Shida nikwamba ndugu yetu
T14 Armata siku hizi umekua unaandika mambo ya ajabu sana sana ila naheshimu mawazo pia namaoni yako ila naomba tu nikwambie yakwamba
Dunia nzima sio US tu yaani dunia nzima iwe inaongozwa na Waziri mkuu Kansela Rais Mfalme ama vyovyote basi hio nyadhfa ujue nitaasisi tena taasisi nyeti kabisa
Shida yenu nikwamba munataka lazima mifumo yote yakiutawala ifanane na US yaani mnataka kuiaminisha dunia kanakwamba US ndio inamfumo imara kuliko taifa lolote Duniani
Hata pale UCHINA kabla ya Xi watu walikua wanasema kama haya ila hatimae UCHINA imekua imara kuliko ilivyokua kabla na maisha yanaendelea
Yaani kama yeltsin aliondoka na maisha yaliendelea Dimitri aliondoka na RUSSIA iliendelea na PUT IN ataondoka namaisha yataendelea
Tena kama mnadhania kwamba RUSSIA hana warithi mnakosea sana yaani taifa kubwa kama RUSSIA wasiandae mrithi wa PUT IN kanakwamba PUT IN ataishi milele amima
Hoja ya kuumwa kwa PUT IN watu wanaikuza ikiwemo wewe sababu tu munachuki na PUT IN na RUSSIA hakujawahi kua na maajabu wala jipya kwenye mtu kuumwa sababu ugonjwa unamkamata yeyote hata awe RAIS
Kama Tiizii mlikua ama walikua wanaamini kwamba magufuli alikua hayati Rais MAGUFULI alikua RAIS wahovyo ambae alibadilisha system yauendeshaji nchi na akafa akiwa madarakani na taifa halikuingia kwenye OMBWE hata theluthi itakuja kua taifa kubwa kama RUSSIA
Lakuomba tu MUUMBA atupe Uhai mpaka tuuone mwisho wa PUT IN kama kwakufa ama kwakung'atuka mwenyewe kwamapenzi yake ila musahau kabisa kuiona RUSSIA inaingia kwenye OMBWE kisa eti PUT IN kafa
Shida nikwamba mnaaminishwa mambo yaajabu kabisa na hao wamagharibi kiasi kwamba mnaona RUSSIA hawajaandaa mtu wakumrithi PUT IN tena bwana PUT IN hata asife atakavyoondoka kivyovyote vile basi taifa litakua imara zaidi yaalivyokua yeye
Taifa kama la RUSSIA lenye kupanga mipango yake miaka 50 mbeleni huko haliwezi kushughulishwa nakufariki ama kuondoka madarakani kwa PUT IN
Nakuhakikishia RUSSIA kuna taasisi imara zaidi yamnavyo aminishwa pia PUT IN kuumwa nijambo lakawaida sana sana sanaa ukijumlisha naumri alokua nao ndio kabisaaaaaaa
Kama tiiziii hamukuingia kwenye ombwe la siasa musahau kwa RUSSIA kama KOREA NORTH haikuingia kwenye ombwe la kisiasa musahau kwa RUSSIA
Nimalizie tu RUSSIA wanajitambua sio kama media zinavyowaaminisha nanyie mnaamini