Putin ni tishio kwa ustawi na usalama,Israel inapaswa kumshugulikia haraka sana

Putin ni tishio kwa ustawi na usalama,Israel inapaswa kumshugulikia haraka sana

Marekani mikwala mingi.
20220224_143117.jpg
 
Israel hana sababu za kuiogopa urusi ,mossad ndiye iliyoitaarifu marekani kuwa uchaguzi 2016 ulidukuliwa na majasusi wa urusi na wakatoa ushahidi ,lakini ilipofika 2020 CIA kwa kushirika MOSSAD uchaguzi ule haukuduliwa hata kidogo na majasusi wa urusi na hatimaye mshindi alipatikana kihalali ambaye ni BIDEN
Warusi wengi ni Jews kama ilivyo kwa Austria na nchi z9ngine za Ulaya. Hivyo, usitegeme ka Israel itaingilia mgogoro wowote Ulaya kwa sasa. Israel wao wanapambana na ndugu zao wa Mashariki ya kati tu.
 
Usiwe unaongea mambo ambayo huyajui
Baadhi ya Warusi wana asili ya israel
Unajua kwa nini Roman abramovich ana uraia wa Israel?

Huu mgogoro umesababishwa na Nato na usa wala sio urusi
Huwezi sema mgogoro umesababisha na NATO bila kuweka uhusika wa Urusi. NATO ni shirika ambalo nchi huru huweza kujiunga kwa hiari wakikidhi vigezo. Majirani wa Urusi kujiunga na NATO kunatafsiriwa na Urusi kama tishio la kiusalama na ndio tunayaona yote haya.
 
Everyone is afraid of giving us guarantees to join NATO, and the truth is, no one wants us in the alliance

Ukrainian President
 
Israel yeye ana nini zaidi ya kila siku kumega eneo la parestina, Israel mwenyewe pia ni dikteta tu hana lolote na uhalali katika dunia hii,zaidi ya kukuzwa na waoga wa dunia hii hasa nchi maskni za kiafrika kupitia tuvitabu vya dini za magharibi
Yawezekana ulilenga kufurahisha hadhira ila kuita vitabu vya dini eti ni tuvitabu ni kumkosea Mungu, pumzi isikudanganye ndugu yangu kuna judgement day.
 
Mgogoro wa Ukraine unafaida kwa Israel.

Uturuki ilikua (maybe na inaendelea) inakuja juu kwa kasi kubwa kwenye utengenezaji wa vifaa vya kivita (hasa drones), na imewekeza sana kwenye viwanda Ukraine, pia ingeliweza kujipatia Old Soviet technology (including nuclear technology) huko kwa urahisi.

Viwanda vya Uturuki vilishaanza kujipatia wateja Arabuni (Qatar, UAE na Saudi alishaanzisha mazungumzo), na baadhi ya nchi za Ulaya (hii biashara ni tishio la kiuchumi kwa Israel).

Kui-destabilize Ukraine, ni hasara kubwa kwa Uturuki, ambayo tayari ina ndoto ya kuwa Super Power kijeshi na kiuchumi, hivyo kuwa threat kwa Israil, na Supporter kwa Palestine Territories.
 
Russian FM Lavrov says Moscow wants:

  • Our expectations of Kyiv remain the same, Russia doesn’t change its position “like a girl”
  • We want to 'free Ukraine from oppression'
  • President Putin will hold several int phone calls
  • We want to ensure demilitarisation of Ukraine https://t.co/AT8CWuePp8
 
European benchmark nat gas TTF falls ~20% early on Friday as Russian gas flows into the EU (via Ukraine) surge. European utilities are asking Gazprom to ship more gas, and the Russian state-owned giant is happy to oblige. Capitalism in times of war | #Ukraine #UkraineInvasion
 
Back
Top Bottom