Putin na Kim Jong Un wakibishana nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari

Putin na Kim Jong Un wakibishana nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari

Vipi na wale wanaobeba na magari yao kwenye ndege kila wanaposafiri
Kuna tofauti ya kuvuruga protokali kwa sababu ya mashaka na kufuata protokali ambayo ni sehemu ya ulinzi rasmi.
Airforce One, Marine one na The Beast vya Mmarekani ni sehemu ya protokali ya ulinzi wa Rais wao wakati wote, sasa hicho anachokifanya Putin ni mojawapo ya protokali za ulizi wa rais wa Russia??
 
Hata US president hanywi Hali chochote ktk nchi aliyofikia. Huwa wanaandaa vyakula vyao wenyewe
Hizo ni story tu, hakuna sababu yoyote Rais wa Marekani asile chakula alichoandaliwa na Waziri mkuu/Mfalme wa Uingereza, Rais wa Ufaransa au Waziri mkuu wa Canada.
 
I
Hizo ni story tu, hakuna sababu yoyote Rais wa Marekani asile chakula alichoandaliwa na Waziri mkuu/Mfalme wa Uingereza, Rais wa Ufaransa au Waziri mkuu wa Canada.
Inawezekana ikawa story au ni kwa nchi ambazo unfriendly ones. Niliona ktk documentary moja hiyo story ikanipa mashaka sana. Labda walimaanisha nchi amabzo siyo ally.
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
View attachment 3020590
Sio kwamba wanabisha coz haujui wanachoongea, labda Putin anamkaribisha Kim kwenye gari alilompa zawadi na hawajawahi kuonana tokea hapo, na pia Kim anamkaribisha Putin kwenye gari kwasababu ni mgeni wake...
 
"In the world of spies, the greatest battle is not fought with guns, but with secrets."
Kabisa mfano Ona hapa wakiwa hapo Korea Leo Putin na Rais Kim Jong Un wakiondoka na gari wakiwa wawili tu Putin akiwa dereva na Kim Jong Un akiwa abiria kwenye gari ya kirusi naona Walikuwa na mazungumzo Yao binafsi Siri wanajua wao

Ona Putin akiwa kwenye usukani

View: https://youtu.be/kbR7NqyMgso?si=WDG6nfk_XFPNN6SD
 
Kabisa mfano Ona hapa wakiwa hapo Korea Leo Putin na Rais Kim Jong Un wakiondoka na gari wakiwa wawili tu Putin akiwa dereva na Kim Jong Un akiwa abiria kwenye gari ya kirusi naona Walikuwa na mazungumzo Yao binafsi Siri wanajua wao

Ona Putin akiwa kwenye usukani

View: https://youtu.be/kbR7NqyMgso?si=WDG6nfk_XFPNN6SD

Ndo hivyo lazima siri iwepo maana hata waandishi wa habari baadhi sio wa kuaminika.
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
View attachment 3020590
Ukiwa jasusi unajihami kila kitu
 
Mtoa uzi uelewi kiswahili rudi shule ukasome hv unajua maana ya kubishana hao walikuwa wanaelekezana ni nani awe wa kwanza kuingia kwenye gari na sio kubishana kama ulivyokuja kudanganya watu
 
Mtoa uzi uelewi kiswahili rudi shule ukasome hv unajua maana ya kubishana hao walikuwa wanaelekezana ni nani awe wa kwanza kuingia kwenye gari na sio kubishana kama ulivyokuja kudanganya watu
Walikuwa wanatumia lugha gani?
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
View attachment 3020590
Wote hao ni mafia, na hapo walikuwa wamekutana, hivyo timing ndio silaha yao kuu.
 
Back
Top Bottom