Putin aziponda Patriot missile air defense, asema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo

Putin aziponda Patriot missile air defense, asema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo

Umedanganywa na propaganda za magharibi. Putin keshateka eneo kubwa la ukraine na kulimeza rasmi kuwa limekuwa sehemu ya Urusi halafu unasema amedharaulika!! Mshindi huwa anateka!! Pia Putin anapigana na NATO yote na wanashangaa amewezaje kustahimili pamoja na vikwazo vyote hivyo!! Wao ndo wanalia hali mbaya ya kiuchumi na kila leo maandamano kama yanavyoendelea huko uingereza!!
Propaganda za magharibi;
Putin kachukua ikulu ya Kyiv,Zelensky sio tena raisi wa Ukraine baada ya msafara wa vifaru wa kilometa 64 kuingia Kyiv miezi 9 iliyopita🤔
 
Mi mwenyewe siyo mtaalamu wa mambo ya silaha za kivita lakini nimeshangaa kusikia Ukraine anapewa patriot.
Haya makitu niliyasikiaga huko enzi ya Saadan Hussein
Mbona vifaru vya Urusi ni vya miaka ya 70 na vipo kwenye battlefield 🤔
 
Bado kufumuliwa moscow!
Muda utasema!
Hiyo ni ndoto ya mchana!! Marekani haamini kuona urusi haiishiwi silaha mataifa mengi ya magharibi yameshaanza kukiri kuishiwa silaha!! Patriot ni karata yake ya mwisho na kwa kawaida ukitembelea karata ya mwisho au gia ya mwisho kinachobakia hapo ni kusubiri majanga!! Hakuna air defense nyingine kwa marekani anayoitegemea zaidi ya Patriot ambayo imeshindwa kuhakikisha ulinzi wa visima vya mafuta vya Saudi Arabia dhidi ya waasi wa Yemen!! Wakati kwa Urusi, mbali na S300 inayotamba, pia kuna S400, na S500 ambayo hajaiweka sokoni ni kwa ajili ya Urusi tu!!
 
Ukrainian forces destroy Russian S-300 air defense systems
Ukrainian military on Saturday released a new video that appears to show burned-out Russian S-300 surface-to-air missile systems in the occupied Kherson region, Ukraine.

The footage was reportedly filmed near Zelenotropinsky, which is a city located in the southern Kherson region.

Ukrainian forces successfully destroyed at least two launchers of the S-300 surface-to-air missile systems and one command post vehicle.

Russia has reportedly lost more than 65 surface-to-air missile systems, including modern Pantsir-S1 and Buk-M2 since 14 February. But it is the first confirmed loss of the S-300 family air defense system.


Ukrainian forces destroy Russian S-300 air defense systems

Hizo ni propaganda za Ukraine!! Unajua Ukraine anazo pia hizo S300 kutokea enzi za Soviet. Kwa hiyo ana manaki mengi tu ya S300 ndizo alionesha na kudai ametungua za Urusi. Unakumbuka hata kombora la S300 lililoshindwa kukabiliana na missile za urusi lilienda kuangukia Paland na Zelensky akasema hiy ni S300 za Urusi, na mwisho wa siku ikabainika ni za Ukraine. Urusi ndiye aliyeziunda na anajua namna ya kuzi-disable!! Ndio maana japo alikuwa nazo nyingi hakuweza kufaidika nazo!!
 
Hivi unafikir marekani ni wajinga kuitamka silaha wanayoipeleka? Watapeleka huenda na zingine ambazo hawajazitamka.......vita inapiganwa Kwa akili pia.
 
Mbona vifaru vya Urusi ni vya miaka ya 70 na vipo kwenye battlefield 🤔
Hivyo vimekuwa up-graded sana tofauti na hizo Patriots ambazo ni za ghali sana bila sababu yoyote! Ngoja tuone, sijui atatumia kombora la patriot lenye thamani ya dola m4 kushabulia drone yenye thamani ya dola elfu 20!! Hiyo ni dilema ya mwaka!!
 
Hivi unafikir marekani ni wajinga kuitamka silaha wanayoipeleka? Watapeleka huenda na zingine ambazo hawajazitamka.......vita inapiganwa Kwa akili pia.
Katika ulimwengu wa air defense system Marekani iko nyuma sana dhidi ya Urusi ndio maana mataifa hata yaliyo chini ya NATO kama Uturuki yamejinunulia S400 hata kama Marekani alinuna sana!! Mataifa kama India yalishaipiga chenga patriot siku nyingi yakajiagizia S400 toka Urusi. Hivi hujiulizi, ilikuwaje kambi ya Marekani nchini Iraq ilipigwa vibaya na missiles za Iran wakati ina ulinzi wa anga? Hata China inategemea S400 kwenye ulinzi wa anga!! Zaidi ya hiyo patriot labda wamshawishi Israel ikubali kutoa ulinzi wake wa anga wa Iron Dome!! Israel ililazimika kuhamia kwenye teknologia yake ya Iron dome baada ya Patriot system kushindwa kukabiliana na makombora ya wapiganaji wa kipalestina!! Ni suala la muda tu kilio cha Zelensky kitarudia pale pale!!
 
Propaganda za magharibi;
Putin kachukua ikulu ya Kyiv,Zelensky sio tena raisi wa Ukraine baada ya msafara wa vifaru wa kilometa 64 kuingia Kyiv miezi 9 iliyopita🤔
Kwa taarifa yako Urusi iliamua kuondoa majeshi yake yaliyokuwa yameuzingira Kiev, wala Ukraine hakutumia kuvu za kijeshi kuyarudisha nyuma!! Katika vita hivi hakuna mahali Urusi imerudishwa nyuma kwa nguvu za kijeshi uwanja wa mapambano. Hata Kherson urusi iliondoa majeshi yake kwa raha zake bila kufukuzwa hadi Ukraine wakawa wanaogopa kuingia mji uliokuwa umeachwa wakidhani ni mtego!!
 
Hivi unavyodhani urusi inatumia makombora ya scud ya toka miaka ya 60? Hayo makombora ndiyo aliyokuwa ana uwezo nayo Sadam Hussein kuyanunua!! Ndio maana Putin anasema Patriot ni mfumo wa kizamani sana toka enzi ya vita vya Ghuba!!
Kwahiyo kwa akili zako unafikili Radar Configurations na Tracking Pinpoint za Patriot ya miaka ya 60s ndio hizo hizo za Patriot ya Sasa? Kama Urusi alivyoboresha Makombora yake basi hata Patriot iliboreshwa ili ku-Meet Standard za maadui wa Sasa.
 
Katika ulimwengu wa air defense system Marekani iko nyuma sana dhidi ya Urusi ndio maana mataifa hata yaliyo chini ya NATO kama Uturuki yamejinunulia S400 hata kama Marekani alinuna sana!! Mataifa kama India yalishaipiga chenga patriot siku nyingi yakajiagizia S400 toka Urusi. Hivi hujiulizi, ilikuwaje kambi ya Marekani nchini Iraq ilipigwa vibaya na missiles za Iran wakati ina ulinzi wa anga? Hata China inategemea S400 kwenye ulinzi wa anga!! Zaidi ya hiyo patriot labda wamshawishi Israel ikubali kutoa ulinzi wake wa anga wa Iron Dome!! Israel ililazimika kuhamia kwenye teknologia yake ya Iron dome baada ya Patriot system kushindwa kukabiliana na makombora ya wapiganaji wa kipalestina!! Ni suala la muda tu kilio cha Zelensky kitarudia pale pale!!
Uturuki alikwenda kununua S-400 kutoka Urusi baada ya kunyimwa Patriot usijisahaulishe. Baada ya Congress Kukataa Uturuki kuuziwa Patriot na Marekani Kutokana na mgogoro wake na Ugiriki,ndipo Uturuki ikalipiza kisasi kwa kwenda kuweka Order ya S-400 Kama njia ya kuikomoa Marekani.
 
Hiyo ni ndoto ya mchana!! Marekani haamini kuona urusi haiishiwi silaha mataifa mengi ya magharibi yameshaanza kukiri kuishiwa silaha!! Patriot ni karata yake ya mwisho na kwa kawaida ukitembelea karata ya mwisho au gia ya mwisho kinachobakia hapo ni kusubiri majanga!! Hakuna air defense nyingine kwa marekani anayoitegemea zaidi ya Patriot ambayo imeshindwa kuhakikisha ulinzi wa visima vya mafuta vya Saudi Arabia dhidi ya waasi wa Yemen!! Wakati kwa Urusi, mbali na S300 inayotamba, pia kuna S400, na S500 ambayo hajaiweka sokoni ni kwa ajili ya Urusi tu!!
wee sema ndoto! Waheñga walisema maskhara maskhara mbuzi kazaa na mamake!
Mtoto anaponyonya akishiba anampanda mamake!
Mama anaona mtoto anacheza!; ikapenya akapata mimba!
Bado hushituki hii vita inaenda mwezi wa ngapi??
Nimeamini ashki majunun!
 
wee sema ndoto! Waheñga walisema makhara maskhara mbuzi kazaa na mamake!
Mtoto ananyonya akishiba anampanda mamake!
Mama anaona mtoto anacheza!; ikapenya akapata mimba!
Bado hushituki hii vita inaenda mwezi wa ngapi??
Nimeamini ashki majunun!
Vita ya Marekani na NATO vs Afghanistan ilitumia Muda gani?Na Nani alishinda?
 
Walisema pia kuwa ikipelekwa itaongeza maafa kwa ukraine!! Unajua kwa nini: ni kwa sababu Urusi italazimika kutumia silaha kubwa zaidi kwa mara nyingi zaidi ambazo hizo patriots hazioni ndani. Na silaha hizo zitakuwa na maangamizi zaidi kwa ndugu zao wa ukraine, ni hilo tu. Vinginevyo ili maadamu amelilia wembe acha umkate!!
Zaidi ya nuclear urussi ni mweupe kabisa
 
Mbona vifaru vya Urusi ni vya miaka ya 70 na vipo kwenye battlefield [emoji848]
Sababub anayepigana naye ni dhaifu kizana, Ukraine. Sasa Russia ndo umshinde kwa zana za zamani hivo

Angemsaidia hizo kupigana na mataifa dhaifu tungeelewa
 
Hivi unafikir marekani ni wajinga kuitamka silaha wanayoipeleka? Watapeleka huenda na zingine ambazo hawajazitamka.......vita inapiganwa Kwa akili pia.
Ila pia hawezi kuleleka mifumo anayoitegemea yeye kiulinzi, atakuwa anajiweka uchi
 
Back
Top Bottom