mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
nyumba ya mrusi ni ya vioo kaanzisha mwenyewe mchezo wa kurushiana mawe!Moscow itakuwa haikaliki ile muda ujao, ni suala la muda tu.
[emoji15][emoji12]
Atavuna alichopânda, muda utasem!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyumba ya mrusi ni ya vioo kaanzisha mwenyewe mchezo wa kurushiana mawe!Moscow itakuwa haikaliki ile muda ujao, ni suala la muda tu.
THAAD, in first operational use, destroys midrange ballistic missile in Houthi attackRejea tena ufahamu wako kuhusu THAAD!! Ni wapi ziliwahi kutumika kwenye uwanja wa vita hata inayomhusu marekani mwenyewe? ICBM ni long range ballistic missile zinazovuka bara hadi bara!!
Kama jinsi AD za Russia zilivyofeli kuintercept drone za miaka ya 1970 ambazo zilitembea toka Ukraine mpk karibu na Moscow kupiga kambi ya jeshiWhat a brilliant last paragraph!! It goes" The cruise missiles used in the attack were just retooled, repeat a re-tooled version of a Russian design from the 1970s" and yet the hyped American ADF failed miserably to take out even a single of an incoming missile -
Leo hii ndio watu wana tujia na stori za ajabu kwamba eti battery moja ya Patriot inaweza kulinda mji mzima wa Kiev, kweli!!
ila mwamba una fiksi hatari kwamba ulishuhudia kwa macho yako jinsi patriot zilivo kua zinashindwa kukabili supersonic speed apa unaamanisha ulikuwepo kweny hilo tukio KHAAKitu cha kwanza SCUD zilikuwa zinaundwa na Wairaq wenyewe sio Warusi - Wairaq walipewa ujuzi wa kuziunda na Warusi wenyewe na zilikuwa silaha za zamani sana.Niliona kwa macho yangu mwenyewe jinsi Partiot zilivyokuwa zinashindwa kukabiri supersonic speed za SCUD zinapokuwa kwenye phase us mwisho ilifika hatua mpaka Israel kutaka kuingia vitani baada ya kuchoshwa na mashambulizivya mara kwa mara na SCUD missiles za Saddam, Waisrael walianza kuvaa mpaka face MASKS - America iliwabembeleza sana Waisrael wasiingie vitani kusaka SCUD za Saddam - kwa nini Wamerika wafanye hivyo kama wengekuwa na uhakika wa ufanisi wa ADS za Patriot??
Teh teh 😂😂😂 hivi unakumbuka ule msafara ulikwama kwa zaidi ya siku 10 hausogei hata kidogo ? Wengine wakilaumu mvua na matope (kama Ukraine ingekuwa na airforce imara, Warusi wasingesahau kipigo ambacho kingewapata)....................ila msafara ulivyoyeyuka ukaacha maelfu ya vyuma chakavu barabarani.Propaganda za magharibi;
Putin kachukua ikulu ya Kyiv,Zelensky sio tena raisi wa Ukraine baada ya msafara wa vifaru wa kilometa 64 kuingia Kyiv miezi 9 iliyopita🤔
So,so,so, too,very, ni misemo ya siraha za Marekani.The HIMARS were very overated, thats why we don't hear about them the way we did previously!! It is the same as the NASAMS defense systems, they were extremely touted but they haven' saved the critical infrastructure from being destructred on almost the daily basis!!
NASAMS AIR DEFENCE SYSTEM
NASAMS (National Advanced Surface-to-Air Missile System) is the world’s first operational Network Centric Short to Medium Range Ground Based Air Defence System.
Hatuzisikii tena hizo so called Advanced so and so!!
USA atazitumia kuzuia drones za $ 20,000 za kamikaze. Zikitumwa 30 zikadakwa 25, tano zinaharibu battery za Patriot na miundombinu.Mi mwenyewe siyo mtaalamu wa mambo ya silaha za kivita lakini nimeshangaa kusikia Ukraine anapewa patriot.
Haya makitu niliyasikiaga huko enzi ya Saadan Hussein
Haaa! Wambie labda wataelewa.Hiyo ni ndoto ya mchana!! Marekani haamini kuona urusi haiishiwi silaha mataifa mengi ya magharibi yameshaanza kukiri kuishiwa silaha!! Patriot ni karata yake ya mwisho na kwa kawaida ukitembelea karata ya mwisho au gia ya mwisho kinachobakia hapo ni kusubiri majanga!! Hakuna air defense nyingine kwa marekani anayoitegemea zaidi ya Patriot ambayo imeshindwa kuhakikisha ulinzi wa visima vya mafuta vya Saudi Arabia dhidi ya waasi wa Yemen!! Wakati kwa Urusi, mbali na S300 inayotamba, pia kuna S400, na S500 ambayo hajaiweka sokoni ni kwa ajili ya Urusi tu!!
ila mwamba una fiksi hatari kwamba ulishuhudia kwa macho yako jinsi patriot zilivo kua zinashindwa kukabili supersonic speed apa unaamanisha ulikuwepo kweny hilo tukio KHAA
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Kama ni Mrusi ana nyumba ya kioo linganisha ni mabomu mangapi yametua Moscow na mabomu mangapi yametua Kiev!! Kiev wako gizan, je Moscow wako gizani pia? Tatizo propaganda za Magharibi zimewaingia na kudhani ni kweli Ukraine atampiga na kumshinda Mrusi!!nyumba ya mrusi ni ya vioo kaanzisha mwenyewe mchezo wa kurushiana mawe!
[emoji15][emoji12]
Atavuna alichopânda, muda utasem!
Kama jinsi ambavyo mamia ya S300,S400 na S500 yalivyoshindwa kudetect drone za mwaka 70 za Ukraine zikatembea 600km (ndani ya Urusi) na kwenda kupiga airbase muhimu inayotumiwa na bombers muhimu Tu-95,Tu-160,nkKama patriot batteries 24 zilishindwa kulinda visima vya mafuta nchini Saudi Arabia dhidi ya mashabulizi ya waasi wa Yemen, inabidi mtu atumie tumbo kufikiri kuwa battery moja itatosha kulinda nchi ya ukraine dhidi ya mashambulizi ya Urusi!
Kwa taarifa yako hizo drones zilikuwa intercepted na mabaki ndo yakadodokea kwenye baadhi ya ndege na kuweka athari kidogo. Hazikupiga air base bali zilipigwa kabla hazijapiga. Kama zingepiga airbase ingewaka moto na ulimwengu wa magharibi ungeshangilia sana lakini hazikuweza. Rejea tena habari hiyo!!Kama jinsi ambavyo mamia ya S300,S400 na S500 yalivyoshindwa kudetect drone za mwaka 70 za Ukraine zikatembea 600km (ndani ya Urusi) na kwenda kupiga airbase muhimu inayotumiwa na bombers muhimu Tu-95,Tu-160,nk