PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

io israel iliopigwa na hitler ilikuwa haina makao maalumu wala haikuwa na jeshi walikuwa wakimbizi nchi za ulaya na kwengine hata ivyo pamoja naukimbizi wao walikuwa ma milionea kuwazidi hata wazawa wenyewe apo ndo hitler alipo amua kuwamaliza
israel hii imeshaweka miziz kidiplomasia,kiteknolojia,kibailojia mpaka kijiografia ni ngumu sana mzee baba
 
Netanyahu ni mchumba tu wa USA na EU ukija kwa Putin a.k.a Bear killer, mpaka USA na NATO wanaujua mziki wake.

Wanasema Russia imeishiwa mpaka inatumia mapauro lakini haohao wanataka kupeleka jeshi likasaidie nguvu. Sasa nguvu waongeze ya nini wakati Russia anapigana kwa kitumia pauro 🤣🤣
 
Sasa Israel imefutika? Kinachomshinda Allah na waislam wote kuifuta taifa teule takatifu ni nini?
 
Putin alisema hakuna mtu wa kuingilia vita yake na Ukraine lakini Dunia haikumtii. Hadi nchi kama Poland zinatuma Silaha wazi wazi na Putin hafanyi chochote.Netanyau kasema hakuna mtu wa kusogeza Pua yake Gaza na dunia imetii kabisa.
Kwahiyo kumbe mpaka Poland na yeye ashatuma silaha zake lakini zote zimeshindwa kulitoa jeshi la Russia nchi Ukraine. Hakika Putin anatisha sana.

Sio tu Gaza, bali hezbulla anapiga kabisa ndan ya Israel. Na kibaya analenga mpaka kambi za jeshi za Israel kila siku, na hakuna ambacho Netanyahu ashafanya kuhakikisha jeshi lake na raia wake waliopo mipakani kwake wako salama.

Hivyo Netanyahu bado mchumba tu kwa Putin. Silaha anazopewa na magharibi kila siku zimeshindwa kumsaidia kutokomeza uasi unaoendeshwa na hezbulla.

Putin anatumia silaha zake dhidi ya nchi zaidi ya 10 na bado wameshindwa kumtoa katika maeneo aliyoteka.
 
Putin vita ya miaka 3 kila kitu Urusi ni made in China na India , ebu tuache ushabiki wa kitoto
 
Netanyahu anaishi kama digidigi, kuingia US huwa hajiamini kabisa.

Putin anakuja hadi Africa, Putin ana maadui wenye nguvu na teknolojia kubwa lakini haogopi mtu, jamaa ni namba.
 
Unazungumzia Israel hii hii ambayo mpaka leo inategemea kila kitu kutoka Marekani, UK, Ufaransa, Ujerumani, NATO ndo ipambane na Russia nchi ambayo yenyewe ndo inategemewa na nchi zingine izisaidie silaha za kujilinda.

Israel hii hii ambayo imekuwa ikipokea misaada ya silaha kutoka katika nchi zaidi ya 5 za magharibi lakini inahenyeshwa na hezbulla wenye silaha chache mno.

Israel isipopewa misaada ya silaha na mabwana zao haiwezi kusavaivu hata miaka miwili.
 
Putin vita ya miaka 3 kila kitu Urusi ni made in China na India , ebu tuache ushabiki wa kitoto
Kuandika tu madai yako bila kuambatanisha na fact, wengi watachukulia kama umeandika tu mipasho badala ya hoja yenye mashiko.
 
Sasa Israel imefutika. Kinachowashinda Allah na waislam wote kuifuta ni nini?
lengo halikuwa kuifuta israel lengo ni kuikomboa palestina na kuitaka israel ikae kwa kuheshimu mikataba ya kimataifa na kiheshimu haki za wapalestina
Kama leo israel anavyohangaika na kutaka kikundi cha mgambo tu kukifuta matokeo yake hadj leo amegeuka kama mwendawazimu mbele ya international community
Gallant simlaumu sana maana siku zote amekuwa akimwambia netanyahu ambaye amekuwa akitaka kubaki madarakani kwa namna yoyote na kiwategemea right wing kama strimogvic na beghvir ambaye last week gallant aliitisha vyombo vya habari na kutoa ujumbe pua kwa netanyahu kwamba hatuwezi kupigana kila siku ,tumepigana inaenda miezi minane only for hamas to go and regroup and come back stronger we need to havr clear plan on post war solution na kumaliza hii vita ambaye inatugharimu
Week later icc inataka kuwakamata
Nato ally france,belgium na norway wameahidi kuheshimu maamuzi ya icc yami kuwakamata netanyahu na gallant
Norway, ireland na spain wamerecornise palestine state
5 senior us state department members akiwemo mwanamama muisrael ambae ana ushawishi mkubwa Aipac na alishiriki kumuweka biden na hariss madarakani wameresign kupinga sera za marekani na israel dhidi ya wapalestina na vita vinavyoendelea
Netanyahu anaiangamiza israel ,na ehud barak alionya kuhusu kuaibika kwa israel kwenye uso wa dunia since january na yote yanatokea kwa haraka sana
 
Netanyahu he has backup, while Putin he always standing himself.
 
Ushabiki huondoa hata akili ndogo iliyokuwepo.
 
Kijana sijui umezaliwa baada ya mwaka 2016, au umeanza kufuatilia international news miaka hii miwili iliyopita.

Hebu soma hizo taarifa zilizotolewa na FBI wenyewe nchini Marekani.
Unachekesha
 
Hana anachojua huyu kazi yake kusoma habari leo na kusikiliza millard ayo atajua wapi habari kama hizi, angekuwa mfuatiliaji wa masuala ya kimataifa asingeweza kubisha vitu obvious kama hivi
Kwamba Trump aliwekwa na Warusi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…