PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

HAo waisrael wanaohangaika na mgambo hadi wamepoteana , kama waliweza kupigwa na mgambo wa hezbollah 2006 bado watoto wadogo sana kwenye anga za vita
tatizo anapigana na migambo wanaojichanganya na watoto na wamama kuwakinga akiwafumua kisawasawa wanapiga kelele umoja wa mataifa kwamba wanashambulia watoto yani wanambinu zakijinga sana.
 
tatizo anapigana na migambo wanaojichanganya na watoto na wamama kuwakinga akiwafumua kisawasawa wanapiga kelele umoja wa mataifa kwamba wanashambulia watoto yani wanambinu zakijinga sana.
2006 walipigana na hezbollah mpakani mwa lebanon uso kwa uso fuatilia nini kilitokea pamoja na kupewa silahazote kali na washirika wake waliishia kuaibika hadi marekani kaenda kuomba ceasefire umoja wa mataifa, na badala ya hapo mkuu wa majeshi wa israel akajiuzulu
 
tatizo anapigana na migambo wanaojichanganya na watoto na wamama kuwakinga akiwafumua kisawasawa wanapiga kelele umoja wa mataifa kwamba wanashambulia watoto yani wanambinu zakijinga sana.
Vipi kuhusu Hezbollah ambao waliwatandika waisrael mwaka 2006 mpaka Marekani akamua waitwe kwenye mazungumzo kumaliza vita.

Na hata hii leo bado hezbulla wanafurumisha mizinga kuelekea Israel na bado Israel imefyata.

Obvious kwa Hamas wanajifanya wana nguvu kwa sababu wanatumia silaha za kupewa na nchi nyingine, huku Hamas wakitumia za kwao tu, lakin miezi 8 mateka hawajaokolewa bado.
 
2006 walipigana na hezbollah mpakani mwa lebanon uso kwa uso fuatilia nini kilitokea pamoja na kupewa silahazote kali na washirika wake waliishia kuaibika hadi marekani kaenda kuomba ceasefire umoja wa mataifa, na badala ya hapo mkuu wa majeshi wa israel akajiuzulu
Mkuu utafikiri tunafikiria pamoja. Na mimi nimeandika hivyo hivyo ktk comment ya #23
 
Netanyahu anachomzidi Putin ni ile sura yake nzito kama kinyesi na ya kigaidi inayotisha.

Putin yule ni alien sio mtu, jamaa anacheka na kutabasamu muda wote lakini namba chafu.
Unaambiwa hata marais wengine huwa wanatamani moment kuonana na Putin yaani na wao huwa wakimuona wanamshangaa kama sisi na kujiuliza hivi huyu ndiye Putin mwenyewe?

Acha kumlinganisha Putin na ujinga.
 
Netanyahu anachomzidi Putin ni ile sura yake nzito kama kinyesi na ya kigaidi inayotisha.

Putin yule ni alien sio mtu, jamaa anacheka na kutabasamu muda wote lakini namba chafu.
Unaambiwa hata marais wengine huwa wanatamani moment kuonana na Putin yaani na wao huwa wakimuona wanamshangaa kama sisi na kujiuliza hivi huyu ndiye Putin mwenyewe?

Acha kumlinganisha Putin na ujinga.
Hapa kuna uhakika wa Putin kumgaragaza Netapaka vibaya sana 😂😂
 
Unakosea sana kumlinganisha President Putin na PM Netanyahu

Netanyahu ni Bwana Mdogo sana kwa Putin

Since 1945, Baada ya vita ya pili ya Dunia, hakujawahi tokea kiongozi kama Putin kwenye hii Dunia, labda huko zamani sana.

Lakini katika hii modern world (Dunia baada ya vita ya 2 ya Dunia), hakuna kiongozi kama Putin.
 
Kumlinganisha Putin na Natenyahu ni kimvunjia heshima Putin.

Netanyahu ana nini kama yeye kila kitu anafanyiwa na Marekani na Ulaya anapewa pesa anapewa silaha.

putin anapigana vita na Nato na Ulaya na Marekani.

Netanyahu anapigana vita na watoto na wagonjwa leo unaenda mwezi wa 8 hawajui mateka wao walipo Gaza yenyewe ni ndogo kuliko Kigamboni.
Wote wauwaji, Putin kabomoa shule na hospitali ngapi huko Ukraine?
 
Unakosea sana kumlinganisha President Putin na PM Netanyahu

Netanyahu ni Bwana Mdogo sana kwa Putin

Since 1945, Baada ya vita ya pili ya Dunia, hakujawahi tokea kiongozi kama Putin kwenye hii Dunia, labda huko zamani sana.

Lakini katika hii modern world (Dunia baada ya vita ya 2 ya Dunia), hakuna kiongozi kama Putin.
Its true mkuu. Labda mungine ambae anaweza kusogea sogea karibu na Putin kisifa ni yule raisi wa China.

Jamaa mnacheka vizuri, lakini ukiingia anga zake unafinywa kimya kimya.
 
Niaje waungwana

Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake.

Ubishi wenyewe unahusu miamba miwili yenye roho ngumu, maamuzi mazito na misimamo mikali isiyoyumba, wala kuyumbishwa na watu wengine. Na miaka hiyo sio mingine isipokuwa ni raisi wa Russia Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu.

Kwanza kabla ya watu wengine hawajaingia hapa kutoa maoni yao kuhusu nani bora kati ya raisi Putin na waziri mkuu Netanyahu, naomba kwanza na mimi na mimi nitoe maoni yangu juu ya nani zaidi ya mwenzake.

1. Nikianza na raisi Vladimir Putin, huyu kwangu ni mwamba kweli kweli ambae kumlinganisha na bwege mpenda kulia lia kama Netanyahu ni kumkosea heshima Putin. Netanyahu ni mchumba na hawezi kufit kwa Putin hata kwa nusu ya sifa zake.

Putin ni kiongozi makini, mwenye akili kubwa, misimamo thabiti na intelejensia kali kuliko Netanyahu. Kwa kuthibitisha hili angalia uchaguzi wa uraisi wa 2016 alivyoweza kupachika vijana wake katika mifumo ya Marekani ili wamletee raisi anaemtaka yeye. Ni nani mwengine katika dunia ya leo mwenye uwezo wa kufanya kile alichofanya Putin, tena ndani ya ardhi ya Marekani na mifumo imara ya Marekani? Ni nani mungine?

I hope jibu hakuna maana hata China imeshajaribu kutuma mpaka maputo ili na yenyewe ifanye yake lakini yote yakashushwa. So Putin yeye aliweza tena kwa kuingilia mifumo ya ndani ya nchi bila kugundulika mpaka pale mission yake ilipokamilika, ndo alipokuja kushtukiwa ila akawa ashafanikiwa kwa 100%.

Tukija kwenye misimamo thabiti, jamaa amesimamia kile anachoamini yeye tu, bila kujali vitisho, vikwazo na kelele za nchi za magharibi including NATO. Ameingia nchini Ukraine kukamilisha mission zake bila kujali kelele za mtu yoyote. Si Marekani, NATO wala Umoja wa Ulaya aliethubutu kuingiza jeshi lake Ukraine kupambana na uvamizi wa Russia. Sana sana wameishia kutuma visilaha tu ili kujaribu kudhoofisha mission zake bila mafanikio.

Putin hajawahi kulia hadharani kuwa kaishiwa silaha au mbinu za kijeshi, NEVER. Yeye ni kutoa dozi tu na kusonga mbele daima, huku Marekani na washirika wake wakiendelea kuangamiza silaha zao kuipa Ukraine ili iizuie Ruusia kusonga mbele bila mafanikio.

Putin yeye anapambana na nchi kamili yenye raisi wake, serikali yake, jeshi lake (lenye mamilioni ya wanajeshi), silaha zake (za zamani na kisasa), ulinzi wake (juu na ardhini) Lakini bado haoneshi kushindwa wala kurudi nyuma. Nchi yake bado imeendelea kuogopwa hata na nchi zinazojifanya ni watemi wa dunia. Pia maangamizi yake yamekuwa yakiwalenga zaidi adui zake (wanajeshi na viongozi wa serikali) ikitokea raia ameuwawa basi ni kwa bahati mbaya ile tunaita ajali kazini. Ndiomaana toka vita vianze wanajeshi waliouwawa na wengi kuliko raia wa kawaida.

Putin pamoja na kuwa katika vita vinavyoshirikisha mataifa kibao ya Ulaya kuwa upande wa adui yake, lakini bado economic yake ipo imara mno, na ni nchi ya tatu kwa bajeti kubwa ya kijeshi duniani baada ya Marekani na China. Nchi yake haitegemei bajeti ya kijeshi kutoka nchi yoyote ile hapa duniani. Inajisimamia yenyewe miaka yote ya utawala wa Putin.

2. Tukija kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu, huyu kwangu ni mchumba tu mbele ya Putin, kwa sababu maamuzi yake hutegemea misimamo ya magharibi inasemaje. Yani inaonesha wazi kuwa huwa anapewa maelekeza ya nini cha kufanya na wakubwa zake kutoka huko West, na haswa Marekani.

Kila analolifanya Netanyahu sio ni la kwake bali ni la waliomtuma. Ndomaana wanapocheleweshaga kumtumia silaha za kufanikisha mission aliyopewa, hukimbilia katika vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuwa wanamtelekeza na kumuacha apambane kivyake bila msaada wao.

Tukiachana na lile tukio la Oktoba 7, huko nyuma kabla ya Oktoba 7 jeshi la Netanyahu lilikuwa linatumika kwenda kuvamia makazi ya raia wasiokuwa na hatia, wala silaha yoyote zaidi ya mawe huko WEST BANK (katika ardhi inayokaliwa kimabavu na Israel) kuwachomoa watu katika nyumba zao, kuwapiga, kuwakata, kuwatesa na wengine kuwaua. Halafu nyumba zilizovamiwa walipewa waisrael waziishi. Sasa kiongozi (Netanyahu) unakuaje mahiri kwa kuongoza jeshi linalovamia tu raia na kuua ua hovyo eti kisa waliovamiwa wameokota mawe kuwarushia ili kupinga uvamizi?

Netanyahu na jeshi lake lenye wanajeshi zaidi ya laki 2, na wengine wa akiba wamekuwa wakitumia vifaru, meli za kivita, ndege zisizokuwa na rubani pamoja na silaha zingine nyingi za kisasa wanazopewa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi na Canada kufanya mashambulizi ya kupambana na kundi la vijana elf 20 wa Hamas ambao wanatumia silaha za kawaida zilizoundwa kienyeji na wenyewe ili kujilinda. Lakini mpaka sasa Netanyahu amekuwa akionekana kuua watoto wengi na wanawake wasiokuwa na hatia bila kufikia lengo alilolipanga Netanyahu la kuhakikisha mateka wote wamepatikana katika muda mfupi aliopanga.

Netanyahu bado anategemea hela za bajeti ya jeshi, na uchumi wake zitoke katika mataifa mengine ya Ulaya ili aweze kuwalipa wanajeshi wake, kuongeza baadhi ya silaha na zingine ziishie katika tumbo lake na team yake.

So kumfananisha Putin na Netanyahu ni sawa na kumlinganisha hayati mwl Nyerere na bwana mdogo Pole pole hata kama Pole pole anajaribu kuvaa uhalisia wa mwl Nyerere.

Toa na wewe maoni yako, nikatawakilishe mtaani kwa kuangalia wingi wa comment zinazomkubali mmoja wapo ili tumalize ubishi na kufunga mjadala.

Karibuni sana...
Israel katili na hana msamaha. Kisasi na amenyooka sio muongo muongo.
 
HAWA VIONGOZI KUWALINGANISHA KTK UTENDAJI INALETA UKAKASI SANA.
SABABU NETENYAU NA BARAZA LAKE HAWANA MAAMUZI KTK SERIKARI YAO
WANATEGEMEA MAGHARIBI. LABDA KAMA TUNGELINGANISHA BIDEN NA VLADIMIR PUTIN.
Kweli kabisa mkuu. Netanyahu ni mchumba tu, hana ujanja wowote wa kufanya maamuzi ya kujitegemea yeye kama yeye. Ni lazima apate kwanza ruhusa kutoka Magharibi.

Ila Putin hangoji maamuzi kutoka nje wala ndani. Anachoamua ndo hicho hicho hakigeuziki asilani.
 
Israel katili na hana msamaha. Kisasi na amenyooka sio muongo muongo.
Hayo yote anayafanya kwa ruhusa ya magharibi, ila Russia hawana ukatili wa kishamba shamba. Ukizingua wanakushughulikia wao kama wao bila kuhitaji msaada kutoka kwa yoyote.
 
Netanyahu mwenyewe akimuona Putin anamshangaa, Putin ni superstar wa maraisi wote duniani.
Netanyahu huwa anaishi kwa kujificha ficha akiogopa kuangushwa na maadui zake. Ila Putin anaenda popote anapopataka yeye bila kumhofia mtu wala nchi yoyote.

Hivi nje ya Marekani ni nchi gani nyingine ambayo Netanyahu ashawahi kutembelea? Hebu nikumbushe mkuu, maana jamaa anajifungia sana.
 
Back
Top Bottom