DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Kwahiyo wanaouwa watoto gaza, watu wasio na hatia na kuvuruga nchi za watu mfano libya, Syria, yemen, msumbiji, congo n.k sio madikteta! Obama na washirika wake wametuulia kiongozi wetu gadafi, je! Hao sio madikteta!πππ Madikteta huwa wana maisha ya tabu sana
Hiyo Yako ni ya Leo hiyo ya mleta mada ni ya Jana usiku alipokuwa akishuka airport wewe ndie umechanganya na kuweka ujuajiWabongo kwa kujitia ujuaji tu hatujambo!View attachment 3020904
Ujuaji gani nimeweka zaidi ya kupost picha inayowaonesha Putin na Kim wakiwa kwenye gari moja!?Hiyo Yako ni ya Leo hiyo ya mleta mada ni ya Jana usiku alipokuwa akishuka airport wewe ndie umechanganya na kuweka ujuaji
Umeshindwa kutofautidha ya usiku hawakupanda ya wazi na njia nzima hakukuwa na watu wa kuwapokea Wala wa kuapungia mikono.ilikuwa Giza Totoro njia nzima Hadi wanafika makazi ya ikuluUjuaji gani nimeweka zaidi ya kupost picha inayowaonesha Putin na Kim wakiwa kwenye gari moja!?
kwahiyo unahisi mimi ni kipofu kiasi kwamba nishindwe kutofautisha picha iliyopigwa usiku na iliyopigwa mchana. Wabongo punguzeni ujuaji, maisha yenu hayafanani na ujuaji mnaojibebesha.
Poa Shoto, nimekubali Putin na Kim walikuwa wanabishana kuhusu nani aanze kupanda gari kwasababu wote ni madikteta, hakuna anayemuamini mwenzake!Umeshindwa kutofautidha ya usiku hawakupanda ya wazi na njia nzima hakukuwa na watu wa kuwapokea Wala wa kuapungia mikono.ilikuwa Giza Totoro njia nzima Hadi wanafika makazi ya ikulu
Wenzio tuliona usiku akiwasili.wewe baadabya kuchaji ndio ukakumbuka shuka wakati kumekucha unaleta picha kukiwa kumekucha
Hiyo Yako ya Leo
Hana mahusiano mema na wenzie.Unakuaje Rais wa taifa kubwa hivyo halafu unaishi kama digi digi porini huiamini timu yako ya usalama?!
Mwenye mahusiano mema na wenzie nani!?Hana mahusiano mema na wenzie.
Wewe.Mwenye mahusiano mema na wenzie nani!?
Si kweliIle gari ilikuwa Kwa ajili ya Putin peke yake
Kim Jong Un alikuwa na gari yake
Sasa Putin sijui alishtuka Nini alasema tupande wote hii hii Mimi na wewe Sipandi mwenyewe may be Kuna machale yalimcheza au alitaka wakae mle ndani waongee mambo Yao ya Siri sana na wamalizie mle ndani akihofia yakiongelewa ukumbini yaweza pepeluka
Kwa hiyo security detail na protocol ikabidi ibadilishwe ghafla
Ila Hongera timu zote za Russia na Korea walikuwa sharp ndani ya muda mfupi sana kujipanga ki.protocol na security details
Waweza Kuwa wameongea ndani ya gari na kusainiana mikataba yote kule ndani ya gari ikiwa kwenye msafara Ili huko nje watakayoongea ruksa hata waandishi wa habari kuhudhuria
Ukweli ni upiSi kweli
Mashoga wakiwaona hao miamba hawapati amani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee!!
Bila shaka itakuwa umekosea kunukuu mkuu. Kama sivyo basi una mihemko sana, uipunguze. Maana ulichokinukuu hakiendani kabisa na hayo unayojaribu kunilisha.Kwahiyo wanaouwa watoto gaza, watu wasio na hatia na kuvuruga nchi za watu mfano libya, Syria, yemen, msumbiji, congo n.k sio madikteta! Obama na washirika wake wametuulia kiongozi wetu gadafi, je! Hao sio madikteta!