Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Maneno meeeengi sisi tuna taka vitendo Rusha kombora kwenye base yoyote ya Us majibu mtayapata
Wakati Russia wanasema wataichapa Ukraine na USA na NATO wakawa wanasema Russia akiipiga Ukraine wataingilia mlikuwa mnasema hivyo hivyo kuwa Russia Hawezi kuivamia Ukraine Sasa hivi hamuamini macho yenu Kwa kile kinachotokea na USA na hao NATO wamefyata mikia wamekuwa mbwa Koko , kama ni wanaume kweli wasiishie kufund vijisilaha uchwara Kwa Ukraine wapeleke majeshi kabisa kama ilivyo fanya Russia Kule Syria baada ya USA NA NATO kuivamia Russia.. wanacho ogopa kufanya hivyo ni kipi !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hail to Putin
 
Umemaliza mkuu,

Yani wabongo ndio maana rahs Sana kudanganywa hata na viongozi wetu wa siasa au hata akina zumalidi [emoji16]

Watu tunaamini Sana kwenye maneno na sio vitendo, mpaka sasa US ndie mwenye matendo zaidi maana anafanya kile ambacho anasema anaweza kufanya, toka hii Vita ianze anaendelea kutoa msaada.

Huyu mwenye nguvu na yeye afanye kwa vitendo, aipige nchi yoyote ile ya NATO then ndio watajua kipi kinampa jeuri mmarekani.
Haya ndio matendo ya USA [emoji16][emoji16][emoji16]
Screenshot_20220605-200851.jpg
 
Achana na nchi za Ulaya na US. Hawa watu kwanza kabisa wana pesa. Pili wana teknolojia za hali ya juu sana. Hawa wakiamua haswa Ukraine isianguke mikononi mwa Russia basi itakuwa hivyo. Lengo lao kubuma ni ngumu mno.
Acha ujinga [emoji16][emoji16][emoji16] walishindwa Nini !? Kumtoa bashar alsaad Kule Syria kama kweli Wana nguvu hiyo dhidi ya Russia!? Kinyume chake baada ya Russia kuingia battlefield na kumsaidis bashar tukaona hao USA na washirika wenzake Nato wakitoka mbio na mpango wao ukatibuka ,,

Pia walipo jaribu kutaka kufanya mapinduzi Venezuela dhidi ya Maduro pia wameshindwa baada ya Russia kutia maguu,

Hivi Huwa mnatumika Nini kufikiri mnashindwa kushurutisha bongo zenu na kung'amua hata hizi logic ndogo ndogo au sio weledi wazuri wa kufuatilia mambo , Russia ndiye baba Duniani Kwa Sasa Kwa sababu sio mara 1 amefanikiwa kutibua mipango ya hao USA na NATO na Wana kosa means nakubali kulia Lia tu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hawa jamaa huwa wanadai kuwa “nyie mna saa, sie tuna muda”! You have the watches; we have the time! Wakati nyinyi mmepanga muda wa kukamilisha misheni mrudi nyumbani, sisi hii ndiyo kazi yetu; ndiyo ajira; ndiyo career yetu!

Halafu wanasubiri kwa hamu fursa ya kwenda peponi. Huwezi kuwashinda kwa vita. Utawaua kwa mamilioni lakini utakutana hadi na wajukuu: moto ule ule.
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hizo bilogical weapons ni hatari Sana Bora waendelee kupigwa tu na Iskander
Toka vita inaanza Putini amekuwa mtu wa maonyo halafu anatulia zake kwa mfano alisema:-
1) Finland na Sweden wakijaribu kujiunga na nato atapiga nuclear kwenye moyo wa nchi za ulaya.
3) Alisema akigundua nchi inaisaidia Ukraine silaha ataishambulia on the spot, na hii Marekani walimjibu live kwamba wanaisaidia ukraine silaha na wataendelea kuisaidia duniani na mbinguni mpaka ukraine ibaki salama na mipaka yake alijibiwa ni Waziri wa Mambo Ulinzi na Usalam wa Marekani.
4). Alionya Ukraine wasijaribu kujiunga na Umoja wa Ulaya, lakini tumeona live Ukraine walijaza form live pale Kyiv na kuzikabidhi kwa Rais wa umoja wa Ulaya yule mwanamama.
5) Putini aliwaonya Jeshi la Ukraine wasalimu amri mara mbili na akawapa na masaa Ukraine wakakataa na sasa hatukuona chochote badala yake, wanaume wako kazini

Ulaya na Marekani wamejuwa weaknesses za Putini mara elfu 1 zaidi hivyo ni kama vile wanafanyia visa kwa fujo ili wapate kumtibua halafu hana lolote., kwamfano leo Spain wamentangaza kupeleka mitambo Ukraine ya kuzuia zile long range missiles

Putini bora angetulia dunia bado ingekuwa inamuhofia kwamba yeye ni strong kuliko alivyovamia Ukraine na kwa muda mfupi ulimwengu kupata majibu ya madhaifu yake., bongo wanamuita Putini wa Mchongo
Hivi unajua Kuna wakimbizi wangapi waliondoka Ukraine au unabwabwaja tu
 
Amejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
Russia ni taifa lenye nguvu sana msidanganyike, toka kulipovunjika soviet wao walijikita wakijiimalisha kijeshi,hata sasa unaweza kuamini hilo kwa sababu hapigani na Ukraine pekee, anapigana na hao wanaojifanya wana nguvu,na hawajaweza kwenda kumpiga ndani ya taifa lake, Putin na Russia yake ni power isiyo ya kawaida
 
Elewa kwamba wakati vita haijaanza Marekani walihamisha balozi yao pale Ukraine kwa kuhofia lakini juzi wamerejesha balozi yao kwa mbwembwe zote na kikosi maalum Biden amepeleka kulinda ule ubalozi Kyiv sasa kama Putin ana ubavu mwambie arushe japo kijiwe kidoogo tu kikapige ule ubalozi wa US pale Kyiv.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ubalozi umemkosea nn
Waambie UKRAINE wakafiche silaha hapo ubalozini kama hujaona majivu tuuu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli., baada ya kumkabili osama bin laden hawakuwa tena na issue ya kufanya zaidi ya kuikalia ile nchi kijeshi lakini lengo lake likiwa limetimia kitamboo ndio mana biden kaona bora warudishe majeshi yao Afghan wajitawale wenyewe kwenye nchi yao tofauti na malengo ya russia Ukraine
Malengo ya RUSSIA yapi!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom