Acha ujinga [emoji16][emoji16][emoji16] walishindwa Nini !? Kumtoa bashar alsaad Kule Syria kama kweli Wana nguvu hiyo dhidi ya Russia!? Kinyume chake baada ya Russia kuingia battlefield na kumsaidis bashar tukaona hao USA na washirika wenzake Nato wakitoka mbio na mpango wao ukatibuka ,,
Pia walipo jaribu kutaka kufanya mapinduzi Venezuela dhidi ya Maduro pia wameshindwa baada ya Russia kutia maguu,
Hivi Huwa mnatumika Nini kufikiri mnashindwa kushurutisha bongo zenu na kung'amua hata hizi logic ndogo ndogo au sio weledi wazuri wa kufuatilia mambo , Russia ndiye baba Duniani Kwa Sasa Kwa sababu sio mara 1 amefanikiwa kutibua mipango ya hao USA na NATO na Wana kosa means nakubali kulia Lia tu [emoji28][emoji28][emoji28]