mashambulizi yameulemea licha ya kua anapewa msaada inaonekana hata huo msaada wenyewe anaopewa hawezi kuutumia kujikomboa hii vita imemuelemea anyooshe mikono juu au aendlee kuwa mkaidi asubiri nchi yote iwe chini ya Russia
Em tujuze akinyoosha mkono nini kitatokea after? Maana unaweza kuongea hivi Kama unajua malengo ya Putin.
 
Wewe huna pesa alafu unasema nina siraha za kuitishia dunia. 😁😁

Ukraine apewe siraha nzitonzito nayeye akaue raia wa urusi na kuharibu makazi yao na shughuli zao kama raia wake wanavyouliwa kwenye nchi yao.
😄😄 Mmetoka kupigwa na wavaa MAKUBAZI wa Afghanistan,kwani walikua wanatumia Silaha Hani mzito?😄😄
 
Hawajapeleka long range misiles na sifikirii kama watakuwa na ujasiri wa kupeleka.
Sijaona kama amepeleka wanajeshi kuilinda Ukraine,..kwanini unadhani wanaogopa kupeleka wanajeshi?
Naamini kuwa Ukraine foreigners wakutosha katika nyanja zote za kuvuta, ndo maana kaweza ku resist mpaka muda huu.
 
Msaada mwingine huu
Screenshot_20220606-082743.jpg
 
Hahahaha hawa vijana wa 2000s akili wameweka mfukoni, sijui wamepewa nini na putin
Huhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kujua kwamba,hakuna nchi yoyote chini ya jua inayoweza kupigana na jumuiya ya NATO na ikashinda. Kuna watu watakuja kutoa mfano wa Afghanistan hapa,niwaambie tu kuwa vita ya Marekani na Afghanistan iliyokuwa inaongozwa Taliban, alipgana Bush baada tukio la September 11, 2002, akiwaunga mkono Northern alliance waliokuwa wanapgana na Taliban. Na hao Taliban walishindwa vibaya sana wakiwa chini ya kiongozi wao Mullah Omar. Wanaujua vzr mziki wa dege la kimarekani aina ya B52 lilivyokuwa linafumua mahandaki huko Tolabora na Kandahar. Kuondoka kwa Marekani Afghanistan kwanza nikwa sababu za kisiasa(Democrat vs Republican) ndani ya Marekani. Pia usaliti ndani ya serikali yenyewe ya Afghanistan baada ya Marekani kuanza kupunguza na kuondoa vikosi vyake nchini Afghanistan.
 
Unawajua kgb !? Kamuulize baba Yako Biden analijua vizuri Hilo shirika .. kama watu waliweza kuhack uchaguzi mkuu wa USA na kumuweka Trump madarakani Hawa wezi kupata Siri za kijeshi linalo husu taifa pinzani
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Democrats hoks
 
Back
Top Bottom