Putin aziponda Patriot missile air defense, asema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo

Putin aziponda Patriot missile air defense, asema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Rais Putin wa Urusi ameuponda mfumo wa ulinzi wa anga wa marekani ambao utapelekwa ukraine. Amesema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo. Asema hauwezi hata kuufikia mfumo wa S300 wa Urusi, achilia mbali baba lao S400. Na ujue Urusi ana pia S500 ambayo hiyo haiuzi ni kwa ajili ya matumizi yake tu!

Kuna mfumo wa NASAMS toka marekani ulisifiwa sana wakati unapelekwa ukraine lakini haukufua dafu bado miundo mbinu muhimu ya ukraine/Critical infrastructure inaharibiwa mara kwa mara na makombora na drones za urusi. Pia Ujerumani ilipeleka air defense yake huko ukraine iitwayo IRIS-T defense system aliyosifia sana na pia haikufua dafu wala haikupunguza kilio cha Zelensyky kuomba omba air defense nzuri zaidi.

Na sasa hivi hutasikia wanazisifia! Kwa hiyo hata hizo Patriot system za toka enzi ya vita vya ghuba baada ya kitambo kidogo hazitasikika bali kilio cha kipigo ndicho kitasikika zaidi!!

Russian President Vladimir Putin said on Thursday the Patriot air defense that the United States is supplying to Ukraine was an old weapons system that Russia would be able to counter.

Putin told reporters that the Patriot was “quite old” and did not work like Russia’s S-300 system.

”OK, we will take this into account and an antidote will always be found,” he said.
 
Rais Putin wa Urusi ameuponda mfumo wa ulinzi wa anga wa marekani ambao utapelekwa ukraine. Amesema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo. Asema hauwezi hata kuufikia mfumo wa S300 wa Urusi, achilia mbali baba lao S400. Na ujue Urusi ana pia S500 ambayo hiyo haiuzi ni kwa ajili ya matumizi yake tu!

Kuna mfumo wa ASAM toka marekani ulisifiwa sana wakati unapelekwa ukraine lakini haukufua dafu bado miundo mbinu muhimu ya ukraine/Critical infrastructure inaharibiwa mara kwa mara na makombora na drones za urusi. Pia Ujerumani ilipeleka air defense yake huko ukraine iitwayo IRIS-T defense system aliyosifia sana na pia haikufua dafu wala haikupunguza kilio cha Zelensyky kuomba omba air defense nzuri zaidi.

Na sasa hivi hutasikia wanazisifia! Kwa hiyo hata hizo Patriot system za toka enzi ya vita vya ghuba baada ya kitambo kidogo hazitasikika bali kilio cha kipigo ndicho kitasikika zaidi!!

Russian President Vladimir Putin said on Thursday the Patriot air defense that the United States is supplying to Ukraine was an old weapons system that Russia would be able to counter.

Putin told reporters that the Patriot was “quite old” and did not work like Russia’s S-300 system.

”OK, we will take this into account and an antidote will always be found,” he said.
Muulize Putin kuhusu vi Kombora vyake vya SCUD alivyompatia Saddam Hussein vilifanywa Nini na Patriot baada ya kuvirusha mfurulizo kuelekea nchini Israel na Kuwait.

 
As time goes, Putin's statements are becoming valueless. He keeps insisting that Patriot will be legitimate target, he forgets that every weapon is a legitimate target but the Russian military has failed to stem the flow of weapons in Ukraine. He insists that Patriot is an old system and will do nothing impactful but he forgets that he also discredited himars only to find out that it has turned the tide of the war to Russian disadvantage.
 
Toka lini Putin akawashauri adui zake nini cha kufanya?Kama anaona Patriot battery si lolote si chochote itakuwa advantage kwake.
By the way Putin na jeshi lake wameshadharaulika,kwa hiyo kila silaha ikiwa deployed kwenye combat inaweza mchapa vizuri tu🤔
 
Muulize Putin kuhusu vi Kombora vyake vya SCUD alivyompatia Saddam Hussein vilifanywa Nini na Patriot baada ya kuvirusha mfurulizo kuelekea nchini Israel na Kuwait.


Hivi unavyodhani urusi inatumia makombora ya scud ya toka miaka ya 60? Hayo makombora ndiyo aliyokuwa ana uwezo nayo Sadam Hussein kuyanunua!! Ndio maana Putin anasema Patriot ni mfumo wa kizamani sana toka enzi ya vita vya Ghuba!!
 
Toka lini Putin akawashauri adui zake nini cha kufanya?Kama anaona Patriot battery si lolote si chochote itakuwa advantage kwake.
By the way Putin na jeshi lake wameshadharaulika,kwa hiyo kila silaha ikiwa deployed kwenye combat inaweza mchapa vizuri tu🤔
Umedanganywa na propaganda za magharibi. Putin keshateka eneo kubwa la ukraine na kulimeza rasmi kuwa limekuwa sehemu ya Urusi halafu unasema amedharaulika!! Mshindi huwa anateka!! Pia Putin anapigana na NATO yote na wanashangaa amewezaje kustahimili pamoja na vikwazo vyote hivyo!! Wao ndo wanalia hali mbaya ya kiuchumi na kila leo maandamano kama yanavyoendelea huko uingereza!!
 
Huyu mwehu alifikiri vita ya Ukraine angeimaliza kwa wiki moja!
sasa anajamba cheche na tayari uchumi wake hauruhusu kuendelea na vita kwa muda mrefu!
Mikwala tu kumbe hana lolote kwa kisago alichokipata Ukraine kiasi kwamba sasa anarusha tu mikombora toka mbali!
 
Hawa ndo juzi walisema isipelekwe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Walisema pia kuwa ikipelekwa itaongeza maafa kwa ukraine!! Unajua kwa nini: ni kwa sababu Urusi italazimika kutumia silaha kubwa zaidi kwa mara nyingi zaidi ambazo hizo patriots hazioni ndani. Na silaha hizo zitakuwa na maangamizi zaidi kwa ndugu zao wa ukraine, ni hilo tu. Vinginevyo ili maadamu amelilia wembe acha umkate!!
 
Hizi ndo Air defenses bora za Russia ambazo Putin anazisifia kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]

#Ukraine: Three more previously unseen Russian air defence losses from September- a 9A331 Tor-M1 TLAR, a 9A331M Tor-M2 TLAR, and a 9A317 Buk-M2 TELAR. From the appearance, they were hit by missile strikes.


#Ukraine: After more than half a year passed since the battle for Snake Island finished, another Russian loss from there was revealed: a Pantsir-S1 air defence system was destroyed there by the Ukrainian army, and has been left to rot.
 
Ukrainian forces destroy Russian S-300 air defense systems
Ukrainian military on Saturday released a new video that appears to show burned-out Russian S-300 surface-to-air missile systems in the occupied Kherson region, Ukraine.

The footage was reportedly filmed near Zelenotropinsky, which is a city located in the southern Kherson region.

Ukrainian forces successfully destroyed at least two launchers of the S-300 surface-to-air missile systems and one command post vehicle.

Russia has reportedly lost more than 65 surface-to-air missile systems, including modern Pantsir-S1 and Buk-M2 since 14 February. But it is the first confirmed loss of the S-300 family air defense system.


Ukrainian forces destroy Russian S-300 air defense systems
 
Rais Putin wa Urusi ameuponda mfumo wa ulinzi wa anga wa marekani ambao utapelekwa ukraine. Amesema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo. Asema hauwezi hata kuufikia mfumo wa S300 wa Urusi, achilia mbali baba lao S400. Na ujue Urusi ana pia S500 ambayo hiyo haiuzi ni kwa ajili ya matumizi yake tu!

Kuna mfumo wa NASAMS toka marekani ulisifiwa sana wakati unapelekwa ukraine lakini haukufua dafu bado miundo mbinu muhimu ya ukraine/Critical infrastructure inaharibiwa mara kwa mara na makombora na drones za urusi. Pia Ujerumani ilipeleka air defense yake huko ukraine iitwayo IRIS-T defense system aliyosifia sana na pia haikufua dafu wala haikupunguza kilio cha Zelensyky kuomba omba air defense nzuri zaidi.

Na sasa hivi hutasikia wanazisifia! Kwa hiyo hata hizo Patriot system za toka enzi ya vita vya ghuba baada ya kitambo kidogo hazitasikika bali kilio cha kipigo ndicho kitasikika zaidi!!

Russian President Vladimir Putin said on Thursday the Patriot air defense that the United States is supplying to Ukraine was an old weapons system that Russia would be able to counter.

Putin told reporters that the Patriot was “quite old” and did not work like Russia’s S-300 system.

”OK, we will take this into account and an antidote will always be found,” he said.
Bado kufumuliwa moscow!
Muda utasema!
 
As time goes, Putin's statements are becoming valueless. He keeps insisting that Patriot will be legitimate target, he forgets that every weapon is a legitimate target but the Russian military has failed to stem the flow of weapons in Ukraine. He insists that Patriot is an old system and will do nothing impactful but he forgets that he also discredited himars only to find out that it has turned the tide of the war to Russian disadvantage.
The HIMARS were very overated, thats why we don't hear about them the way we did previously!! It is the same as the NASAMS defense systems, they were extremely touted but they haven' saved the critical infrastructure from being destructred on almost the daily basis!!

NASAMS AIR DEFENCE SYSTEM​

NASAMS (National Advanced Surface-to-Air Missile System) is the world’s first operational Network Centric Short to Medium Range Ground Based Air Defence System.

Hatuzisikii tena hizo so called Advanced so and so!!
 
The HIMARS were very overated, thats why we don't hear about them the way we did previously!! It is the same as the NASAMS defense systems, they were extremely touted but they haven' saved the critical infrastructure from being destructred on almost the daily basis!!

NASAMS AIR DEFENCE SYSTEM​

NASAMS (National Advanced Surface-to-Air Missile System) is the world’s first operational Network Centric Short to Medium Range Ground Based Air Defence System.

Hatuzisikii tena hizo so called Advanced so and so!!
Himars ndo zilimkimbiza Urusi Kherson, Kharkiv na kwingineko. Tangu HIMARS ziingie kazini hatujaona Urusi akiadvance au kuchukua miji kwa Kasi ukilinganisha na hapo kabla.

Himars ndio iliyowachinja zaidi ya Wagner 100 last week kule Donestsk.
Himars ndo iliwachinja Chenchen karibu 30 mwezi October.
Himars ndio Jana imemkosa kosa kumla kichwa aliyekua boss WA Roscosmos aliyekua hotelini huko Donestsk.

Wewe huisikii kwakua hufatilii lkn Himars inaendelea Kula vichwa vya warusi karibu kila siku.

Russian sources report that the ex-head of Roscosmos, Dmytro Rogozin, was "wounded during the shelling of a hotel" in temporarily occupied Donetsk. Another person accompanying him was also injured.

Rogozin celebrated his birthday at the cafe. Well, happy birthday


[emoji298]️Dmitrii Rogozin's condition is deteriorating, the injury turned out to be serious.

The former head of "Roscosmos" will be transferred to Moscow, where a council of doctors will already decide on the necessary medical assistance.

This is reported by Russian media.
 
Umedanganywa na propaganda za magharibi. Putin keshateka eneo kubwa la ukraine na kulimeza rasmi kuwa limekuwa sehemu ya Urusi halafu unasema amedharaulika!! Mshindi huwa anateka!! Pia Putin anapigana na NATO yote na wanashangaa amewezaje kustahimili pamoja na vikwazo vyote hivyo!! Wao ndo wanalia hali mbaya ya kiuchumi na kila leo maandamano kama yanavyoendelea huko uingereza!!
Hayo maeneo kayatekaje wakati anaendelea kutembezewa kichapo?

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
The HIMARS were very overated, thats why we don't hear about them the way we did previously!! It is the same as the NASAMS defense systems, they were extremely touted but they haven' saved the critical infrastructure from being destructred on almost the daily basis!!

NASAMS AIR DEFENCE SYSTEM​

NASAMS (National Advanced Surface-to-Air Missile System) is the world’s first operational Network Centric Short to Medium Range Ground Based Air Defence System.

Hatuzisikii tena hizo so called Advanced so and so!!
Kazi ya Himars hiyo [emoji116]

Occupied Irmino, Luhansk region it says. Google maps shows it's about an hour east of #Bakhmut hopefully depriving the enemy of artillery ammo [emoji1255][emoji95][emoji635][emoji90][emoji88] #HIMARS
 
As time goes, Putin's statements are becoming valueless. He keeps insisting that Patriot will be legitimate target, he forgets that every weapon is a legitimate target but the Russian military has failed to stem the flow of weapons in Ukraine. He insists that Patriot is an old system and will do nothing impactful but he forgets that he also discredited himars only to find out that it has turned the tide of the war to Russian disadvantage.
Nice assesment there lad.
 
Back
Top Bottom