Putin: Urusi iko Karibu kuzindua Chanjo ya Saratani

Putin: Urusi iko Karibu kuzindua Chanjo ya Saratani

Cancer inakuja popote kwenye mwili wa binadamu. Inaitwa kansa ya sikio kwa sababu imetokea sikioni au kizazi kwa sababu imetokea kwenye kizazi lakini source of the problem remains constant.
Bullshit, Cancer ziko za aina tofauti sana na vyanzo vya cancer ni vingi na tofauti sana na hilo ni jambo mojawapo linalosababisha ugumu wa chanjo au matibabu yake.
 
Bullshit, Cancer ziko za aina tofauti sana na vyanzo vya cancer ni vingi na tofauti sana na hilo ni jambo mojawapo linalosababisha ugumu wa chanjo au matibabu yake.
A disease in which abnormal cells divide uncontrollably and destroy body tissue.
Sasa
Nitajie kiungo chochote katika mwili wa binadamu ambacho hakijatengezwa na cells na tissue.
 
Acha tu,asubuhi supu na Pepsi,dozi za malaria kila baada ya miezi miwili,mama ntilie maharage anatumia Panadol kupika yaive haraka,kiwanda Cha dawa feki kimekamatwa kinyerezi,chips zilizokaangwa kwa mafuta ya transfoma,mafuta ya kula ambayo ni zao la dizeli nk
Hali inaisha kwahakika
 
Ujinga buana! Cancer zipo nyingi na hazina chanjo moja wala haziwezi kuwa na chanjo moja.

Putin kachanfanyikiwa na leo Meli yake imezamishwa huko.
Sasa mjinga nani wewe sisi au PUT IN?
 
Neno la faraja angalau asikike +vely.

Ni utapeli na kutafuta asikike, saratani zipo aina nyingi sana na hamna namna ya kuzikabili zote, pia ikumbukwe saratani ni disorder ya kwenye cells, sio mdudu.
Genetic error au mutation, sasa chanjo itafanyaje kazi...
Labda kama anaongea kuhusu treatment vaccine ya mtu aliyeathirika tayari.
 
Ni rahis kuongea kulko utendaj, mwenyew naweza kuamka kusema ntapata bilion100 ila uhalisia unaweza kuwa tofaut, nia haimaanishi utafanikiwa
 
Back
Top Bottom