Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefikiri kwa kina sana.Ile gari ilikuwa Kwa ajili ya Putin peke yake
Kim Jong Un alikuwa na gari yake
Sasa Putin sijui alishtuka Nini alasema tupande wote hii hii Mimi na wewe Sipandi mwenyewe may be Kuna machale yalimcheza au alitaka wakae mle ndani waongee mambo Yao ya Siri sana na wamalizie mle ndani akihofia yakiongelewa ukumbini yaweza pepeluka
Kwa hiyo security detail na protocol ikabidi ibadilishwe ghafla
Ila Hongera timu zote za Russia na Korea walikuwa sharp ndani ya muda mfupi sana kujipanga ki.protocol na security details
Waweza Kuwa wameongea ndani ya gari na kudainiana mikataba yote kule ndani ya gari ikiwa kwenye msafara Ili huko nje watakayoongea ruksa hata waandishi wa habari kuhudhuria
Madikteta hawaaminiani maamaeRais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
View attachment 3020590
Unawazungumzia NATO hapoMarafiki makatili kweli, yanapendana sana mauaji ya watu
Ni mtu mjinga tu anaona hawa ni dhalimu na NATO sio dhalimu.Hawa ni watawala wadhalimu, ni kitu Cha kawaida kabisa kwa Watu wadhalimu kutokumwakini mtu yoyote yule. Wanahofia kwamba huenda anaweza kufanyiwa udhalimu kama ambavyo yeye mwenyewe amekuwa akiwafanyia Watu wengine.
Ni NATO(Marekani)ndo anayeitesa dunia hawa ndo nchi chache wanaokataa udhalimu wa Marekani na wenzake tumieni akili kujua ukweli aiseeNawaona Benito Musolin na Adolf Hitler kwa mara ingine tena wakitesa dunia.
Wanapeana heshima maana wa kwanza kuingia ni anayeheshimiwa zaidi.akili ndogo ndo inahoji jambo kama hili.Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
View attachment 3020590
NATO wanaweka dunia sawaU
Unawazungumzia NATO hapo
Kweli vichaa ni wengi hawahawa NATO ambao wamevamia nchi nyingi wameuawa watu wengi Afrika na uarabuni?NATO wanaweka dunia sawa
Upo sahihi watu wengi hawajui.Ni NATO(Marekani)ndo anayeitesa dunia hawa ndo nchi chache wanaokataa udhalimu wa Marekani na wenzake tumieni akili kujua ukweli aisee
Hawa ni watawala wadhalimu,
Nimemaanisha kutesa kwa maana ya kutamba, ielewe mitaa.Ni NATO(Marekani)ndo anayeitesa dunia hawa ndo nchi chache wanaokataa udhalimu wa Marekani na wenzake tumieni akili kujua ukweli aisee
Kwa hali ya sasa ilivo na wa Iran alivyopotea lazima machale yawe karibu 😃🤣🤣🤣🤣jamaa huwa hawaaminiani sijui ni huwa wanafanya vituko kwa makusudi au ni vipi
Madhalimu lakini hawajafika udhalimu wa usa hata roboHawa ni watawala wadhalimu, ni kitu Cha kawaida kabisa kwa Watu wadhalimu kutokumwakini mtu yoyote yule. Wanahofia kwamba huenda anaweza kufanyiwa udhalimu kama ambavyo yeye mwenyewe amekuwa akiwafanyia Watu wengine.