Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
US naye jeuri kweliNa ukiona US hasikii hiyo mikwala ujue anajua na yeye anazo za uwezo gani.
Huwezi kuwa jeuri Kama huna nguvu, we jiulize kwanini wana endelea kutoa misaada toka vita ianze!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
US naye jeuri kweliNa ukiona US hasikii hiyo mikwala ujue anajua na yeye anazo za uwezo gani.
Huwezi kuwa jeuri Kama huna nguvu, we jiulize kwanini wana endelea kutoa misaada toka vita ianze!
Ukraine wanatumika mamluki wenye uzoefu, pia ukumbuke Urusi ni Taifa lenye nguvu za kijeshi na Kuna siraha anafanyia mazoezi Kama islander.Hebu amgalia Urusi inavyojipigia sehemu mbali mbali na makombora pasipo kujibiwa au kutunguliwa kwa makombora hayo. Nchi 35 zinatoa msaada wa kijeshi, silaha na vifaa vya vingine lakini kila kukicha vinahabiriwa kwa makombora.
Je ukraine ina nguvu za kupambana na kuishinda Urusi? Jeshi lake linaweza kusustain vita muda mrefu? Urusi amepata uzoefu Syria, Ukraine wamepata wapi uzoefu?
uko kwenye gala lao mavi weweWatu wanaona Kama masihara hivi lakini Kuna silaha ukiachana na nuclear Russia anazo
We jamaa Ni ng'ombe kwani umeambiwa marekani alipeleka jeshi, hivi Kama sio US na UK kumpa Ukrein Javellin Hali ingekuwajeNakukumbusha tu leo asubuhi Putin kadondosha mabomu Kyiv..
Tuwekee clip ya sleepy Joe akisema wanajeshi wa Marekani walikuwa Kyiv
Aliyekuambia anataka regime change ni nani? Hajawahi kutaka kuipindua serikali ya Kiev ndio maana anaiita operation denazification na sio kuabgusha utawalaKwanini mpaka sasa mwezi wa tatu unaenda na wa nne bado putin hajaiteka Kyiv?
Na Tanzania pia tuna gwaride la kuonyesha siraha,Amejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
Hhhhh huyu putin wa mchongo- nikama jibwa zee linabweka lakini haliumi.Toka vita inaanza Putini amekuwa mtu wa maonyo halafu anatulia zake kwa mfano alisema:-
1) Finland na Sweden wakijaribu kujiunga na nato atapiga nuclear kwenye moyo wa nchi za ulaya.
3) Alisema akigundua nchi inaisaidia Ukraine silaha ataishambulia on the spot, na hii Marekani walimjibu live kwamba wanaisaidia ukraine silaha na wataendelea kuisaidia duniani na mbinguni mpaka ukraine ibaki salama na mipaka yake alijibiwa ni Waziri wa Mambo Ulinzi na Usalam wa Marekani.
4). Alionya Ukraine wasijaribu kujiunga na Umoja wa Ulaya, lakini tumeona live Ukraine walijaza form live pale Kyiv na kuzikabidhi kwa Rais wa umoja wa Ulaya yule mwanamama.
5) Putini aliwaonya Jeshi la Ukraine wasalimu amri mara mbili na akawapa na masaa Ukraine wakakataa na sasa hatukuona chochote badala yake, wanaume wako kazini
Ulaya na Marekani wamejuwa weaknesses za Putini mara elfu 1 zaidi hivyo ni kama vile wanafanyia visa kwa fujo ili wapate kumtibua halafu hana lolote., kwamfano leo Spain wamentangaza kupeleka mitambo Ukraine ya kuzuia zile long range missiles
Putini bora angetulia dunia bado ingekuwa inamuhofia kwamba yeye ni strong kuliko alivyovamia Ukraine na kwa muda mfupi ulimwengu kupata majibu ya madhaifu yake., bongo wanamuita Putini wa Mchongo
Hhhhh umesahau Tunavunja matofali ya zege kwa mikono na vichwaNa Tanzania pia tuna gwaride la kuonyesha siraha,
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ni kama Javelin ilivyoharibu mipango ya UrusiAmejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
US base ilipigwa na Iran mpaka wanajeshi wakasema ubongo wao umetikisika. US waliifanya nini Iran?Maneno meeeengi sisi tuna taka vitendo Rusha kombora kwenye base yoyote ya Us majibu mtayapata
Unafikili wanzionyesha zote wewe kiazi mbatata??Amejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
Hawa jamaa huwa wanadai kuwa “nyie mna saa, sie tuna muda”! You have the watches; we have the time! Wakati nyinyi mmepanga muda wa kukamilisha misheni mrudi nyumbani, sisi hii ndiyo kazi yetu; ndiyo ajira; ndiyo career yetu![emoji1][emoji1] wavaa MAKUBAZI sio wa mchezo mchezo.View attachment 2251427
Waache watajua hawajui [emoji16]Hizo bilogical weapons ni hatari Sana Bora waendelee kupigwa tu na Iskander
Unawajua kgb !? Kamuulize baba Yako Biden analijua vizuri Hilo shirika .. kama watu waliweza kuhack uchaguzi mkuu wa USA na kumuweka Trump madarakani Hawa wezi kupata Siri za kijeshi linalo husu taifa pinzaniAmejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
Enhee endelea kujijaza upepo [emoji16][emoji16]Toka vita inaanza Putini amekuwa mtu wa maonyo halafu anatulia zake kwa mfano alisema:-
1) Finland na Sweden wakijaribu kujiunga na nato atapiga nuclear kwenye moyo wa nchi za ulaya.
3) Alisema akigundua nchi inaisaidia Ukraine silaha ataishambulia on the spot, na hii Marekani walimjibu live kwamba wanaisaidia ukraine silaha na wataendelea kuisaidia duniani na mbinguni mpaka ukraine ibaki salama na mipaka yake alijibiwa ni Waziri wa Mambo Ulinzi na Usalam wa Marekani.
4). Alionya Ukraine wasijaribu kujiunga na Umoja wa Ulaya, lakini tumeona live Ukraine walijaza form live pale Kyiv na kuzikabidhi kwa Rais wa umoja wa Ulaya yule mwanamama.
5) Putini aliwaonya Jeshi la Ukraine wasalimu amri mara mbili na akawapa na masaa Ukraine wakakataa na sasa hatukuona chochote badala yake, wanaume wako kazini
Ulaya na Marekani wamejuwa weaknesses za Putini mara elfu 1 zaidi hivyo ni kama vile wanafanyia visa kwa fujo ili wapate kumtibua halafu hana lolote., kwamfano leo Spain wamentangaza kupeleka mitambo Ukraine ya kuzuia zile long range missiles
Putini bora angetulia dunia bado ingekuwa inamuhofia kwamba yeye ni strong kuliko alivyovamia Ukraine na kwa muda mfupi ulimwengu kupata majibu ya madhaifu yake., bongo wanamuita Putini wa Mchongo
Mwenzetu unaangalia chombo gani chenye taarifa zilizonyooka?Wengi wao wanafuatilia tamthilia za CNN BBC ALJAZEERA uhalisia wa hii vita hawaujui ni hatari sana kwa ukraine... nguvu za Russia hakuna wa kulinganishwa nae