Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Tena unatufyeka kweli kuliko hao wazunguMiaka kumi iliyopita niliona taarifa ya UN kwamba miaka kumi baadae saratani itakua muuwaji namba moja,na Leo ni dhahiri,ile miaka ya 90 saratani tuliona ni ugonjwa wa wazungu,Leo kwetu imekua Kama malaria
Cancer ipi?Putin Says Russia is Close to Creating Cancer Vaccines
Pharmaceutical companies around the world are TERRIFIED!View attachment 2904118
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha tu,asubuhi supu na Pepsi,dozi za malaria kila baada ya miezi miwili,mama ntilie maharage anatumia Panadol kupika yaive haraka,kiwanda Cha dawa feki kimekamatwa kinyerezi,chips zilizokaangwa kwa mafuta ya transfoma,mafuta ya kula ambayo ni zao la dizeli nkTena unatufyeka kweli kuliko hao wazungu
Nadhani sisi hua hatuyachukulii mambo kwa uzito
Au sijui nisemeje hapa
Dizaini zoteTayari kuna chanjo ya HPV kwa ajili ya cancer ya kizazi, hiyo ya Putin ni ya cancer gani??
BullshitDizaini zote
Ajenda zipi za magharibi? Cancer ni ajenda ya wamagharibi ?Putin yupo siriazi kupingana na ajenda za wamagharibi.
mungu amlinde dhidi ya madhalimu
Khe!!!Mwamba huyo
Kiboko ya mashoga
Umesahau dawa za kuhifadhia maiti,wanahifadhia nyama na fish😝Acha tu,asubuhi supu na Pepsi,dozi za malaria kila baada ya miezi miwili,mama ntilie maharage anatumia Panadol kupika yaive haraka,kiwanda Cha dawa feki kimekamatwa kinyerezi,chips zilizokaangwa kwa mafuta ya transfoma,mafuta ya kula ambayo ni zao la dizeli nk