PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Netanyahu huwa anaishi kwa kujificha ficha akiogopa kuangushwa na maadui zake.
download - 2024-05-22T184837.278.jpeg
download - 2024-05-22T184848.757.jpeg
images - 2024-05-22T184859.922.jpeg

Huyu ndo kiongozi tunaambiwa anaishi Kwa kujificha 🤣🤣
Ila Putin anaenda popote anapopataka yeye bila kumhofia mtu wala nchi yoyote.
download - 2024-05-22T184721.247.jpeg
download - 2024-05-22T184743.063.jpeg

Na huyu ndo kiongozi tunaambiwa anapenda kujichanganya na watu na hamuogopi mtu yeyote . Cha ajabu hataki kabisa kusogeleana na mtu . 🤣🤣🤣
Hivi nje ya Marekani ni nchi gani nyingine ambayo Netanyahu ashawahi kutembelea? Hebu nikumbushe mkuu, maana jamaa anajifungia sana.
 
MUwe mnafuatilia mambo siyo kuleta ujuaji wakati hamjui kitu hilo jambo hadi watu wamekamatwa wewe bado hujui inaonyesha international issues unasubiri tbc ikuambie
Haya tuanze taratibu hapa.

Warusi walimpitisha vipi Trump 2016 kuwa Rais wa U.S ?
 
Putin ni mwamba ila asijichanganye kwa muisrael ataaibishwa kama iran kilichompata
Israel bila misaada ya kijeshi na kiuchumi kutoka marekani na ulaya nibweupe kama maziwa
Hata Burundi wanaweza kuwachapa
Yani unalinganisha Russia the great na wale wanaoishi kwa hisani ya marekani...
 
Netanyahu angekuwa amepitia sanctions alizopitia Urusi leo taifa la Israeli lisingekuwepo

Licha ya vikwazo uchumi wa Urusi uko fresh kuliko hata mataifa ya Ulaya na bado mwamba yuko vitani anagawa dozi kwa Ukraine licha ya misaada kutoka NATO

Bila support ya Marekani na washirika wake Israeli hamna kitu.

Ndio maana Netanyahu huwa haishi kulialia kuomba misaada kutoka kwa mabwana zake
 
Kama Netanyau Angekua na resources kama za Putin ingekua noma sana aisee.Kusingekalika Angemaliza vita zake mapema sanaa.

Kama Netanyau Angekua na resources kama za Putin ingekua noma sana aisee.Kusingekalika Angemaliza vita zake mapema sanaa.
Mbona resources anazo kibao tu lakini ameshindwa kujisimamia mwenyewe. Kwani wewe unafikiri kuwa na resource ni mpaka uwe tu na mafuta au dhahabu?

Rwanda ina resources ndogo kushinda Israel na imezungukwa na maadui kibao kila upande wa nchi yao (ukitoa Tanzania tu) lakini mpaka leo hakuna anaerusha hata jiwe nchini kwao. Na hapo hawategemei silaha wala bajeti ya jeshi itokea Marekani au Ulaya kama wanavyotegemea waisrael.

Hoja yako ni mufilisi kabisa, haina mashiko.

Mwaka 2006 waisrael walichakazwa na hezbulla ambao hawana serikali, hawamiliki resource yoyote ya nchi na hawatumii silaha nzito nzito kama waisrael.
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-181236.jpg
    Screenshot_20240522-181236.jpg
    360.4 KB · Views: 3
Brother wengi hawajui mengi kuhusu Israel iko hivi ngoja nikwambie Jambo ukitaka kujua Israel walivyo hatari mwambieni Putin apeleke jeshi kusaidia Hamas nakuhakikishia ndani ya mda mfupi mtaona kitacho mkuta Putin nikukumbushe ndani ya jeshi la Russia wapo wayahudi hata prigozhin alikua muyahudi brother yaan Israel kwenye Vita usiombe kukutana nao alafu nitanyahu wengi hawajui Kuna nchi mbili ambazo Ni Vatican na Israel Hawa ndo wenye pesa duniani marekani Hana hela ameshafirisika et wanasaidiwa na marekani eeh pole kwa kutokujua Mambo marekani ndiye hawezi simama bila Israel mifumo yote yakivita kifedha marekani wasimamizi wakuu Ni wayahudi afu Israel ikose pesa note Israel imekuepo kabla ya marekani na hata hao urusi eeh Mimi nakwambia mwambieni Putin apeleke jeshi kusaidia Hamas pale ndo utaona maisha yake yatakavyo kua mafupi
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-161920.jpg
    Screenshot_20240522-161920.jpg
    274 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240522-162029.jpg
    Screenshot_20240522-162029.jpg
    464.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240522-180338.jpg
    Screenshot_20240522-180338.jpg
    354.9 KB · Views: 3
Uchambuzi wako unatokana na chuki uliyonayo kwa Israel! Kulimlinganisha

Putin na Netanyahu kwa lengo la kumdharirisha Netanyahu sidhani kama uchambuzi wako uko fair!

Kwanza ukiachia Urafiki wa karibu wa Putin na Netanyahu,wote wawili waanafanana misimamo wote ni wazalendo halisi wa nchi zao! Wako tayari kufa wakipigania maslahi ya nchi zao kwa gharama yo yote.

Wakati Putin anapambana na Mataifa yenye nguvu kijeshi na kiuchumi yakiongozwa na US

Netanyahu anapambana na Mataifa yenye utajiri wa Mafuta na Silaha hatari yakiongozwa na Iran.

Hata kama unamsimanga Netanyahu,bado anaongoza Taifa lenye uwezo wa hali ya juu kiteknolojia na kisayansi kulinganisha na Russia ambayo haina teknolojia ya juu sana kulinganisha na Israel.

Kwa hayo machache ambayo muda hautoshi kueleza mengi sioni tofauti ya Putin na Netanyahu.
 
Netanyahu angekuwa amepitia sanctions alizopitia Urusi leo taifa la Israeli lisingekuwepo

Bila support ya Marekani na washirika wake Israeli hamna kitu. Ndio maana Netanyahu huwa haishi kulialia kuomba misaada kutoka kwa mabwana zake
Huu ndio ukweli wenyewe. Tatizo kuna baadhi ya vijana wanakimbilia kuandika huku wakiwa wamejawa na mihemko yao.

Matokeo yake mtu ana comment hata kile ambacho hakikuwepo kichwani kwake.
 
Uchambuzi wako unatokana na chuki uliyonayo kwa Israel! Kulimlinganisha
Putin na Netanyahu kwa lengo la kumdharirisha Netanyahu sidhani kama uchambuzi wako uko fair...
Naona umekimbilia kuandika kiushabiki sana ili kumfichia aibu Netanyahu na nchi yake inayoshindwa kujisimamia yenyewe mpaka leo.

Unaposema et Netanyahu anapambana na nchi zenye utajiri wa mafuta alaf unataja nchi moja tu Iran unamaana gani? Mbona nchi zingine huzitaji? Maana hata hao Iran hawapambani na Israel moja kwa moja, bali ni kwa vitisho vya hapa na pale huku Iran ikiwa na vikwazo vikubwa vilivyowekwa na mabwana wa waisrael kwa zaidi ya miaka 50 bila nchi hiyo (Iran) kuomba poo.

Labda kama unamaanisha Hamas na Hezbullah ambazo sio nchi bali ni vikundi vya watu wachache wanaopigana na nchi yenye jeshi la zaidi ya wanajeshi laki 5 na uchafu.

Pili nimekuona hauna unalojua baada ya kuandika et Israel ina teknolojia kubwa kuzidi Russia. Sikushangai sana kwa sababu vijana wengi huwa mnamezeshwa maneno na kuyameza hivyo hivyo bila kutumia akili zenu kuyachuja ili muweze kufahamu ukweli wa yale mnayomezeshwa.

Hivi inakuaje nchi unayosema inaishinda urusi teknolojia na sayansi itegemee vitu vingi kutoka kwa wazungu. Urusi imesharusha satelite kibao kwenda angani huku Israel ikitegemea zaidi msaada wa wazungu kutengeneza japo kasatelite ki1 na yenyewe ikarushe.

Asilimia 90 ya silaha za Urusi inatengeneza yenyewe, huku asilimia 85 ya silaha za Israel zinatoka Marekani, Canada, UK, Ujerumani, Ufaransa, Uholanzi na nchi zingine za Ulaya.

Muda mungine ushabiki ukizidi sana unamfanya hata mtu mwenye kuonekana ana upeo aonekane mjinga.
 
View attachment 2996932View attachment 2996931View attachment 2996930
Huyu ndo kiongozi tunaambiwa anaishi Kwa kujificha 🤣🤣

View attachment 2996934View attachment 2996933
Na huyu ndo kiongozi tunaambiwa anapenda kujichanganya na watu na hamuogopi mtu yeyote . Cha ajabu hataki kabisa kusogeleana na mtu . 🤣🤣🤣
Acha kuokoteza picha za kipindi cha Corona kijana. Sio kila aliehumu ni mwana Facebook mwenzako.

Putin ana uwezo wa kujichanganya popote na wakati wowote.
 
Back
Top Bottom