Putin na Kim Jong Un wakibishana nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari

Umefikiri kwa kina sana.
 
Madikteta hawaaminiani maamae
 
Wanapeana heshima maana wa kwanza kuingia ni anayeheshimiwa zaidi.akili ndogo ndo inahoji jambo kama hili.
 
Kwahiyo sheria ya uvaaji wa hii suti ni kufunga kifungo kimoja??...(samahani wandugu mambo ya siasa za mabeberu siyajui)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…