Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Tena unatufyeka kweli kuliko hao wazunguMiaka kumi iliyopita niliona taarifa ya UN kwamba miaka kumi baadae saratani itakua muuwaji namba moja,na Leo ni dhahiri,ile miaka ya 90 saratani tuliona ni ugonjwa wa wazungu,Leo kwetu imekua Kama malaria
Nadhani sisi hua hatuyachukulii mambo kwa uzito
Au sijui nisemeje hapa