Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Na ukiona west wana mpuuza kadiri anavyotoa onyo jua intel yao wana uhakika nayo zaidi[emoji847][emoji847]
[emoji1][emoji1][emoji1]
FTcCR9EWUAA9d2D.jpg
 
Putin hapendi vita ila amechokozwa sana ikawa hakuna namna! Na style ya mapigano anayotumia ni ya kihuruma sana maana ni ya vita ya pili ya dunia kilichobadilika ni mavazi ya jeshi tu! Ila ukweli nikwamba the rest wanamuogopa na wanachofanya nikumchokoza waone silaha zake mitindo yake mipya yakupigana na silaha zake!
Muhimu tuombe isitokee vita ya tatu ya dunia!
Acha tu itokee mkuu, haiwezekani WW1&2 zote 2 hatujazishuhudia.Irudiwe irudiwe.
 
Marekani alipigana Afghanistan zaidi ya miaka 20
Sio kweli., baada ya kumkabili osama bin laden hawakuwa tena na issue ya kufanya zaidi ya kuikalia ile nchi kijeshi lakini lengo lake likiwa limetimia kitamboo ndio mana biden kaona bora warudishe majeshi yao Afghan wajitawale wenyewe kwenye nchi yao tofauti na malengo ya russia Ukraine
 
Toka vita inaanza Putini amekuwa mtu wa maonyo halafu anatulia zake kwa mfano alisema:-
1) Finland na Sweden wakijaribu kujiunga na nato atapiga nuclear kwenye moyo wa nchi za ulaya.
3) Alisema akigundua nchi inaisaidia Ukraine silaha ataishambulia on the spot, na hii Marekani walimjibu live kwamba wanaisaidia ukraine silaha na wataendelea kuisaidia duniani na mbinguni mpaka ukraine ibaki salama na mipaka yake alijibiwa ni Waziri wa Mambo Ulinzi na Usalam wa Marekani.
4). Alionya Ukraine wasijaribu kujiunga na Umoja wa Ulaya, lakini tumeona live Ukraine walijaza form live pale Kyiv na kuzikabidhi kwa Rais wa umoja wa Ulaya yule mwanamama.
5) Putini aliwaonya Jeshi la Ukraine wasalimu amri mara mbili na akawapa na masaa Ukraine wakakataa na sasa hatukuona chochote badala yake, wanaume wako kazini

Ulaya na Marekani wamejuwa weaknesses za Putini mara elfu 1 zaidi hivyo ni kama vile wanafanyia visa kwa fujo ili wapate kumtibua halafu hana lolote., kwamfano leo Spain wamentangaza kupeleka mitambo Ukraine ya kuzuia zile long range missiles

Putini bora angetulia dunia bado ingekuwa inamuhofia kwamba yeye ni strong kuliko alivyovamia Ukraine na kwa muda mfupi ulimwengu kupata majibu ya madhaifu yake., bongo wanamuita Putini wa Mchongo
Achana na nchi za Ulaya na US. Hawa watu kwanza kabisa wana pesa. Pili wana teknolojia za hali ya juu sana. Hawa wakiamua haswa Ukraine isianguke mikononi mwa Russia basi itakuwa hivyo. Lengo lao kubuma ni ngumu mno.
 
Sio kweli., baada ya kumkabili osama bin laden hawakuwa tena na issue ya kufanya zaidi ya kuikalia ile nchi kijeshi lakini lengo lake likiwa limetimia kitamboo ndio mana biden kaona bora warudishe majeshi yao Afghan wajitawale wenyewe kwenye nchi yao tofauti na malengo ya russia Ukraine
Unayajua malengo ya Russia kule Ukraine?
 
Hebu amgalia Urusi inavyojipigia sehemu mbali mbali na makombora pasipo kujibiwa au kutunguliwa kwa makombora hayo. Nchi 35 zinatoa msaada wa kijeshi, silaha na vifaa vya vingine lakini kila kukicha vinahabiriwa kwa makombora.

Je ukraine ina nguvu za kupambana na kuishinda Urusi? Jeshi lake linaweza kusustain vita muda mrefu? Urusi amepata uzoefu Syria, Ukraine wamepata wapi uzoefu?
Kwanini mpaka sasa mwezi wa tatu unaenda na wa nne bado putin hajaiteka Kyiv?
 
Elewa kwamba wakati vita haijaanza Marekani walihamisha balozi yao pale Ukraine kwa kuhofia lakini juzi wamerejesha balozi yao kwa mbwembwe zote na kikosi maalum Biden amepeleka kulinda ule ubalozi Kyiv sasa kama Putin ana ubavu mwambie arushe japo kijiwe kidoogo tu kikapige ule ubalozi wa US pale Kyiv.

Hivi alifanya nini baada ya ubalozi wake wa Libya, Benghazi kulipuliwa na balozi wake J Christopher Stevens kuuawa?
 
Back
Top Bottom