Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Ndoto za mashoga

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Kama hawana video nyingine zaidi watatoa ya aina gani, unaweza kuta hii ndio nafuu zaidi. Leonid Brezhnev alifia madarakani akiwa mgonjwa ila public appearances alikuwa anafanya na hali yake ileile. Alikuwa na option ya kupotea kabisa akazua taharuki au kuonekana hivyo hivyo
 
Mkuu akifikia hatua ya kutembea kama Lowassa wa 2015 unitag
 
haha wanazingua
 
Aisee ndio maana wazungu walisema Afrika lazima twende motoni, kwa staili hii ya unafiki unafiki, na tukifika huko lazima nikutafute nikutilie mamkaa nichochee firee. Yaani nilipobanikwa Mimi nafanya kuupunga nakuujaza kwako
Ncheeee yaaaani

hahaaa mkuu umenichekesha sana
 
CIA na Mosad wanatawala dunia
Hujui lolote ndugu,Kaa kimya TU.
Ungejua unyama,umafia na uwezo wa KGB,GRU hapa duniani wala usingesema hayo.
Bado uwiano ni uleule KGB vs CIA,MI6,Mossad,vyombo vyote vya ujasusi vya west.
Sasa fikiria huo ni uwezo wa aina Gani utajua .
 
Hujui lolote ndugu,Kaa kimya TU.
Ungejua unyama,umafia na uwezo wa KGB,GRU hapa duniani wala usingesema hayo.
Bado uwiano ni uleule KGB vs CIA,MI6,Mossad,vyombo vyote vya ujasusi vya west.
Sasa fikiria huo ni uwezo wa aina Gani utajua .
Russia hana uwezo wa kufanya ujasusi dunia nzima. Hana pesa. CIA wana assets dunia nzima, both human and technical. Sio sawa kuwafananisha na agency ya Russia.
 
Andiko lako limemaliza kila kitu, binafsi naamini hakuna Taifa ambalo liko macho juu ya maadui zake kama Urusi, na hakuna Taifa linalowanyima usingizi NATO/US kama Urusi.
 
Russia hana uwezo wa kufanya ujasusi dunia nzima. Hana pesa. CIA wana assets dunia nzima, both human and technical. Sio sawa kuwafananisha na agency ya Russia.
Kama mtu wa kuangalia movie jaribu kuangalia movie zinazohusisha USA na Russia, japo zimetengenezwa Marekani lakini utaona wanavyoipa heshima Russia...

Utagundua hawa mataifa yanajuana na yanapelelezana Kwa kiwango cha juu Sana...
 
Kama mtu wa kuangalia movie jaribu kuangalia movie zinazohusisha USA na Russia, japo zimetengenezwa Marekani lakini utaona wanavyoipa heshima Russia...

Utagundua hawa mataifa yanajuana na yanapelelezana Kwa kiwango cha juu Sana...
Ni kweli kwamba Russia wako vizuri. Hapa nazungumzia ujasusi wa dunia nzima.
 

Nkt
 
Kwani sikuwaambia jamaa wanamuondoa silence
 
Weka picha basi ukute unamzungumzia Putin wa Chattle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…