Putin: Urusi iko Karibu kuzindua Chanjo ya Saratani

Wewe unajua cancer ni nini?
Ni mabadiliko ya tabia cell yqnayotokana na introduction ya inhuman chemicals kwenye mwili.mfano binadamu aliumbwa ale ma apple yanayootavna mbolea ya samadi tu ambayo ukivuna yanaiva siku moja .sasa baada ya wanadamu kuwa wengi ikabidi kuyapiga mionzi na machemikali ili yadumu yafikie masoko ya mbali hixo chemical sanjari na hizo hupelekea hubadili tabia ns kuwuwa adui na zako hivo mwili wako huzitenga na kuzizingira inapelekea vinundu na kupasuka vidonda hadi kufa .mkuu wangu
 
Wakati wengine wanahangaika kusambaza ushoga LGBTQ,huko Putin anatafuta dawa ya cancer ili kuua biashara za makampuni ya dawa za wamagharibi,

Dawa za magonjwa mengi tu inawezekana kupatikana ila watu wanalinda biashara zao,

Go Putin mwamba.
 
Kumbe sio biashara za Marekani na Ulaya
 
Lakini vumbuzi la AK47 si baya zaidi ya vumbuzi la Bomu la atomiki/nyuklia mlilompiga nalo mjapani.
 
Nlishawah kusema huyu ni ninja watu wakabisha, wazungu wanaenda kuaibika safari hii, pumbav.zao…
 
Iwe kweli hii kitu inatesa watu jamani imegeuzwa biashara
 
Putin atangaza kwenye television nchini urusi kwamba wanasayansi nchini kwake wapo karibu Sana KUTENGENEZA chanjo ya saratani,na pia teknolojia mpya kabisa ya immunology
Saratani ipi ?
 
Tayari kuna chanjo ya HPV kwa ajili ya cancer ya kizazi, hiyo ya Putin ni ya cancer gani??
Cancer ipi?? Tayari kuna chanjo ya HPV kwa ajili ya cancer ya kizazi
Cancer ipi?
Tayari Kuna chanjo ya HPV dhidi ya cancer ya shingo ya kizazi.
Stop promoting this garbage, it has a lot of side effects, including premature ovarian failure.
 
Vipi operation ya kijeshi nayo inaendeleaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…