Putin: Urusi iko Karibu kuzindua Chanjo ya Saratani

Cancer ipi?
Umesoma shule ipi

Cancer by definition ni abnomal cell growth or multiplication

Hio singo ya kizazi cjui sikio sijui kòo ni kutegemeana n location ya eneo

Ni km mtu anabadilika uhusika tu akiwa stend abirua,akiwa hospital mgonjwa akiwa polisj mtuhumiwa akiwa gerezani mfungwa n.k

Halafu cancer mpaka leo ngumu kutibu sababu mpaka leo haijulikani chanzo cha cancer ni nn?

Vinavojulikana ni vichocheo km rays, chemical, n.k
 
Hiv ni nchi gan ilisema itakuja na daw ya ukimwi
 
Wewe endelea kunywa ethanol hapo kibera mambo ya medicine na wewe wapi na wapi? Usiingilie fani za watu bro.
 
Halafu cancer mpaka leo ngumu kutibu sababu mpaka leo haijulikani chanzo cha cancer ni nn?
Chanzo cha saratani kinajulukana, ni inflammation ya immune system (kinga ya asili ya mwili kutofanya kazi vizuri). Wote tunapata saratani kila siku ila immune system inaziharibu hizo seli zilizoharibika. Makampuni ya madawa hayataki ukweli huo ujulukane kwasababu yatafilisika. Kumbuka dhana ya uganga wa kimagharibi ni kuondoa dalili badala ya kuutibu ugonjwa.

Wakula tunavyokula ni zaidi ya virutubisho, vina genetic codes ambazo zina taarifa ya kiasi gani cha kemikali (hydrocarbons) zilizopo. Vyakula vingi vya kisasa vinakemikali za ziada (kutoka kwenye mbolea, mbegu za GMO n.k), hizi zinafanya vyakula kuwa na kimikali (chain za hydrocarbons) ambazo ni tofauti na zile za asilia.

Mwili unapojaribu kumenyenya vyakula hivi, unashindwa kuvunja vunja kemikali zote kwa kuwa hauna taarifa zake za ziada (zile zisizo za asili). Hizi kemikali zisizovunjika zinabaki zikizunguka mwilini, baadhi zinakuwa sumu na kuharibu mfumo wa kijikinga (immune system) na kusababisha saratani.
 
Hawa tusiwaamini sana, wanaweza zindua chanjo ya kuua ulimwengu, mimi sitachanja hiyo chanjo yao kwa kweli
 
Ww unachanganya mada ujue
Kuvimba kwa kinga za mfumo wa mwili ni lymphadenophaty

Na lymphadenopathy ni sign ya eneo hilo huenda likawa na cancer kiufupi umeelezea dalili


hii ni body response reaction and not a cause

 
Ww unachanganya mada ujue
Kuvimba kwa kinga za mfumo wa mwili ni lymphadenophaty

Na lymphadenopathy ni sign ya eneo hilo huenda likawa na cancer kiufupi umeelezea dalili


hii ni body response reaction and not a cause

View attachment 2907426


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…