HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kamsaidie vita UkraineLong live Putin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamsaidie vita UkraineLong live Putin.
Inaonekana hujasoma Bible Gen 6:3Yawezekana hata umri wa kuishi zaidi ya miaka 200 kuna wajanja wachache waliufupisha maslahi yao binafsi....
Ni mabadiliko ya tabia cell yqnayotokana na introduction ya inhuman chemicals kwenye mwili.mfano binadamu aliumbwa ale ma apple yanayootavna mbolea ya samadi tu ambayo ukivuna yanaiva siku moja .sasa baada ya wanadamu kuwa wengi ikabidi kuyapiga mionzi na machemikali ili yadumu yafikie masoko ya mbali hixo chemical sanjari na hizo hupelekea hubadili tabia ns kuwuwa adui na zako hivo mwili wako huzitenga na kuzizingira inapelekea vinundu na kupasuka vidonda hadi kufa .mkuu wanguWewe unajua cancer ni nini?
Chanjo ya ngoma vipi hawakuipata?
Kumbe sio biashara za Marekani na UlayaNi mabadiliko ya tabia cell yqnayotokana na introduction ya inhuman chemicals kwenye mwili.mfano binadamu aliumbwa ale ma apple yanayootavna mbolea ya samadi tu ambayo ukivuna yanaiva siku moja .sasa baada ya wanadamu kuwa wengi ikabidi kuyapiga mionzi na machemikali ili yadumu yafikie masoko ya mbali hixo chemical sanjari na hizo hupelekea hubadili tabia ns kuwuwa adui na zako hivo mwili wako huzitenga na kuzizingira inapelekea vinundu na kupasuka vidonda hadi kufa .mkuu wangu
Kwani kunao waliona hatimiliki ya maneno ya faraja wao tu humu duniani?Neno la faraja angalau asikike +vely.
Lakini vumbuzi la AK47 si baya zaidi ya vumbuzi la Bomu la atomiki/nyuklia mlilompiga nalo mjapani.Dah, kwa kweli hii ikifanikiwa, itakua ni hatua kubwa sana kwa fani ya matibabu. Wanadamu wanateseka sana na huu ugonjwa. Na miaka ijayo ugonjwa huu utakua tishio zaidi.
Funny observation;Afadhali, vumbuzi hii ita-balance vumbuzi mbaya kabisa ya AK47
Pumbav zako yaani kirusi kitengenezewe US halafu wameshindwa chanjo halafu una mlaumu urusi hivi umelogwa na nani? Yaan ccm ilete shida halafu lawama ziende chadema kwanini?Chanjo ya ngoma vipi hawakuipata?
Saratani ipi ?Putin atangaza kwenye television nchini urusi kwamba wanasayansi nchini kwake wapo karibu Sana KUTENGENEZA chanjo ya saratani,na pia teknolojia mpya kabisa ya immunology
Tayari kuna chanjo ya HPV kwa ajili ya cancer ya kizazi, hiyo ya Putin ni ya cancer gani??
Cancer ipi?? Tayari kuna chanjo ya HPV kwa ajili ya cancer ya kizazi
Stop promoting this garbage, it has a lot of side effects, including premature ovarian failure.Cancer ipi?
Tayari Kuna chanjo ya HPV dhidi ya cancer ya shingo ya kizazi.
Cancer ni moja tu mkuu sema wewe unefikiria kila kiungo ni cancerCancer ziko nyingi sana. Cancer ipi au zote?