PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

PUTIN vs NETANYAHU: Njooni tumalize ubishi wa miamba hii miwili ya dunia

Hamna haja ya kuhangaika kutafuta video mkuu. Kila kitu kipo hapa pichani. FBI na CIA wenyewe wamekiri kuwa Putin alifanya jambo katika ule uchaguzi so wewe mnyachusa wa huku kajamba nani una nini cha kufanya sisi tusiviamini vitengo vyenyewe vinavyoshughulika na mambo ya intelejensi na badala yake tukuamini wewe unaeshinda shambani ukilima pili pili na vitunguu.
Sawa.
Japokuwa Niko Ngyeke Kyela-Mbeya nikiwa shambani kwangu Kwa ajili ya kilimo Cha mihogo, lakini nikuhakikishie kwamba "Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba U. S. A intelligence organs ni dhahifu kiasi hicho kama ambavyo unataka kutuaminisha hapa". Over.


“Everything that is happening with Trump is the persecution of a political rival for political reasons. That’s what it is. And this is being done in front of the public of the United States and the whole world.” Putin 2023
 
Sawa.
Japokuwa Niko Ngyeke Kyela-Mbeya nikiwa shambani kwangu Kwa ajili ya kilimo Cha mihogo, lakini nikuhakikishie kwamba "Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba U. S. A intelligence organs ni dhahifu kiasi hicho kama ambavyo unataka kutuaminisha hapa". Over.


“Everything that is happening with Trump is the persecution of a political rival for political reasons. That’s what it is. And this is being done in front of the public of the United States and the whole world.” Putin 2023
Ngoja waje 6 park na Faiza fox Wana Majibu yako subiri kidogo wapi lunch
 
Ww ni wa pekee Sana ktk watu humu JF ,Mtu mwingine angesha poromosha matusi Hadi kula burn ila ww ni Mwalimu una staha hii ndio JF tunayotaka kutoa elimu endelea hivyo ,Kuna watu watakuja na hoja za kuudhi ila najua uta Handle.

Hujanijibu nimeuliza kwa nn Hadi Leo Putin hajaikamata khiv 72 hours zimepita na hakukuwa na msaada wakati huo kwa Zelensk?
Hata wewe mkuu una sifa zilizotukuka sana. Kuna watu katika huu huu uzi wameparuana huko juu, kisa Netanyahu, Hamas na Putin. Lakini wewe umekuwa ukiandika comment zako kwa ustad mkubwa ndo maana uliona watu wengi tumekuwa tukikujibu na kufuatilia kile unachopost.

Shukran mkuu. Mko wa chache sn watu wa aina yako.
 
Ww ni wa pekee Sana ktk watu humu JF ,Mtu mwingine angesha poromosha matusi Hadi kula burn ila ww ni Mwalimu una staha hii ndio JF tunayotaka kutoa elimu endelea hivyo ,Kuna watu watakuja na hoja za kuudhi ila najua uta Handle.

Hujanijibu nimeuliza kwa nn Hadi Leo Putin hajaikamata khiv 72 hours zimepita na hakukuwa na msaada wakati huo kwa Zelensk?
Ukraine ni nchi kubwa mkuu yenye silaha zote ambazo nchi kubwa inazo isipokuwa nyuklia tu ndo alinyang'anywa kijanja na wababe wa dunia. Putin kusema ataikamata kyv kwa masaa machache ilikuwa mbinu tu za kijeshi ili kumnyong'onyesha adui mapema, lakini alijua kama haitokuwa rahisi kivile.

Kuhusu kuiteka kyv ya ni kweli hajaiteka kyv lakin ameshamega maeneo kibao ya Ukraine na kuyahamishia katika territory yake. Na mpaka leo Nato nzima wakishirikiana na Marekani wameshinda kuyarejesha maeneo hayo mikononi mwa zelensky. Na uwezo huo hawana, labda Ukraine yenyewe ikubali kushindwa na kuingia makubaliano na Urusi ya kusitisha au kuacha kabisa vita.
 
Na uwezo huo hawana,
Hawana kivipi? Issue ni kuepuka nuclear holocaust kama Putin ata retaliate. Its simple NATO ikipeleka majeshi kabisa on the ground hawawezi kushindwa kwa Putin ila madhara ya vita yatakua makubwa mnoo itasambaa ulaya nzima.
 
Kijana sijui umezaliwa baada ya mwaka 2016, au umeanza kufuatilia international news miaka hii miwili iliyopita.

Hebu soma hizo taarifa zilizotolewa na FBI wenyewe nchini Marekani.
View attachment 2996847View attachment 2996848
Interference ya kwenye campaigning kwa kutarget wapiga kura kadhaa kwenye mitandao ya kijamii na sio kuiba kura. Kingine hata Obama alifanya kitu hicho same to Cambridge Analytica nao waliingilia chaguzi za Kenya 2013, US 2020 etc na ndio maana Mark Zuckerberg pia alihojiwa na Congress. So msitafute excuses au scapegoats
 
Niaje waungwana

Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake.

Ubishi wenyewe unahusu miamba miwili yenye roho ngumu, maamuzi mazito na misimamo mikali isiyoyumba, wala kuyumbishwa na watu wengine. Na miaka hiyo sio mingine isipokuwa ni raisi wa Russia Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu.

Kwanza kabla ya watu wengine hawajaingia hapa kutoa maoni yao kuhusu nani bora kati ya raisi Putin na waziri mkuu Netanyahu, naomba kwanza na mimi na mimi nitoe maoni yangu juu ya nani zaidi ya mwenzake.

1. Nikianza na raisi Vladimir Putin, huyu kwangu ni mwamba kweli kweli ambae kumlinganisha na bwege mpenda kulia lia kama Netanyahu ni kumkosea heshima Putin. Netanyahu ni mchumba na hawezi kufit kwa Putin hata kwa nusu ya sifa zake.

Putin ni kiongozi makini, mwenye akili kubwa, misimamo thabiti na intelejensia kali kuliko Netanyahu. Kwa kuthibitisha hili angalia uchaguzi wa uraisi wa 2016 alivyoweza kupachika vijana wake katika mifumo ya Marekani ili wamletee raisi anaemtaka yeye. Ni nani mwengine katika dunia ya leo mwenye uwezo wa kufanya kile alichofanya Putin, tena ndani ya ardhi ya Marekani na mifumo imara ya Marekani? Ni nani mungine?

I hope jibu hakuna maana hata China imeshajaribu kutuma mpaka maputo ili na yenyewe ifanye yake lakini yote yakashushwa. So Putin yeye aliweza tena kwa kuingilia mifumo ya ndani ya nchi bila kugundulika mpaka pale mission yake ilipokamilika, ndo alipokuja kushtukiwa ila akawa ashafanikiwa kwa 100%.

Tukija kwenye misimamo thabiti, jamaa amesimamia kile anachoamini yeye tu, bila kujali vitisho, vikwazo na kelele za nchi za magharibi including NATO. Ameingia nchini Ukraine kukamilisha mission zake bila kujali kelele za mtu yoyote. Si Marekani, NATO wala Umoja wa Ulaya aliethubutu kuingiza jeshi lake Ukraine kupambana na uvamizi wa Russia. Sana sana wameishia kutuma visilaha tu ili kujaribu kudhoofisha mission zake bila mafanikio.

Putin hajawahi kulia hadharani kuwa kaishiwa silaha au mbinu za kijeshi, NEVER. Yeye ni kutoa dozi tu na kusonga mbele daima, huku Marekani na washirika wake wakiendelea kuangamiza silaha zao kuipa Ukraine ili iizuie Ruusia kusonga mbele bila mafanikio.

Putin yeye anapambana na nchi kamili yenye raisi wake, serikali yake, jeshi lake (lenye mamilioni ya wanajeshi), silaha zake (za zamani na kisasa), ulinzi wake (juu na ardhini) Lakini bado haoneshi kushindwa wala kurudi nyuma. Nchi yake bado imeendelea kuogopwa hata na nchi zinazojifanya ni watemi wa dunia. Pia maangamizi yake yamekuwa yakiwalenga zaidi adui zake (wanajeshi na viongozi wa serikali) ikitokea raia ameuwawa basi ni kwa bahati mbaya ile tunaita ajali kazini. Ndiomaana toka vita vianze wanajeshi waliouwawa na wengi kuliko raia wa kawaida.

Putin pamoja na kuwa katika vita vinavyoshirikisha mataifa kibao ya Ulaya kuwa upande wa adui yake, lakini bado economic yake ipo imara mno, na ni nchi ya tatu kwa bajeti kubwa ya kijeshi duniani baada ya Marekani na China. Nchi yake haitegemei bajeti ya kijeshi kutoka nchi yoyote ile hapa duniani. Inajisimamia yenyewe miaka yote ya utawala wa Putin.

2. Tukija kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu, huyu kwangu ni mchumba tu mbele ya Putin, kwa sababu maamuzi yake hutegemea misimamo ya magharibi inasemaje. Yani inaonesha wazi kuwa huwa anapewa maelekeza ya nini cha kufanya na wakubwa zake kutoka huko West, na haswa Marekani.

Kila analolifanya Netanyahu sio ni la kwake bali ni la waliomtuma. Ndomaana wanapocheleweshaga kumtumia silaha za kufanikisha mission aliyopewa, hukimbilia katika vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuwa wanamtelekeza na kumuacha apambane kivyake bila msaada wao.

Tukiachana na lile tukio la Oktoba 7, huko nyuma kabla ya Oktoba 7 jeshi la Netanyahu lilikuwa linatumika kwenda kuvamia makazi ya raia wasiokuwa na hatia, wala silaha yoyote zaidi ya mawe huko WEST BANK (katika ardhi inayokaliwa kimabavu na Israel) kuwachomoa watu katika nyumba zao, kuwapiga, kuwakata, kuwatesa na wengine kuwaua. Halafu nyumba zilizovamiwa walipewa waisrael waziishi. Sasa kiongozi (Netanyahu) unakuaje mahiri kwa kuongoza jeshi linalovamia tu raia na kuua ua hovyo eti kisa waliovamiwa wameokota mawe kuwarushia ili kupinga uvamizi?

Netanyahu na jeshi lake lenye wanajeshi zaidi ya laki 2, na wengine wa akiba wamekuwa wakitumia vifaru, meli za kivita, ndege zisizokuwa na rubani pamoja na silaha zingine nyingi za kisasa wanazopewa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi na Canada kufanya mashambulizi ya kupambana na kundi la vijana elf 20 wa Hamas ambao wanatumia silaha za kawaida zilizoundwa kienyeji na wenyewe ili kujilinda. Lakini mpaka sasa Netanyahu amekuwa akionekana kuua watoto wengi na wanawake wasiokuwa na hatia bila kufikia lengo alilolipanga Netanyahu la kuhakikisha mateka wote wamepatikana katika muda mfupi aliopanga.

Netanyahu bado anategemea hela za bajeti ya jeshi, na uchumi wake zitoke katika mataifa mengine ya Ulaya ili aweze kuwalipa wanajeshi wake, kuongeza baadhi ya silaha na zingine ziishie katika tumbo lake na team yake.

So kumfananisha Putin na Netanyahu ni sawa na kumlinganisha hayati mwl Nyerere na bwana mdogo Pole pole hata kama Pole pole anajaribu kuvaa uhalisia wa mwl Nyerere.

Toa na wewe maoni yako, nikatawakilishe mtaani kwa kuangalia wingi wa comment zinazomkubali mmoja wapo ili tumalize ubishi na kufunga mjadala.

Karibuni sana...
Putin is the greater by far than Netanyahu.
1. Putin ana ardhi ya kutosha kuliko nchi nyingine yoyote duniani. Russia is a continent not a country. Anaongoza. Netanyahu ana ardhi kidogo.
2. Kutokana na namba 1 basi anakuwa na rasilimali lukuki zaidi ya niwezavyo kuoroshesha.
3. Putin anaongoza federation la watu zaidi ya 140M. Netanyahu wanafika wangapi?
4. Putin anaongoza nchi iliyowahi kutoa wagunduzi na wanasayansi wa mambo yaliyoleta civilization ya dunia hii.
5. Putin akitaka kupigana, hupigana na nchi ambayo iko well established kama ilivyokuwa Georgia, Ukraine siyo tuvikundi tudogo twa watu wasiokuwa na Taifa wala establishment zinazoeleweka.
6. Putin hategemei msaada wa silaha kutoka Marekani, Uingereza na Ujerumani. Putin anaziharibu silaha hizo pale Ukraine.
 
Hawana kivipi? Issue ni kuepuka nuclear holocaust kama Putin ata retaliate. Its simple NATO ikipeleka majeshi kabisa on the ground hawawezi kushindwa kwa Putin ila madhara ya vita yatakua makubwa mnoo itasambaa ulaya nzima.
Sasa si unaona pia itakua aibu kwao nchi zaidi ya 25 kupigana na nchi moja?
Hata dunia itawashangaa sana.
 
Putin is the greater by far than Netanyahu.
1. Putin ana ardhi ya kutosha kuliko nchi nyingine yoyote duniani. Russia is a continent not a country. Anaongoza. Netanyahu ana ardhi kidogo.
2. Kutokana na namba 1 basi anakuwa na rasilimali lukuki zaidi ya niwezavyo kuoroshesha.
3. Putin anaongoza federation la watu zaidi ya 140M. Netanyahu wanafika wangapi?
4. Putin anaongoza nchi iliyowahi kutoa wagunduzi na wanasayansi wa mambo yaliyoleta civilization ya dunia hii.
5. Putin akitaka kupigana, hupigana na nchi ambayo iko well established kama ilivyokuwa Georgia, Ukraine siyo tuvikundi tudogo twa watu wasiokuwa na Taifa wala establishment zinazoeleweka.
6. Putin hategemei msaada wa silaha kutoka Marekani, Uingereza na Ujerumani. Putin anaziharibu silaha hizo pale Ukraine.
Uchambuzi wako ni mzuri sana mkuu. Mpaka hapo sina cha kuongeza.
 
Ww hapo unahema kwasababu ya Netanyahu anapambana na magaidi wafia dini ww mawazo yako ni ya kichumba kichumba israel unawajua ww au unawafananisha na washamba washamba ambao wana ndoto ya kupewa wanawake 72 pepon halafu wake zao wanapewa ......nishie hapo
Ya lazima niheme. We unafikiri kulipumulia zee kama Netanyahu mgongo mchezo!

Kila mtu anajua kama Israel ushoga ni ruhusa na ni utamaduni wao. Alaf waarab ndio mabahasha wao wakubwa. Ukikataa kulipumulia shoga la kiyahudi linakupa kesi ya ugaidi ili likukomoe.

Netanyahu na wajinga wenzake wanaliwa tobo kama kawaida, japo wewe unawaona kama vile ni miungu yako.
 
Niaje waungwana

Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake.

Ubishi wenyewe unahusu miamba miwili yenye roho ngumu, maamuzi mazito na misimamo mikali isiyoyumba, wala kuyumbishwa na watu wengine. Na miaka hiyo sio mingine isipokuwa ni raisi wa Russia Vladimir Putin na waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu.

Kwanza kabla ya watu wengine hawajaingia hapa kutoa maoni yao kuhusu nani bora kati ya raisi Putin na waziri mkuu Netanyahu, naomba kwanza na mimi na mimi nitoe maoni yangu juu ya nani zaidi ya mwenzake.

1. Nikianza na raisi Vladimir Putin, huyu kwangu ni mwamba kweli kweli ambae kumlinganisha na bwege mpenda kulia lia kama Netanyahu ni kumkosea heshima Putin. Netanyahu ni mchumba na hawezi kufit kwa Putin hata kwa nusu ya sifa zake.

Putin ni kiongozi makini, mwenye akili kubwa, misimamo thabiti na intelejensia kali kuliko Netanyahu. Kwa kuthibitisha hili angalia uchaguzi wa uraisi wa 2016 alivyoweza kupachika vijana wake katika mifumo ya Marekani ili wamletee raisi anaemtaka yeye. Ni nani mwengine katika dunia ya leo mwenye uwezo wa kufanya kile alichofanya Putin, tena ndani ya ardhi ya Marekani na mifumo imara ya Marekani? Ni nani mungine?

I hope jibu hakuna maana hata China imeshajaribu kutuma mpaka maputo ili na yenyewe ifanye yake lakini yote yakashushwa. So Putin yeye aliweza tena kwa kuingilia mifumo ya ndani ya nchi bila kugundulika mpaka pale mission yake ilipokamilika, ndo alipokuja kushtukiwa ila akawa ashafanikiwa kwa 100%.

Tukija kwenye misimamo thabiti, jamaa amesimamia kile anachoamini yeye tu, bila kujali vitisho, vikwazo na kelele za nchi za magharibi including NATO. Ameingia nchini Ukraine kukamilisha mission zake bila kujali kelele za mtu yoyote. Si Marekani, NATO wala Umoja wa Ulaya aliethubutu kuingiza jeshi lake Ukraine kupambana na uvamizi wa Russia. Sana sana wameishia kutuma visilaha tu ili kujaribu kudhoofisha mission zake bila mafanikio.

Putin hajawahi kulia hadharani kuwa kaishiwa silaha au mbinu za kijeshi, NEVER. Yeye ni kutoa dozi tu na kusonga mbele daima, huku Marekani na washirika wake wakiendelea kuangamiza silaha zao kuipa Ukraine ili iizuie Ruusia kusonga mbele bila mafanikio.

Putin yeye anapambana na nchi kamili yenye raisi wake, serikali yake, jeshi lake (lenye mamilioni ya wanajeshi), silaha zake (za zamani na kisasa), ulinzi wake (juu na ardhini) Lakini bado haoneshi kushindwa wala kurudi nyuma. Nchi yake bado imeendelea kuogopwa hata na nchi zinazojifanya ni watemi wa dunia. Pia maangamizi yake yamekuwa yakiwalenga zaidi adui zake (wanajeshi na viongozi wa serikali) ikitokea raia ameuwawa basi ni kwa bahati mbaya ile tunaita ajali kazini. Ndiomaana toka vita vianze wanajeshi waliouwawa na wengi kuliko raia wa kawaida.

Putin pamoja na kuwa katika vita vinavyoshirikisha mataifa kibao ya Ulaya kuwa upande wa adui yake, lakini bado economic yake ipo imara mno, na ni nchi ya tatu kwa bajeti kubwa ya kijeshi duniani baada ya Marekani na China. Nchi yake haitegemei bajeti ya kijeshi kutoka nchi yoyote ile hapa duniani. Inajisimamia yenyewe miaka yote ya utawala wa Putin.

2. Tukija kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu, huyu kwangu ni mchumba tu mbele ya Putin, kwa sababu maamuzi yake hutegemea misimamo ya magharibi inasemaje. Yani inaonesha wazi kuwa huwa anapewa maelekeza ya nini cha kufanya na wakubwa zake kutoka huko West, na haswa Marekani.

Kila analolifanya Netanyahu sio ni la kwake bali ni la waliomtuma. Ndomaana wanapocheleweshaga kumtumia silaha za kufanikisha mission aliyopewa, hukimbilia katika vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuwa wanamtelekeza na kumuacha apambane kivyake bila msaada wao.

Tukiachana na lile tukio la Oktoba 7, huko nyuma kabla ya Oktoba 7 jeshi la Netanyahu lilikuwa linatumika kwenda kuvamia makazi ya raia wasiokuwa na hatia, wala silaha yoyote zaidi ya mawe huko WEST BANK (katika ardhi inayokaliwa kimabavu na Israel) kuwachomoa watu katika nyumba zao, kuwapiga, kuwakata, kuwatesa na wengine kuwaua. Halafu nyumba zilizovamiwa walipewa waisrael waziishi. Sasa kiongozi (Netanyahu) unakuaje mahiri kwa kuongoza jeshi linalovamia tu raia na kuua ua hovyo eti kisa waliovamiwa wameokota mawe kuwarushia ili kupinga uvamizi?

Netanyahu na jeshi lake lenye wanajeshi zaidi ya laki 2, na wengine wa akiba wamekuwa wakitumia vifaru, meli za kivita, ndege zisizokuwa na rubani pamoja na silaha zingine nyingi za kisasa wanazopewa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi na Canada kufanya mashambulizi ya kupambana na kundi la vijana elf 20 wa Hamas ambao wanatumia silaha za kawaida zilizoundwa kienyeji na wenyewe ili kujilinda. Lakini mpaka sasa Netanyahu amekuwa akionekana kuua watoto wengi na wanawake wasiokuwa na hatia bila kufikia lengo alilolipanga Netanyahu la kuhakikisha mateka wote wamepatikana katika muda mfupi aliopanga.

Netanyahu bado anategemea hela za bajeti ya jeshi, na uchumi wake zitoke katika mataifa mengine ya Ulaya ili aweze kuwalipa wanajeshi wake, kuongeza baadhi ya silaha na zingine ziishie katika tumbo lake na team yake.

So kumfananisha Putin na Netanyahu ni sawa na kumlinganisha hayati mwl Nyerere na bwana mdogo Pole pole hata kama Pole pole anajaribu kuvaa uhalisia wa mwl Nyerere.

Toa na wewe maoni yako, nikatawakilishe mtaani kwa kuangalia wingi wa comment zinazomkubali mmoja wapo ili tumalize ubishi na kufunga mjadala.

Karibuni sana...
Putin wa kumfananisha na LGBT kweli!!!!
 
Back
Top Bottom